Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize; barabara ya Mwz-Musm pale Kisesa kuna vinu vya kumwaga vya kukobolea mpunga atakuja kuzindua lini? Pia barabara hiyo hiyo eneo la Lamadi kuna kingine kikubwa kuliko cha Kihonda hakijazinduliwa pia.Ni kiwanda baada ya kiwanda
Tunatekeleza ilani ya CCM bwashee!
Muulize; barabara ya Mwz-Musm pale Kisesa kuna vinu vya kumwaga vya kukobolea mpunga atakuja kuzindua lini? Pia barabara hiyo hiyo eneo la Lamadi kuna kingine kikubwa kuliko cha Kihonda hakijazinduliwa pia.Ni kiwanda baada ya kiwanda
Tunatekeleza ilani ya CCM bwashee!
Amezindua kiwanda cha ngozi na kinu cha kukoboa mpunga.Ni kiwanda baada ya kiwanda
Tunatekeleza ilani ya CCM bwashee!
Hutu bwana haeleweki kabisa kwa namna anavyobehave,anazidiwa mpaka na Kenyetta mvuta sigara kubwaJana kamuumbua Meya kuwa kaingia kwa rushwa na Leo mbunge.
Huyu mzee baada ya kupiga chanjo kwa siri inaonyesha imempa style mpya ya kuumbuana yeye na wenzake.
Mkuu Jiwe anataka sifa zote ziende kwake na mabaya yote kwa wengine. Yeye binafsi pamoja na wasaidizi wake/Mataga wanadai hajawahi kukosea hata kidgoAngemnyima ubunge kuliko kumvunjia heshima.
Kama Cherehani nne ni kiwanda, sasa vp mashine ya kukoborea mpungaAwamu hii tutaona mengi! machine ya kukoboa inaitwa kiwanda awamu hii? 😀
Anazindua mashine ya kukoboa mpunga,bado atazindua kibanda cha kuuza juiceRais Magufuli amefungua kiwanda cha kukoboa mpunga Kihonda Morogoro.
Rais Magufuli amempongeza mwekezaji wa kiwanda hicho na kumlaumu mbunge wa Morogoro mjini mh Abood kwa kupewa viwanda viwili na serikali na yeye badala ya kuviendeleza akavitumia kukopea benk na kununua mabasi.
Rais Magufuli amewataka wawekezaji kuitendea haki nchi hii.
Maendeleo hayana vyama?
Mapichapicha tu!😂Huu uzi una tofauti ngani na ule mwingine, au ni muendelezo kama bongo muvi.
Nionyeshe mmoja tu asiyezingua huko mbogani mbogani,nami ntakuonyesha ushahidi wa jua likitokea Kusini.ila abood anazingua sana basi tu
Ndivyo mnavyo shindwa mitihani! Kiwanda ni cherehani nne siyo mbili (ref. Mwijage, 2018)Kama Cherehani mbili ni kiwanda, sasa vp mashine ya kukoborea mpunga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu Chakaza kwa hili la chanjo una bajeti ya wakili wa kesi ya uchochezi?Jana kamuumbua Meya kuwa kaingia kwa rushwa na Leo mbunge.
Huyu mzee baada ya kupiga chanjo kwa siri inaonyesha imempa style mpya ya kuumbuana yeye na wenzake.
Mwambie aje hapa Nyampulukano mtoto wa dadangu kanunua Mashine ya kusaga na kukoboa kama hiyo ila hatukujua kama inaitwa Kiwanda.Ni kiwanda baada ya kiwanda
Tunatekeleza ilani ya CCM bwashee!
Jibu ni rahisi tu, unapata Mchele. Kiwanda tayari.Una uhakika alichofungua ni kiwanda? Ukiingiza malighafi ya mpunga unapata nn?
Hahhaa kama vile amavyo unakiweka mahindi unapata unga...unauhakika siyo masjine ya SATAK hiyo ikiyotengenezwa na NANDRA ENG. pale Moshi?Jibu ni rahisi tu, unapata Mchele. Kiwanda tayari.
Style ya Magu ni kutugombanisha sisi kwa sisi afu yeye anaendelea kuvurunda.
Awamu hii tutaona mengi! machine ya kukoboa inaitwa kiwanda awamu hii? 😀
Ndo kilishaongezwa kwenye orodha ya viwanda vilivyojengwa ktk awamu ya 5. Haijarishi ni mashine au kiwanda.rais mzima anaenda kuzindua mashine ya kukobolea mpunga!
duh!
Nimerekebisha mkuuNdivyo mnavyo shindwa mitihani! Kiwanda ni cherehani nne siyo mbili (ref. Mwijage, 2018)
Kusema kiwanda nikusababisha taharuki hahahaaHuku kwetu tunasema ameenda kuzindua "mashine ya kukoboa", sio kiwanda. Ukisema kiwanda utafanya ionekane ni kitu kukubwa sana.