ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Mifuko kufa inahusu nini kwa mfanyakazi , mifuko inaenda kuwekeza kwenye upumbavu usiokuwa na faida.
Tena huyu mama wa SSRA asifikiri zile fedha zinazochangiwa zinaenda kukaa, zinaenda kuwekezwa.
Wafanyakazi wakidai riba hiyo mifuko inaweza kulipa.
Mama Irene asifikirie yale mafao ni hisani.
Tena huyu mama wa SSRA asifikiri zile fedha zinazochangiwa zinaenda kukaa, zinaenda kuwekezwa.
Wafanyakazi wakidai riba hiyo mifuko inaweza kulipa.
Mama Irene asifikirie yale mafao ni hisani.