Rais Magufuli afanya Mabadiliko ya teuzi, amteua Mhandisi Mwita kuwa RC Njombe


Nimecheka Sana......halafu kwa nguvu
 
Aachwe afanye kazi yake Raisi wa nchi, wewe fanya zako! Unajua je mteuliwa wa kwanza kakiri hatapaweza? Ni bora kukubali kuwa huwezi kuliko kukimbilia cheo usichokuwa na uzoefu nacho halafu ukachafuke. Mimi namsifu!
 
Hivi Jumanne Fikha alikuwa ameshaapishwa?? Au ni juu kwa juu??
 
Nimecheka Sana......halafu kwa nguvu
Hapo ulipokuwa hawakukutimua lakini kwamba unawapigia kelele?! All in all, itakuwa nimepatia kuhusu Pepo la Kusi kutaka kutuharibia mpendwa wetu, si eti!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…