Rais Magufuli afungua Kiwanda cha Kukoboa Mpunga Morogoro. Amlaumu Mbunge Abood kwa kuua ajira Mjini Morogoro

Rais Magufuli afungua Kiwanda cha Kukoboa Mpunga Morogoro. Amlaumu Mbunge Abood kwa kuua ajira Mjini Morogoro

Huyo mbunge na vile hakuchaguliwa kwa kura kama anajitambua kwa kauli hizo za kudhalilishwa ni bora angejihuzulu. Kama kiongozi wako wa chama anasema umepoteza ajira za wananchi wako, sasa unaendelea kukaa kwenye hiyo nafasi umtumikie nani? Labda kama huo ubunge ni backup ya biashara zake na sio kutumikia wananchi.
 
sijui hii nchi atawale malaika ndio atasifiwa. maana jk alitukanwa sana, leo hayupo anasifiwa
 
Rais Magufuli amefungua kiwanda cha kukoboa mpunga kihonda Morogoro.

Rais Magufuli amempongeza mwekezaji wa kiwanda hicho na kumlaumu mbunge wa Morogoro mjini mh Abood kwa kupewa viwanda viwili na serikali na yeye badala ya kuviendeleza akavitumia kukopea benk na kununua mabasi.

Rais Magufuli amewataka wawekezaji kuitendea haki nchi hii.

Maendeleo hayana vyama?
Sasa Magu na abood wamefanana kwa kuuwa ajira.
 
Huyo mbunge na vile hakuchaguliwa kwa kura kama anajitambua kwa kauli hizo za kudhalilishwa ni bora angejihuzulu. Kama kiongozi wako wa chama anasema umepoteza ajira za wananchi wako, sasa unaendelea kukaa kwenye hiyo nafasi umtumikie nani? Labda kama huo ubunge ni backup ya biashara zake na sio kutumikia wananchi.
Kama kuuwa ajira ni sababu ya kujiudhuru wa kufanya hivyo mapema ni Magu, kauwa ajira nyingi kwa maamuzi yake.
 
Rais Magufuli amefungua kiwanda cha kukoboa mpunga Kihonda Morogoro.

Rais Magufuli amempongeza mwekezaji wa kiwanda hicho na kumlaumu mbunge wa Morogoro mjini mh Abood kwa kupewa viwanda viwili na serikali na yeye badala ya kuviendeleza akavitumia kukopea benk na kununua mabasi.

Rais Magufuli amewataka wawekezaji kuitendea haki nchi hii.

Maendeleo hayana vyama?
Una uhakika alichofungua ni kiwanda? Ukiingiza malighafi ya mpunga unapata nn?
 
Hichi siyo kile kiwanda alichozindua mama Samiah?? 🤔
Kuna picha za habari hii!!??

Everyday is Saturday................................😎
 
Miongoni mwa wabunge ambao sijawahi ona mchango wake n Abood. Zaidi utasikia anasaidia Kari la kwenda kuzika. Tz's akili ndogo
 
Miongoni mwa wabunge ambao sijawahi ona mchango wake n Abood. Zaidi utasikia anasaidia Kari la kwenda kuzika. Tz's akili ndogo
Ndio akili za huku ushenzini kwetu. Yaani ukishindwa kuhudhuria mazishi unalaumiwa kuliko asiyemchangia jirani yake ada ya shule. Africa ni giza kwelikweli
 
Jamaa linajiamini sana, liko busy kusongamanisha watz kwenye zinduzi zake za mashimo ya vyoo wakati changamoto za upumuaji zikiondoka na mamia kila siku.
Mchina kesha mletea chanjo akiwa kule kitovuni kwa utalii. Hutaiona tena ile feni inayowekwa karibu.
Lakini wengine anawaambia chanjo haifai.
Nakumbuka miaka ya mwanzoni hayati Julius alikuwa anawaambia watu kuwa TV hazifai ni vyombo vya mabeberu kumbe Msasani yeye anakula news tuu. Hadi watu waliposhtuka!
 
Huyo mbunge na vile hakuchaguliwa kwa kura kama anajitambua kwa kauli hizo za kudhalilishwa ni bora angejihuzulu. Kama kiongozi wako wa chama anasema umepoteza ajira za wananchi wako, sasa unaendelea kukaa kwenye hiyo nafasi umtumikie nani? Labda kama huo ubunge ni backup ya biashara zake na sio kutumikia wananchi.
Jana kamuumbua Meya kuwa kaingia kwa rushwa na Leo mbunge.
Huyu mzee baada ya kupiga chanjo kwa siri inaonyesha imempa style mpya ya kuumbuana yeye na wenzake.
 
Back
Top Bottom