Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Pamoja na hayo ila kuna makada loyal wametoswa na yeye wa team Lowasa kateuliwa,Atapelekwa Kinshasa akacheze ndomboro ya solo
Cc.LizaboniSi nilisikia Nchimbi ata.....
Duh!
Kweli CCM ina wenyewe.
Hii inaitwa amnesia retrograda, nilifundishwa wakati nachukua General MD...si bureMtume Muhamadi alishaitawala kwa haki Madina huku yeye akiwa ndiye waumini wachache ktk huo mji, hili ni swala la kitaifa. Kwa maslahi mapana ya nchi yetu, hiyo sumu itageuka maziwa na asali kwa uwezo wa Allah, Mungu wa wote na mwenye kurehemu fadhila nyinginyingi kubwa na ndogo, haswa kama aliyefanya uteuzi huo aliufanya kwa kuzingatia vigezo vya kufanikisha majukumu husika, ulitaka balozi wa Vatican awe Ramadhani na Saudia awe John ? Hata hii nchi ingekuwa ni kampuni yako binafsi ungefanya hivyo. Vipi kuhusu misimamo ya nchi, mtu binafsi na nchi anakokwenda ? Nadhani kuna mengi yanayozingatiwa hapo. Halafu hao wote wanaweza wakawa ni waumini wa dini moja tu eidha waislamu au wakristo au wote hawana hata dini, wazazi wao tu waliwapatia hayo majina na wenyewe hata hawayataki.
Mkuu kwani shida iko wapi? Mtu kuteuliwa ...Teuzi zitaisha lini sijui! Hatimae Nchimbi wamemkumbuka.
mbaya zaidi kuna vijana wamesimamishwa bila hatia afya na mahakamaHayo yote anafanya. Anashindwa kusaini kibali cha ajira!?
Ili aweze kuwaburuza....!!??&&$$##@@Kwa huu uteuzi sidhani kama mkuu huwa anapata muda wa kuchambua, nadhani akiwaza basi atakaye kuja kichwani basi anambeba. balozi ni MTU muhimu sana , lakini hapa naona siasa zimetawala kwenye uteuzi kuliko vigezo vya kiutendaji.
Kabisa. ...he was smart to stay within COM after the falloutNchimbi anatupwa mbali na siasa za Tanzania
Mmemchagua wenyewe,mmeipenda wenyewe na namba mnaisoma wenyeweTwaona yanazidi, asilimia zile zile. Panga pangua.
Dini umeletewa na muarabu lakini mjuaji hatari. Dini za wenzetu, tuwaachie dini zao. Upumbavu mtupu unaouonyesha!!
Hakuna shida mkuu.Mkuu kwani shida iko wapi? Mtu kuteuliwa ...
Ccm is for Christian kwani ulikuwa hulijui hili? Au kazi ya condom na toilet paper huijui?
Toilet paper ukishamaliza kuchambia ni ya kutupwa na kuflush chooni tu.
Hapana si kweli, aliyekufundisha hivyo kakujaza ujinga.
Issa, Mussa, Yusuf, Yakoub, Suleman...Adam.
Jee, wote hao ni Waarabu?