Issue ya viwanda ishabuma hiyo.Watazindua hata karakana ya kukarabati baiskeli waite kiwanda!Kuchamba kwingi!Huku kwetu tunasema ameenda kuzindua "mashine ya kukoboa", sio kiwanda. Ukisema kiwanda utafanya ionekane ni kitu kukubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue ya viwanda ishabuma hiyo.Watazindua hata karakana ya kukarabati baiskeli waite kiwanda!Kuchamba kwingi!Huku kwetu tunasema ameenda kuzindua "mashine ya kukoboa", sio kiwanda. Ukisema kiwanda utafanya ionekane ni kitu kukubwa sana.
Mashine za kukoboa mpunga tunaziita viwanda?! Ndio maana tumeweza kujenga “viwanda “ 8,000 ndani ya miaka mitano.Rais Magufuli amefungua kiwanda cha kukoboa mpunga Kihonda Morogoro.
Rais Magufuli amempongeza mwekezaji wa Kiwanda hicho na kumlaumu mbunge wa Morogoro mjini mh Abood kwa kupewa viwanda viwili na Serikali na yeye badala ya kuviendeleza akavitumia kukopea benki na kununua mabasi.
Rais Magufuli amewataka wawekezaji kuitendea haki nchi hii.
Maendeleo hayana vyama?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee baba kama kalanduka
Sijui siku ile Radio na TV za Abood zilitangaza nini kwenye taarifa ya habari maana 75% ya hotuba ilikuwa masimango kwake 😅 🤣Rais Magufuli amefungua kiwanda cha kukoboa mpunga Kihonda Morogoro.
Rais Magufuli amempongeza mwekezaji wa Kiwanda hicho na kumlaumu mbunge wa Morogoro mjini mh Abood kwa kupewa viwanda viwili na Serikali na yeye badala ya kuviendeleza akavitumia kukopea benki na kununua mabasi.
Rais Magufuli amewataka wawekezaji kuitendea haki nchi hii.
Maendeleo hayana vyama?
Siyo masimango bwashee alikuwa anaelezwa ukweli live!Sijui siku ile Radio na TV za Abood zilitangaza nini kwenye taarifa ya habari maana 75% ya hotuba ilikuwa masimango kwake 😅 🤣
Au jini linaogopa magari wakati linavuka barabara.Umenikumbusha bongo movie jambazi anavua viatu anapoingia ndani ya nyumba
Kwani ni jukumu la mbunge kuajiri,hata hivyo yeye mkuu mbona kasimamisha ajira?.Mnatekeleza ilani ya ccm huku rais anamshutumu mbunge wa ccm aliyechaguliwa miezi michache iliyopita kuwa anaua ajira! Ifahamike huyo mbunge ana zaidi ya miaka 10 kwenye hilo jimbo,kama sio utapeli wa mchana kweupe ni nini?
Msema kweli mpenzi wa mungu wahindi matapeli sanaNi kiwanda baada ya kiwanda
Tunatekeleza ilani ya CCM bwashee!
Kwani ni jukumu la mbunge kuajiri,hata hivyo yeye mkuu mbona kasimamisha ajira?.
Na juzi aliwambia Magereza wasahau ajira labda wawape ajira hizo wafungwa.
Na yeye lini ataelezwa ukweli live wa kuua biashara ya korosho?Siyo masimango bwashee alikuwa anaelezwa ukweli live!
Tukiiteje,kama vyerehani v4 ni kiwanda je limashine la kukoboa na kufungasha Michele,kama si ubwabwa tuliiteje.Awamu hii tutaona mengi! machine ya kukoboa inaitwa kiwanda awamu hii? 😀
Umefika mahali pale na kushuhudia kinachofanyika!?rais mzima anaenda kuzindua mashine ya kukobolea mpunga!
duh!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji16][emoji23][emoji2][emoji1][emoji8][emoji2][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16][emoji28][emoji1][emoji2]
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Utopolo unazidiana huyu wa sasa ametisha yani anavurunda balaasijui hii nchi atawale malaika ndio atasifiwa. maana jk alitukanwa sana, leo hayupo anasifiwa