ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
aha haa haaa!Ila Masoud,anampatia sana kumchora JPM bonge la kidevu
Hata mie though sina uhakika kama upande wa fao la kujitoa itazungumziwaHuu uzi nitausoma hadi nukta ya mwisho
Angekaa kimya napo hamngenyamaza Enyi Wagalatia msio naakili ninani aliyewaroga?watu wanatafuta kiki tu hapo.
wametengeneza tatizo ili waonekane wamelitatua!
si ajabu waziri mhusika akatolewa kafara.
kukiwa na point nzuri usisahau kunitagiLet's wait
Sawa mtoto Wa kikeMheshimiwa Raisi anaongea na viongozi wa vyuma wafanyakazi,nimelipongeza sana,yani moyo wangu umesuuzika sana. Asante sana Mpendwa rais wetu. Pia tuangalie tulio sekta binafsi kwani sisi mkataba wetu mrefu miaka miwili,fao la kujitoa pia liangaliwe.
Kweli kwa hili umenigusa sana.
Hivi kuna siku mlikubari hata jambo moja lililofanyika na J.Mbinu za kishamba sana !
Mnapoambiwa katiba ni mbovu ndiyo maana yake. Tz Rais ana nguvu za kimungumunguInasikitisha saana,yaani mtu mmoja ndo anasubiriwa atoe maumuzi.
MI binafsi nimepata ugumu kuuelewa, huyu si ndo alienda Clouds fm akatoa ufafanuzi flani hivi
sisi hatupendi unafiki...Angekaa kimya napo hamngenyamaza Enyi Wagalatia msio naakili ninani aliyewaroga?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]kweli mkuu, cdm walileta sera ya 25% na kikokotoo cha kipuuzi raisi wa wanyonge katengua
Kwani mbaya?Sitashangaa kusikia kuwa leo anawaongeza jmaa mishahara ghafla na mambo ya kikokoto kipya anayatupilia mbali. Hii ndyo inaitwa create a problem, solve it and become a hero in politics
Sent using Jamii Forums mobile app
Siamini unachokiongeahuyu AG hajui tofauti kati ya mshahara na ujira??"wages and salaries"...eti tukafanye analysis kwanza... hopeless kabisa!!