Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

😀 utaona humu wanavyopita na mapambio yao ya ashurukuriwe mtukufu

Hii ndio maana ya kuwa na Rais anaye jali watu anaowangoza, sikukuu na mapumziko bado yuko ofisini anatatua matatizo ya Watu. Sio serena kule serengrti au jamaica kwenye bembea, tofauti ni kifo na usingizi na niwazi kabisa kwa kila mmoja kujionea. Sitamwelewa JPM kama hatakubali kutongoza mpaka 2030 angalau aondoke katuachia na,katiba ya wananchi.
 
SAFII SANA MH. RAIS MAGUFULI. God bless you
Mh, Rais John Pombe Magufuri ametigua kitendawili hicho baada ya kusema kila mfuko uendelee na kanuni yake ya kikokotoo kwa wastaafu mpaka mwaka 2023. Pia ametoa maelekezo yafuatayo kwa mifuko ya hifadhi ya jamii

1). Kuhakikisha hakuna wastaafu hewa kwenye daftari la wastaafu.

2). Mifuko ya jamii kupunguza matumizi yasiyo na tija. Mfano kuchapisha kalenda na kujenga vitega uchumi visivyo leta faida.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
upinzani wa matukio chini ya Magufuli utajifia taratibu kwa kifo cha maumivu makali mno na hii inatokana na rais Magufuli alivyo mtekezaji. huu upinzani umejikita katika ajenda za matukio ambazo zinafanya kukosa nguvu pindi Magufuli anapowajibika nazo. CCM na Magufuli oyeeee

Acha utoto, kama huna hoja kaa kimya.
 
raha sana! ukiwa umeajiriwa na serikali au shirika la umma wewe ni kama mtoto wa familia bora usipolizika unajiliza kisha baba anakuja kukubembeleza!

sasa njoo huku sekta binafsi ikiwa mshahara 300,000 ni hiyo tu na haitegemei kupanda na hakuna huduma zingine kama matibabu

changamoto ya maisha haya inakuja pale kazi inapokwisha uishi maisha binafsi kama haukujipanga na kwa bahati mbaya ulikuwa na kipato kidogo na nyongeza ulichelewa kuoa na kujenga familia hivyo mtoto wa kwanza yuko form two!

hivyo nawashauri tumieni fursa ya kuajiriwa kukopa na kuwekeza sio kununua vigari kila kukicha hatuoni wivu lakini ndo ukweli tulioko huku tunaona fursa mnazo sana kuzidi mnavyofikiria.

hivi kuna tabu gani ukakopa ukanunua bajaji ukatumia kama 7,000,000/- mpaka 8,000,000 kwa siku ukapata 20,000 ambazo kwa mwaka ukapata 7,200,000/- inayotosha kusimamisha nyumba ndogo ya kupangisha ya vyumba viwili mpaka linta? tutaendelea nina mteja kwanza
kila mtu akinunua bajaji atakayepanda ni nani ?
 
Bado siku chache tutakuwa 2019. Uchaguzi ni 2020. Kipindi cha mpito hadi 2023.

Akili kichwani.

Bado kulikuwa na mfuko kama PPF chenye kikokotoo hicho cha 25%. Hao hakuna nafuu yoyote.
 
Hii ndio maana ya kuwa na Rais anaye jali watu anaowangoza, sikukuu na mapumziko bado yuko ofisini anatatua matatizo ya Watu. Sio serena kule serengrti au jamaica kwenye bembea, tofauti ni kifo na usingizi na niwazi kabisa kwa kila mmoja kujionea. Sitamwelewa JPM kama hatakubali kutongoza mpaka 2030 angalau aondoke katuachia na,katiba ya wananchi.
Yani nyie magamba shida kweli, nyie mwanzo si mlikuwa mnapongeza kuwa 20% ni sawa, leo tena ooh Rais kafanya sawa, mko ka kinyonga bana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom