Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Kikokotoo cha zamani kitatumika mpaka 2023, mmmh isije kuwa anataka tu kura za wafanyakazi 2020 baada ya hapo tabu iwe pale pale
 
Naombeni Mods msiunganishe huu uzi, usimame kama ulivyo.
Nyie Wabunge wa Upinzani Mungu atawabariki sana,mlipiga kelele sana juu ya Ukatili na Mateso ya Kikotoo Kipya cha 25%,mlipiga kelele, wabunge wenzenu wa CCM walikuwa kimya, na wengine walienda mbele kumpongeza Raisi kwa Kikotoo kipya na kuwaita wale wote waliokuwa against the new 25% scheme kuwa ni maadui wa Taifa.
Juzi tu Mh John Mnyika katika uwekaji wa jiwe la Msingi ujenzi wa Barabara Mpya uliofunguliwa na Rais Magufuli Mnyika alizungumzia kuhusu adha ya 25% wanayopata wastaafu.
Leo Raisi amepiga mule mule walipokuwa wanapiga wapinzani, ni aibu kubwa sana kwa wale wote waliokuwa wana support that new Scheme kwa Kigezo cha Kumuunga Mkono Raisi.
Raisi amewaumbua.
Mungu wabariki wana Wabunge wa Upinzani.
Hakuna cha wapinzani wala nini, viongozi wa vyama vya wafanyakazi ndiyo walimtafuta rais, waliomba kuonana naye na siyo hiyo misukle ya upinzani ambayo haijui kitu
 
Habari
Leo Rais Magufuli amecheza vizuri ule mchezo wa tengeneza tatizo Kisha tatua ili uwe shujaa. Sasa ni mwaka wa tatu hakuna nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi. Sasa nawauliza hao viongozi waliokaa na Rais Je vip swala la nyongeza ya mshahara ndo limeshakufa kibudu
 
Habari
Leo Rais Magufuli amecheza vizuri ule mchezo wa tengeneza tatizo Kisha tatua ili uwe shujaa. Sasa ni mwaka wa tatu hakuna nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi. Sasa nawauliza hao viongozi waliokaa na Rais Je vip swala la nyongeza ya mshahara ndo limeshakufa kibudu
Fanyeni kazi zenye tija mjenge nchi nyongeza baadae sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera Mh JPM Rais wa JMT kwa kugundua hujuma ulizokuwa unafanyiwa kupitia mafao yaxkustaafu ya wafanyakazi, na rudia hongera kwa kuwa umeona hili, Usishie hapo liko fao la kujitoa nalo ulirudishe na vema ukajua ni nani walikuwa nyuma ya,hii hujuma.
Walianzia mbali sana... afu kidogo kidogo
 
Habari
Leo Rais Magufuli amecheza vizuri ule mchezo wa tengeneza tatizo Kisha tatua ili uwe shujaa. Sasa ni mwaka wa tatu hakuna nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi. Sasa nawauliza hao viongozi waliokaa na Rais Je vip swala la nyongeza ya mshahara ndo limeshakufa kibudu

Ww nawe Huna jema duh
 
Back
Top Bottom