Hao wawakilishi wa wafanyakazi ni wajinga
Badala waombe mishahara mikubwa ili wafanyakazi watatue matatizo yao ya sasa eti kikokotoo ambapo hujui lini utakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja alijaribu kuzungumzia hayo Rais akamrekebisha kwa kumuambia a-focus kwenye kikotoo na mafao..Nafikiri walijikita kwenye hilo zaidi.