johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Style ya Magu ni kutugombanisha sisi kwa sisi afu yeye anaendelea kuvurunda.Jamaa linajiamini sana,liko busy kusongamanisha watz kwenye zinduzi zake za mashimo ya vyoo wakati changamoto za upumuaji zikiondoka na mamia kila siku
😀😁😂😃😄😘😃🤣😂😁😁😅😄😃Mzee baba kama kalanduka
Uongozi Uunganishe Huu Na Ule MwingineHuu uzi una tofauti ngani na ule mwingine, au ni muendelezo kama bongo muvi.
Ni kiwanda baada ya kiwandaUongozi Uunganishe Huu Na Ule Mwingine
Umenikumbusha bongo movie jambazi anavua viatu anapoingia ndani ya nyumbaHuu uzi una tofauti ngani na ule mwingine, au ni muendelezo kama bongo muvi.
Jambazi hana heshima yoyote!Angemnyima ubunge kuliko kumvunjia heshima
Ni kiwanda baada ya kiwanda
Tunatekeleza ilani ya CCM bwashee!