Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Lisu analazimisha umaarufu kwa wazungu ili wamchague 2020.Anataka umaarufu.
π utaona humu wanavyopita na mapambio yao ya ashurukuriwe mtukufu
Welcome Back the everestLet's wait
Mh, Rais John Pombe Magufuri ametigua kitendawili hicho baada ya kusema kila mfuko uendelee na kanuni yake ya kikokotoo kwa wastaafu mpaka mwaka 2023. Pia ametoa maelekezo yafuatayo kwa mifuko ya hifadhi ya jamii
1). Kuhakikisha hakuna wastaafu hewa kwenye daftari la wastaafu.
2). Mifuko ya jamii kupunguza matumizi yasiyo na tija. Mfano kuchapisha kalenda na kujenga vitega uchumi visivyo leta faida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujiaibisha wewe. Msukule ni yupi kati ya aliyesema anaunga mkono 25% na aliyepinga?Hakuna cha wapinzani wala nini, viongozi wa vyama vya wafanyakazi ndiyo walimtafuta rais, waliomba kuonana naye na siyo hiyo misukle ya upinzani ambayo haijui kitu
upinzani wa matukio chini ya Magufuli utajifia taratibu kwa kifo cha maumivu makali mno na hii inatokana na rais Magufuli alivyo mtekezaji. huu upinzani umejikita katika ajenda za matukio ambazo zinafanya kukosa nguvu pindi Magufuli anapowajibika nazo. CCM na Magufuli oyeeee
kila mtu akinunua bajaji atakayepanda ni nani ?raha sana! ukiwa umeajiriwa na serikali au shirika la umma wewe ni kama mtoto wa familia bora usipolizika unajiliza kisha baba anakuja kukubembeleza!
sasa njoo huku sekta binafsi ikiwa mshahara 300,000 ni hiyo tu na haitegemei kupanda na hakuna huduma zingine kama matibabu
changamoto ya maisha haya inakuja pale kazi inapokwisha uishi maisha binafsi kama haukujipanga na kwa bahati mbaya ulikuwa na kipato kidogo na nyongeza ulichelewa kuoa na kujenga familia hivyo mtoto wa kwanza yuko form two!
hivyo nawashauri tumieni fursa ya kuajiriwa kukopa na kuwekeza sio kununua vigari kila kukicha hatuoni wivu lakini ndo ukweli tulioko huku tunaona fursa mnazo sana kuzidi mnavyofikiria.
hivi kuna tabu gani ukakopa ukanunua bajaji ukatumia kama 7,000,000/- mpaka 8,000,000 kwa siku ukapata 20,000 ambazo kwa mwaka ukapata 7,200,000/- inayotosha kusimamisha nyumba ndogo ya kupangisha ya vyumba viwili mpaka linta? tutaendelea nina mteja kwanza
Hata u kustaafu leo itategemea uko mfuko upi. Kama sio LAPF, PSPF bado 25 inakuhusu
Kwanini katatua hilo tatizo jamani, UFIPA watamponda wapi Raisi wetu Mpendwa MAGUFULI kwa majungu yasiyo na tija?
Yani nyie magamba shida kweli, nyie mwanzo si mlikuwa mnapongeza kuwa 20% ni sawa, leo tena ooh Rais kafanya sawa, mko ka kinyonga banaHii ndio maana ya kuwa na Rais anaye jali watu anaowangoza, sikukuu na mapumziko bado yuko ofisini anatatua matatizo ya Watu. Sio serena kule serengrti au jamaica kwenye bembea, tofauti ni kifo na usingizi na niwazi kabisa kwa kila mmoja kujionea. Sitamwelewa JPM kama hatakubali kutongoza mpaka 2030 angalau aondoke katuachia na,katiba ya wananchi.