Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Kukitenganisha Chama Cha Walimu Tanzania na Serikali ya Nchi hiyo ni sawa na kutaka Kulitenganisha Tendo Zuri la Ndoa la Mume na Mke wake.
 
Wewe nawe unajiona una IQ kubwa kumbe hata kwenye kisoda tu haijai! Kwa hiyo unataka waulizie kuhusu maisha yako wewe na familia yako kama mnakula walau milo mitatu kwa siku, au?

Ujuaji mwingi kumbe kiazi tu! Ungekuwa unaelewa maana ya Working Class usingeandika huu ugoro wako. Unategemea Mfanyakazi anaye endesha maisha yake kwa kutegemea mshahara aombe nini kutoka kwa Mwajiri wake zaidi ya hiyo nyongeza ya mshahara, kupandishwa madaraja, mazingira bora ya kufanyia kazi, mafao yao kutoka kwa wakati, nk?

By the way, kuna mtu amekuzuia kuuza hayo maembe yako? Na mwisho wa siku atakaye kuja kuyanunua hayo ni maskini mwenzako au ni huyo huyo mwalimu?
Teaching job in Tanzania is a verified poverty grave , wajanja wote wanahama huko , wenye low IQ ndo wanabak,, JPMwenyewe alipakimbia , na kiuhalisia Hana la kuwasaidia, hakuna namna kuwa mwalimu unajiandaa kufa maskini tuu , 99% ya nyumba za walimu hazina rangi ,..... Muuza maembe ana chance ya kutoboa cse yeye anaupgrade mwalimu utaapgrade vip wakata mda wako unanyonywa to the maximum, na mshahara upo limited , kinachofuata ni kufight kupata nyongeza hewa ....
 
Mkuu chukua hao wanafunzi,ambapo ikama inasema kuwa kila mwalimu ahudumie watoto 45 , kwa idadi hiyo ya watoto 250 ukigawanya kwa walimu 6 unakuta kila mwalimu anapaswa kuhudumia watoto 41 ,kwa ikama inavyotaka utagundua kuwa walimu katika shule hiyo wamezidi na wanapaswa kupungua ili ikama ya idadi ya watoto 45 izingatiwe.


Kwa huo mfano ulioutoa ngoja na Mimi nikupe wa kwangu,hapa ninapofundisha Mimi shule yangu ina watoto 320 na idadi ya walimu 24, ikiangalia ikama na idadi ya vipindi unakuta kila mwalimu anahudumia watoto 13, na kwa mwalimu mwenyewe vipindi vingi kwa shule hii ni vipindi 12 ,wakati ikama inataka kila mwalimu awe na vipindi 24 kwa mwezi,huoni hapa kuwa kuna ziada ya walimu zaidi ya 5-9?


Sent using Jamii Forums mobile app
Niliandika 'zaidi ya 250'

Ila hata kama ni 250 kama ulivyopigia hesabu. So unachomaanisha mwalimu mmoja atafundiha darasa 1? Masomo yote? Mkuu mimi naamini serikali kutoajiri ni swala la kipesa zaidi kuliko nafasi.

Nilifaulu shule fulani hivi kijijini ndani ndani. Shule ilikua na walimu 3 na walitakiwa kufundisha kuanzia form 1 mpaka 6. Mpaka naondoka pale hakukua na ajira mpya.

Kisha kuna shule kama Kibasilailijaza walimu si mchezo
 
Ila mkuu, sisi wazazi/walezi tumefanya nini ili hao waalimu waajiriwe!!? Maana wanaoathirika ni watoto wetu. Vita ya elimu si ya waalimu pekee.
Wazazi si ndiyo hua tunajichanga ili vijana waliohitimu form 6 au vyuo na hawana ajira watufundishie watoto? Na si serikali ikakataza
 
Hawa ndiyo waalimu bana, wakati wa uchaguzi wanakuwa wa thamani na wapendwao baada ya uchaguzi......
 
Mkuu Kwani ni fani ngapi watu wamesoma na hawana ajira,watu wa sheria,community deve'nt, international rela.nk ije kuwa hao walimu,?

Mkuu Serikali imesema hakuna nafasi za ualimu kwa walimu kwa sasa ,je unawataka iwaajiri wapi ikiwa hakuna nafasi?

Tuache lawama ambazo haziwezi kubadili ukweli wa mambo

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli hao ambao hawana ajira wakaangalie maflyover, ili waone jinsi nchi hii ilivyo tajiri.
 
Teaching job in Tanzania is a verified poverty grave , wajanja wote wanahama huko , wenye low IQ ndo wanabak,, JPMwenyewe alipakimbia , na kiuhalisia Hana la kuwasaidia, hakuna namna kuwa mwalimu unajiandaa kufa maskini tuu , 99% ya nyumba za walimu hazina rangi ,..... Muuza maembe ana chance ya kutoboa cse yeye anaupgrade mwalimu utaapgrade vip wakata mda wako unanyonywa to the maximum, na mshahara upo limited , kinachofuata ni kufight kupata nyongeza hewa ....

Jipe moyo! Utashinda. Na endelea tu kuamini hivyo hivyo ya kwamba Walimu wote Tanzania ni MASKINI na wenye IQ ndogo.
 
5 years hakukuwa na jipya unategemea leo kutakuwa na nini kipya ?

Asipokuja na jipya mbona Crdb tayari wameshusha asilimia za mikopo ya Wafanyakazi mpaka 14%! Baada ya uchaguzi wa mwaka huu 2020, sidhani kama atatokea mfanyakazi wa kulalamikia kutopandishwa daraja au kuongezewa mshahara!

Wengi tutaendelea tu kujiongeza zaidi.
 
Wakuu pitieni na KTN news Kenya mda huu huko youtube palamagamba kabudi anaongea huko Kenya kwenye mkutano anaongea kwa kingereza na kiswahili, kwa kingereza kile naona wakenya wanakufa kwa kicheko aibu naona mimi
Kwani Kabudi nae pia anashida ya kiingerenza au ameambukizwa na boss wake
 
Back
Top Bottom