Rais Magufuli aagiza Tsh. Bilioni 40 zitumike kulipa madeni ya Wakulima wa Korosho baada ya Serikali kununu Korosho hizo

Rais Magufuli aagiza Tsh. Bilioni 40 zitumike kulipa madeni ya Wakulima wa Korosho baada ya Serikali kununu Korosho hizo

Serikali ikome kujiinguza kwenye shughuli ambazo hakustahili. Yote haya kuharibu Meko, amekuta wadau wa korosho wameanzisha mfuko wa maendeleo wa zao la Korosho. Mfuko ulikuwa unasimamiwa na Bodi ya Korosho, ulipoingia anavunja Bodi na kuchukua hela za mfuko na kuziingiza kwenye mfuko wa hazina. Walimuonya bungeni lakini hakushaurika na akaishia kusema eti wanasiasa wana uchezea mfuko wa korosho.

Kama angekuwa ameacha korosho iendelee kusimamiwa kama iluvyokuwa zamani basi mfuko huo ungesaidia kufidia wakulima pale bei ya Korosho inapokuwa imeteremka kama mwaka huu.

Lakini vichwa vya Watanzania nimekaa kamasi tu, utasikia wanamshangilia kwa hii taarifa ya leo.
Kama mtu hajaelewa uliyoongea kwa kifupi hapa basi Hata vyeti vyake vya Primary School ni vya kugushi
 
Serikali ikome kujiinguza kwenye shughuli ambazo hakustahili. Yote haya kaharibu Meko, amekuta wadau wa korosho wameanzisha mfuko wa maendeleo wa zao la Korosho. Mfuko ulikuwa unasimamiwa na Bodi ya Korosho, ulipoingia anavunja Bodi na kuchukua hela za mfuko na kuziingiza kwenye mfuko wa hazina. Walimuonya bungeni lakini hakushaurika na akaishia kusema eti wanasiasa wana uchezea mfuko wa korosho.

Kama angekuwa ameacha korosho iendelee kusimamiwa kama iluvyokuwa zamani basi mfuko huo ungesaidia kufidia wakulima pale bei ya Korosho inapokuwa imeteremka kama mwaka huu.

Lakini vichwa vya Watanzania nimekaa kamasi tu, utasikia wanamshangilia kwa hii taarifa ya leo.
Umemalizia VIBAYA.
 
fedha zitoke kesho!!!!!!!!Huyo ndio Magufuli bana
 
Yaani zao la korosho limeitia hasara hii serikali haijapata kutokea, ukiweka garama za usafiri wa yale malori ya jeshi, garama za kulisha kundi la wanajeshi lililosombwa kwenda mtwara, na mpaka leo korosho zipo kwenye maghala unatoa fedha nyingine ya serikali kulipa wakulima ambao mwaka mzima wanasubiri fedha, na kuna wengine hata wameshindwa kushughulikia mikorosho yao awamu hii kwa kukosa fedha. Ama kweli nimeamini wasukuma washamba sana.
 
ile benki ya mambo ya kilimo kilimo imeshakufa nini!?..mpaka pesa inatakiwa kutoka hazina!!
 
Wakulima tanzania jamani wanapata tabu sana...yani mpaka sai bado jamaa ndio anatoa tamko wengine walipwe...
Maskini wakulima
Screenshot_20191101-232936_Lite~2.jpeg
 
Wakulima tanzania jamani wanapata tabu sana...yani mpaka sai bado jamaa ndio anatoa tamko wengine walipwe...
Maskini wakulimaView attachment 1251447
Tofauti ya Kenya na Tanzania ni kwamba, serikali ya Tanzania inawajali wananchi wake, Kenya inawadhulumu na kuwanyonya wananchi wake

1) Serikali ya Tanzania ililazimika kuingilia kati kununua korosho kwa bei ya juu baada ya wafanyabiashara kukataa kununua korosho kwa bei nzuri

2)Wakulipwa kulipwa mapema pesa zao, wanunuzi kupitia vyama vya ushirikia walikua wanachelewesha sana kulipa na wakulima wengine walikuwa hawalipwi kabisa wanadhulumiwa.

3)Serikali ya Kenya inashirikiana na wafanyabiashara kupanga bei ndogo ili kuwadhulumu wakulima.
 
Haiya mpaka leo kuna wakulima hawjalipwa?? Ukulima TZ ni balaa, hii nafikiri ndio sababu watu hawataki kulima hayo mapori...
 
Mbona juzi tu alimsifia huyu kijana from Igunga, tena kwa tambo na majigambo kwamba ni mchapakazi kwerikweri....
wizara si waziri pekee kuna watu wizarani ndo watendaji hasa kama Katibu mkuu Wakurugenzi NK nahisi ndo walengwa hasa
 
Sote hapa tunaliwa akili, hii yote ni siasa ya kupata kura nyingi.

Baada ya hiyo amri na kweli pesa zikatolewa hata Nape atakata viuno hadharani
 
Ni total failure, hii nchi itaishia kuzimu maana tumeikabidhi kwa mzimu
"Aliagiza mwaka jana baada ya mwaka anaagiza tena kuchukua fedha kutoka Hazina kwa utaratibu usiokuwa wa kisheria haya ndio matokeo ya kiburi ‘arrogance and state tyranny” back to square one reallocation how.

Kumbe tungeheshimu mnada wa mwaka jana hii aibu na kutumia wanajeshi ?
 
Zimeshanunuliwa znaenda majuu Huko .maeneo nilipo daily semi znapita zikiwa zimesheheni Makorosho
Kama kodi yangu inanunua Korosho, hizo Korosho zipo wapi mbona sizioni mtaani nizile ?, Kwanini kama bado zipo kwenye maghala hazijanunuliwa basi wazimwage mtaani kwa bei ya kiungwana watanzania wapate kubadilisha ladha...
 
Back
Top Bottom