Zanika
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,316
- 752
Sasa hivi ni Dunia nzima na galaxy yote! Piga makofi tafadhaliHapa nasubiri tu hotuba ya Rais huwa zinachangamsha nchi nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi ni Dunia nzima na galaxy yote! Piga makofi tafadhaliHapa nasubiri tu hotuba ya Rais huwa zinachangamsha nchi nzima
Hapo yatajazana kuulizia nyongeza ya mshahara, hii kada sjui Kwa nn tu, ina member wenye low IQ sana. Bora ukauze maembe kuliko kuwa mwalimu.
Acha WivuNdungai hapitwi. Na tena anauhakika sasa hivi hatashtakiwa
Taja hiyo shule iko wapi inaitwaje unajua nyie kwa propaganda za kupotosha hamjamboMkuu chukua hao wanafunzi,ambapo ikama inasema kuwa kila mwalimu ahudumie watoto 45 , kwa idadi hiyo ya watoto 250 ukigawanya kwa walimu 6 unakuta kila mwalimu anapaswa kuhudumia watoto 41 ,kwa ikama inavyotaka utagundua kuwa walimu katika shule hiyo wamezidi na wanapaswa kupungua ili ikama ya idadi ya watoto 45 izingatiwe.
Kwa huo mfano ulioutoa ngoja na Mimi nikupe wa kwangu,hapa ninapofundisha Mimi shule yangu ina watoto 320 na idadi ya walimu 24, ikiangalia ikama na idadi ya vipindi unakuta kila mwalimu anahudumia watoto 13, na kwa mwalimu mwenyewe vipindi vingi kwa shule hii ni vipindi 12 ,wakati ikama inataka kila mwalimu awe na vipindi 24 kwa mwezi,huoni hapa kuwa kuna ziada ya walimu zaidi ya 5-9?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna shule inao walimu 4 na wanafunzi zaidi ya 800 Lakini ukienda hapo ukimuliza mwalimu changamoto za shuleni hapo atakwambia mambo ya madawati, nyumba za walimu na blah blah kama hizoMkuu chukua hao wanafunzi,ambapo ikama inasema kuwa kila mwalimu ahudumie watoto 45 , kwa idadi hiyo ya watoto 250 ukigawanya kwa walimu 6 unakuta kila mwalimu anapaswa kuhudumia watoto 41 ,kwa ikama inavyotaka utagundua kuwa walimu katika shule hiyo wamezidi na wanapaswa kupungua ili ikama ya idadi ya watoto 45 izingatiwe.
Kwa huo mfano ulioutoa ngoja na Mimi nikupe wa kwangu,hapa ninapofundisha Mimi shule yangu ina watoto 320 na idadi ya walimu 24, ikiangalia ikama na idadi ya vipindi unakuta kila mwalimu anahudumia watoto 13, na kwa mwalimu mwenyewe vipindi vingi kwa shule hii ni vipindi 12 ,wakati ikama inataka kila mwalimu awe na vipindi 24 kwa mwezi,huoni hapa kuwa kuna ziada ya walimu zaidi ya 5-9?
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaAcha Wivu
Hao waalimu unaowakashfu hapa ndio waliokufanya Leo ujione mjanja nyuma ya keyboard.
Wengine hao waalimu ni baba, mama na ndugu zetu na hata tunaosoma huu ujumbe wako ni waalimu. Wewe katika elimu yako kuna shule hukufundishwa na hawa waalimu unaowaita mialimu?
Nyie nyumbu pingapinga Fc ndo mnafanya wananchi wanaichukia chadema maana mkisikia Magufuli anafanya hata jambo la kawaida tu lazima mpinge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko sahihi, hata jpm, majaliwa, jenista Ni walimu.lakini wamewatupa sana walimu awamu hiiKuna shule inao walimu 4 na wanafunzi zaidi ya 800 Lakini ukienda hapo ukimuliza mwalimu changamoto za shuleni hapo atakwambia mambo ya madawati, nyumba za walimu na blah blah kama hizo
Kitu nilichogundua walimu awapendani na hii kitu serikali wanaitumia ipasavyo...umoja kati ya walimu ni sifuri hata walio kituo kimoja.
Mwalimu anasifia makusanyo ya kodiMbona nasikia mapambio ya kusifia tu
Moja ya kada ambayo ina watu wengi wa hali ya chini wasiotambua haki zaoSalaam Wakuu,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Chama Cha Walimu Tanzania-CWT.
Mkutano huo utafanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari za kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.
Tayari, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa-Takukuru, Mkoa wa Dodoma, imetangaza kuwa itashughulika na watu watakaojihusisha na vitendo vya rushwa katika Uchaguzi huo.
Nitawaletea Updates kwa kila kitakachojiri.
Karibuni.
===
UPDATES:
Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwamo Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako, Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mikoa mingine na viongozi wengine wengi.
Tayari M.h Rais Magufuli ameshawasili katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambaye tayari kwa ajili ya kuja kufungua Mkutano huu wa Chama cha Waalimu Tanzania ambapo amefika na kuwasalimia na kuwapungia mkono Waalimu wote waliohudhuria.
Wimbo wa Taifa unaimbwa kabla ya Rais kuketi na kufungua mkutano huu.
Kabla ya kukaribishwa Mh. Rais kuzungumza Mkutano huu umeanza kwa maombi kutoka kwa Sheikh na Mchungaji Davidi kalinga ambao wameanza kwa maombi kwa kumshukuru Mungu kisha kuomba amani na furaha katika mkutano huu pamoja na kumuombea Rais na viongozi wengine.
Mshereheshaji wa tukio hili ameanza kwa kuzingatia itifaki na kuwatambulisha viongozi mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano huu na kisha ameanza kusoma risala iliyoandaliwa.
Risala hii imeanza kwa kumshukuru Rais kwa kukubali kuwa Mgeni Rasmi mkutano huo kisha kumpongeza rais kwa miradi mbalimbali ambayo Rais ameitekeleza katika kipindi hiki cha miaka mitano pamoja na kuweza kulipa malimbikizo mbalimbali ya mishahara ya waalimu zaidi ya Bilioni 12.5.
Aidha, risala hiyo imebainisha changamoto ambazo waalimu wanakumbana nazo ikiwamo ukosefu wa nyumba za waalimu na pia rasala hiyo imemuomba rais kuwapandisha cheo waalimu kundi la waalimu walioajiriwa mwaka 2013/ 2014 wapandishwe cheo katika bajeti ya ya mwaka 2020/2021.
Zinawanyonya tu wanachama wa hizo organizationsBakwata na CWT sijui kama zinafaida gani ... Samahani kwa nlomgusa kwa maoni haya
ha ha nimecheka sanaWalimu wanasifia hadi kero daah....wanasema hamna haja ya nyongeza ya mshahara kwani aliyofanya magufuli Ni zaidi ya kuongeza mishahara Kweli kuliko kuwa Mwalimu Ni bora ukauze maembe