Rais Magufuli aagiza Tsh. Bilioni 40 zitumike kulipa madeni ya Wakulima wa Korosho baada ya Serikali kununu Korosho hizo

Rais Magufuli aagiza Tsh. Bilioni 40 zitumike kulipa madeni ya Wakulima wa Korosho baada ya Serikali kununu Korosho hizo

Aliahidi wakati analipa deni LA wakulima wa korosho atalipa na deni LA wazalishaji Miche ya mikorosho LA bilioni 29, mbona hilo hasemi analipa lini wakati alilikubali na kuahidi kulilipa
 
Hongera Mh Rais ila hili ni darasa kama sio somo. Wewe kama kichwa cha state nilazima ujitahidi kuwa wa mwisho kabisa kufanya decision. Mimi nina asilimia mia kama ni ushauri walio kushauri hawakuwa na ujuwaji wowote na utaratibu wa Korosho kiasi hasara nikubwa kuliko mafanikio. Zao la Korosho limepata pigo kubwa kiasi kwa habari za kapetini itachukua muda kuwa ktk hali yake yakawaida.

Zao lakorosho kwa haraka tu linakuwa na mzunguko sawa na budget ya mwaka mzima almost trilion sasa nilipo ona mnatoa bilion nikajuwa hapa babaamegusa mkia wa nyoka mwenye sumu kali maana huitaji kugongwa ila kitendo chakumgusa tayar sumu inakuingia.

Sina shida na utendaji wako na nia njema kwa Raia wako. Ila nakukumbusha wapo wenye akili kuzidi kiti nahawa nihatari kuliko vile unawaza. Hawa hawana jeshi wala usalama ila njia zao na taratibu zao zinaweza kausha serikali. Sikuzote muogope mtu mwenye akili wala sio mwenye jeshi na silaha. Akili nihatari sana kwasabau mwenye akili hufanya mambo bila kuonekana n mwisho hupata result. Ndio maana unakitengo cha ujasusi sasa kama kweli unamajasusi wazuri wenye akili kama rais unapiga miluzi. Ila kama una jasusi aina ya wale bijana basi accept the result. Kiongoz mkubwa kama Rais hupaswi kuonekana kila mahali ila acha itifaki izingatiwe na wewe mwisho ndio mwenye sifa zote.
 
Kura zinabembelezewa hapo.

Kampeni maridadi kabisa.
 
wizara si waziri pekee kuna watu wizarani ndo watendaji hasa kama Katibu mkuu Wakurugenzi NK nahisi ndo walengwa hasa
Mkuu, hili jambo hadi Rais anaona... Wehauoni kama kuna tatizo la kimkakati na utekelezaji..??
 
Mkuu, hili jambo hadi Rais anaona... Wehauoni kama kuna tatizo la kimkakati na utekelezaji..??
nimeliona ila nilivyomskiliza bosi wa takukuru inaonyesha kuna maofisa wizarani wanahusika zaidi kwani kwa uchunguzi wao viongozi wa vyama kule wamekutwa ni watu kama wametumika tu ni watu masikini wasio chochote ila hela zimepigwa na kundi flani ndo wanalofuatilia hicho ndo nilicho maanisha mkuu
 
Zimeshanunuliwa znaenda majuu Huko .maeneo nilipo daily semi znapita zikiwa zimesheheni Makorosho
Na hii pesa ni ya nini sasa ?, au wale hawajalipa ?
 
Kwa nini kodi za wananchi zikanunue korosho?

Yaani mtu afanye makosa kwa maamuzi ya kukurupuka kisha akachukue kodi za wananchi kulipia gharama za makosa yake, hii imekaaje?

Hizo hela zitarudijerudije?
 
”Tuna Rais wa ajabu ajabu, kweli kweli”
”Tuna Rais wa ajabu ajabu, kabisa kabisa”
Kikowapi cha kutujazia majeshi na malori yao vijijini. Kama tupo vitani vile.

Washamba kwa kujimwambafay tu hamjambo!
 
Serikali ikome kujiinguza kwenye shughuli ambazo hakustahili. Yote haya kaharibu Meko, amekuta wadau wa korosho wameanzisha mfuko wa maendeleo wa zao la Korosho. Mfuko ulikuwa unasimamiwa na Bodi ya Korosho, alipoingia akavunja Bodi na kuchukua hela za mfuko na kuziingiza kwenye mfuko wa hazina. Walimuonya bungeni lakini hakushaurika na akaishia kusema eti wanasiasa wana uchezea mfuko wa korosho.

Kama angekuwa ameacha korosho iendelee kusimamiwa kama ilivyokuwa zamani basi mfuko huo ungesaidia kufidia wakulima pale bei ya Korosho inapokuwa imeteremka kama mwaka huu.

Lakini vichwa vya Watanzania vimejaa kamasi tu, utasikia wanamshangilia kwa hii taarifa ya leo.
Umeongea vizuri sana....ingawa si Vyema kumuita Meko....katika kosa alilofanya Rais ni kuvamia mfuko wa korosho....
Lakini issue nyingine ni kuwa yeye anaamini anajua kuliko mtu mwingine yoyote hivyo humuambii kitu...
 
serikali ishauza korosho zote ilizonunua toka kwa mkulima so ni issue ya kulipa tu coz hela ipo
 
Waulizen wana bukoba kuhusu rambi rambi zao huyu Mzee ni Tapeli Mkubwa haijawahi tokea ktk history ya hii nchi
 
Rais Magufuli ameiagiza wizara ya fedha kutoa jumla ya sh 40 bilioni ili kumaliza madeni wanayodai wakulima wa korosho.

Kadhalika mh Rais Magufuli amesema bado hajaridhishwa na utendaji wa wizara ya kilimo kwani bado kuna dhulma na wizi wa fedha za wakulima kunakofanywa na vyama vya ushirika

Source ITV habari!
Yeye ndio mpigaji namba moja tunalijuwa Hilo mbona
 
Ukisikia Kuna watu Wana roho ya uharibifu Basi ndo Kama jiwe Sasa.
 
Back
Top Bottom