Yule ni Rutengwe sio Luhwavi. Huyu Luhwavi ni kiongozi mwandamizi wa CCM na alikuwa kwenye bodi ya Uhuru na Mzalendo.Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Usiniletee huu upuuzi mimi siamini kwenye dini zenu hizi za waarabu na wazungu
Nijibu swali langu ,Umesema uislamu ni dini ya Mwenyeezi Mungu , kwa maana kwamba hawa wengine dini zao sio za Mwenyezi Mungu ,sasa ni Mungu gani anakubali dini yake iburuzwe na Wakiristo ?
Luhawvi,pia ni jembe mchapa kazi mwanasiasa nguri anajua na anaelewa wananchi wanataka nini na sio Mh Rais anataka nini..Yule naibu katibu mkuu wa ccm anaitwa nani ?
Kumbuka Nchimbi alikuwa ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM,yeye na Pindi Chana wametumbuliwa kijanjaIngekua hivyo Kamala asingerudi Kugombea, au yule mtoto wa karume kila uchaguzi alikua anarudi Kugombea Urais Zanzibar
Mda wa kuipiga mambo mpk kucheee full uhuruUnapotenganishwa makazi na mkeo ni lazima ujiulize mara mbilimbili, pesa zisiwafanye watu wawe walemavu wa akili.
Ujiulizi ni kwa nini mods wameidampo huko chitchat?Kuna page ya darsa ukitaka kuuliza, pitia hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
Ujiulizi ni kwa nini mods wameidampo huko chitchat?
Mtu makini jukwaa la chitchat akafuate nini? Unatafuta kick za kipuuzi kabisa.
nami nahitaji kulifaham hili,wamemsikia nin na harakati zake ha haBalozi Mohamed Said ni huyu wa jamii forums ?
hawa ndugu zetu acha waje elimu dunia ugaidi utapungua,maana asilimia 90 wanaojilipua elimu ni darasa la saba na madrassaKwani Hata hivyo uwiano wa wasomi kati ya wakristo Na waislam ukoje hapa TZ ? Je ni almost Sawa ? Au dini ipi iko Na wasomi wengi? Historia inaonesha elimu ililetwa Na wamissionary ambao Ni wakristo , Watu walikuwa wakihimizwa kwenda Shule Kwa wa missionary ambako Na ukristo ulikuwa ukifundishwa, Kwa jamii za waislam kulikuwa na mwitikio mdogo ama haukuwepo Kabisa sababu walihofia kwenda kubadilishwa dini Na kuwa wakristo Na kuepuka kwenda kulishwa nyama za nguruwe n.k! Kumbuka Kwa miaka mingi wakristo walikuwa wanaendelea kusoma hawa kusimama kuwasubiri waislam waamue kuanza kwenda Shule ! Sasa waislam walipoanza kuja kustuka Kumbe elimu dunia ni jambo muhimu tayari pengo kubwa lilishajitokeza kati ya wasomi wa Kristo Na wasio wakristo hali hiyo ime endelea hadi Kesho Na hakuna namna hiyo gap itaweza ondoshwa! Kwa hiyo haina haja ya kimlaumu Mkwezi wakati nazi imeliwa Na mwezi! Pia haina haja ya kumlaumi Dobi wakati weusi wa kaniki Ndiyo Rangi Yake ! Unless niambiwe kuwa ratio ya dini hizo mbili Kwa wasomi Ni 50 by 50 hapo Hata Mimi nitaona kuna dosari ktk teuzi!
Kwani Hata hivyo uwiano wa wasomi kati ya wakristo Na waislam ukoje hapa TZ ? Je ni almost Sawa ? Au dini ipi iko Na wasomi wengi? Historia inaonesha elimu ililetwa Na wamissionary ambao Ni wakristo , Watu walikuwa wakihimizwa kwenda Shule Kwa wa missionary ambako Na ukristo ulikuwa ukifundishwa, Kwa jamii za waislam kulikuwa na mwitikio mdogo ama haukuwepo Kabisa sababu walihofia kwenda kubadilishwa dini Na kuwa wakristo Na kuepuka kwenda kulishwa nyama za nguruwe n.k! Kumbuka Kwa miaka mingi wakristo walikuwa wanaendelea kusoma hawa kusimama kuwasubiri waislam waamue kuanza kwenda Shule ! Sasa waislam walipoanza kuja kustuka Kumbe elimu dunia ni jambo muhimu tayari pengo kubwa lilishajitokeza kati ya wasomi wa Kristo Na wasio wakristo hali hiyo ime endelea hadi Kesho Na hakuna namna hiyo gap itaweza ondoshwa! Kwa hiyo haina haja ya kimlaumu Mkwezi wakati nazi imeliwa Na mwezi! Pia haina haja ya kumlaumi Dobi wakati weusi wa kaniki Ndiyo Rangi Yake ! Unless niambiwe kuwa ratio ya dini hizo mbili Kwa wasomi Ni 50 by 50 hapo Hata Mimi nitaona kuna dosari ktk teuzi!
= hujiulizi
Ni mimi niliyeifunguwa chichat kwa kuwa ule ni uzi wa "general knowledge", sina uhakika kama unaelewa maana ya chit chat au general knowledge.
Maana katika members wa JF wewe u finyu sana.
Geneva ndipo ilipokuwa makao makuu ya UN,hata hivyo bado ni makao makuu ya mashirika ya UNGeneva ni makao makuu ya UN kwa Ulaya
Usiniletee huu upuuzi mimi siamini kwenye dini zenu hizi za waarabu na wazungu
Nijibu swali langu ,Umesema uislamu ni dini ya Mwenyeezi Mungu , kwa maana kwamba hawa wengine dini zao sio za Mwenyezi Mungu ,sasa ni Mungu gani anakubali dini yake iburuzwe na Wakiristo ?
Hakika umeongea la msingi sanaHebu fikiria kivingine, muislam anapopata nafasi standard ya familia yake pia inapanda anaweza hudumia watu wengi zaidi hata kama ni wafamilia yake maana yake ni kuna jamii ambayo ni familia yake itapanda kiasi hivyo kunyenyua hali zao ila kama wanao chaguliwa ni wakristo tu hapo kuna jamii itabaki maskini na kuna jamii itaendelea kuwa na ukwasi
Hivi unavyopigania hivi ugali wa mtu ni nani anayepigania ugali wako kiasi hiki?
Nikuulize tu kama kateuliwa Muhammad Rashid kuiwakilisha Tanzania USA wewe unanufaikaje na maisha yake huko Washington DC?
Kaenda kuiwakilisha Tanzania kwenye nchi ya kikafiri inayochagiza mapenzi ya jinsia moja pengine nae Muhammad Rashid ni mtu wa totoz na mitungi club sana wewe kama muislamu swafi huo uteuzi wake unakunufaisha wapi wewe na hiyo dini yako ?
Sisi hatuna muda wa kulalamika kwa vitu vya kipumbavu kama hivyo mmepewa haki ya kuchinja kwa mujibu wa dini yenu kwenye machinjio ya serikali tumenyamaza.Msilete ngonjera za ajabu ajabu
Msilete excuse za ajabu ajabu...
Hii nchi ni yetu sote na kila mtu ana haki ya kunufaika na nchi hiii
Mbona wakiteuliwa watu wa iman nyingine hususan waislam kwenye hizo positions mfano enz zile za utawala wa kikwete nyinyi mlikua mnalalamika kuwa JK ni mdini anapendelea waislam hata kama ni kweli alikuwa anawapa nafasi nyinyi?
Kama wanufaika walikuwa wakristo wenzenu familia zao kwanin nyinyi povu liliwatoka?
Kumbe mkuki kwa nguruwe tuh?