Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
$#$$$@&##$ sana weweAnatatua matatizo ya Watanzania, hiyo kada ndio pekee isiyo jielewa kabisa
Mniwie radhi walimu wangu. Hii kada naidharau sana maishani mwanga, sijui tatizo liko wapi!
Salaam Wakuu,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Chama Cha Walimu Tanzania-CWT.
Mkutano huo utafanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari za kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.
Tayari, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa-Takukuru, Mkoa wa Dodoma, imetangaza kuwa itashughulika na watu watakaojihusisha na vitendo vya rushwa katika Uchaguzi huo.
Nitawaletea Updates kwa kila kitakachojiri.
Karibuni.
===
UPDATES:
Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwamo Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako, Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mikoa mingine na viongozi wengine wengi.
Tayari M.h Rais Magufuli ameshawasili katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambaye tayari kwa ajili ya kuja kufungua Mkutano huu wa Chama cha Waalimu Tanzania ambapo amefika na kuwasalimia na kuwapungia mkono Waalimu wote waliohudhuria.
Wimbo wa Taifa unaimbwa kabla ya Rais kuketi na kufungua mkutano huu.
Kabla ya kukaribishwa Mh. Rais kuzungumza Mkutano huu umeanza kwa maombi kutoka kwa Sheikh na Mchungaji Davidi kalinga ambao wameanza kwa maombi kwa kumshukuru Mungu kisha kuomba amani na furaha katika mkutano huu pamoja na kumuombea Rais na viongozi wengine.
Katibu Mkuu wa chama cha Waalimu ameanza kwa kuzingatia itifaki na kuwatambulisha viongozi mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano huu na kisha ameanza kusoma risala iliyoandaliwa.
Risala hii imeanza kwa kumshukuru Rais kwa kukubali kuwa Mgeni Rasmi mkutano huo kisha kumpongeza rais kwa miradi mbalimbali ambayo Rais ameitekeleza katika kipindi hiki cha miaka mitano, Katika sekta ya elimu Rais amepongezwa kwa kuongeza miundo pamoja na samani.
Aidha, katika suala la upandishaji wa mishahara na urekebishaji wa mishahara kwa Waalimu Mh. Rais amepongezwa kwa kuruhusu zoezi la upandishaji mishahara na vyeo kwa zoezi ambalo lilikwama kuanzia mwaka 2014 ambapo inaelezwa kuwa hadi kufikia tarahe moja June 2020 serikali ilikuwa imeongeza mishahara na kuwapandisha vyeo Waalimu wapatao 121, 534.
Aidha kuhusu malimbikozo ya madeni yasiyo ya mishahara Mh. Rais amepongezwa kuwa hadi kufikia December 2019 serikali anayoiongoza ilikuwa imelipa kiasi cha Tsh Bilioni 12.05. Huku malimbikizo ya mishahara yakilipwa.
Aidha, risala hiyo imebainisha changamoto ambazo waalimu wanakumbana nazo ikiwamo ukosefu wa nyumba za waalimu na pia rasala hiyo imemuomba rais kuwapandisha cheo waalimu kundi la waalimu walioajiriwa mwaka 2013/ 2014 wapandishwe cheo katika bajeti ya ya mwaka 2020/2021.
Sambamba na hilo, risala hiyo imemuomba Rais kuongeza ajira kwa waalimu ili kukabiliana na idadi kubwa ya Wanafunzi iliyotokana na kuwa elimu bure.
Zaidi ya hayo, waalimu wamemshukuru kwa tamko lake la kutia moyo ambapo aliwambia watumishi nchini wakiwamo waalimu kuwa ataendelea kulipa mishahara hata kama waalimu watakaa nyumbani kutokana na janga la Corona. Pia, Waalimu wamempongeza Raisi pamoja na Wizara ya Afya kutokana na hatua walizozichukua kupambana na Corona na kuwafanya Wananchi kuondokana na hofu ambayo ni mbaya kuliko Corona yenyewe.
RAIS WA CHAMA CHA WAALIMU
Ameanza kwa Kumshukuru Rais kutenga muda wake kuhudhuria tukio hilo kama Mgeni Rasmi pamoja na kumpongeza Rais kwa kuendelea kufanikisha na kuendeleza Sekta mbalimbali za kimaendeleo nchini.
Sambamba na hilo, Rais wa Chama cha Waalimu amempongeza Rais kuwa na uthubutu na kuweza kufanya mambo mengi makubwa ambayo wengine yanaonekana ni magumu.
Amekazia kwa kumshukuru Rais kwa upendo wake mkubwa kufuatia Rais kuruhusu Watumishi na Waalimu kuendelea kuwalipwa mishahara japokuwa zaidi ya miezi miwili hawakwenda kazini kutokana na janga la Corona.
Uko sahihi kwenye ukweli tukubaliane hakuna rais au kiongozi yeyote duniani aliwahi kutimizia wananchi wote chochote wanachohitaji ila siyo kupinga kila kitu mradi tu umesikia jina Magufuli. Kwani Mbowe anasaidia Nini hao wanaomuabudu?Uko sahihi kabisa. Hii nchi ina baadhi ya Watanzania wajinga sana. Hata umchukie Magufuli kiasi gani, mwisho wa siku yeye ndiye Rais wa Tanzania! Kumchukia hakuwezi kuleta tija yoyote ile kwenye maisha yetu ya kawaida ya kila siku, zaidi tu ya kuongeza msongo wa mawazo.
Wafanyakazi tunataka unafuu wa maisha. Huo ndiyo ukweli. Leo hii wasipomualika Magufuli ili atie neno, ni nani mwenye hiyo nguvu ya kuboresha stahiki za Wafanyakazi kama siyo Rais?
Mimi kama Mfanyakazi wa Nchi hii, naunga mkono hao CWT kumualika Rais! Nina imani walau mwaka huu atatekeleza baadhi ya ahadi zake. Simuungi mkono kwenye baadhi ya uonevu anaowafanyia Wafanyakazi! Lakini hakuna namna, maisha lazima yaendelee.
sasa hata kama wameshusha kwa kamshahara hako hako utachelewa sanaAsipokuja na jipya mbona Crdb tayari wameshusha asilimia za mikopo ya Wafanyakazi mpaka 14%! Baada ya uchaguzi wa mwaka huu 2020, sidhani kama atatokea mfanyakazi wa kulalamikia kutopandishwa daraja au kuongezewa mshahara!
Wengi tutaendelea tu kujiongeza zaidi.
Bakwata na CWT sijui kama zinafaida gani ... Samahani kwa nlomgusa kwa maoni haya
Wale wale. Kwani uoijifunza mwenye ndo uwakashfu wanaofindisha? Hiyo keyboard inayomfanya ajione mjanja imetengenezwa na watu waliofungua na waalimu. Hata ukufunza mwenyewe Kuna sehemu ambayo huwezi kukwepa waalimu.
Mimi naongelea salary kama wakati wa JK ilikuwa inaongezeka think 5 years no increment watu wanapata watoto wanakuwa na familia salary ile ile na bado kuna makato kibao sasa unakopa kwa salary ya 5 years back that's nonsense ingekuwa kuna nyongeza hata loan ukichukua maumivu yanakuwa si makubwaAsipokuja na jipya mbona Crdb tayari wameshusha asilimia za mikopo ya Wafanyakazi mpaka 14%! Baada ya uchaguzi wa mwaka huu 2020, sidhani kama atatokea mfanyakazi wa kulalamikia kutopandishwa daraja au kuongezewa mshahara!
Wengi tutaendelea tu kujiongeza zaidi.
sasa hata kama wameshusha kwa kamshahara hako hako utachelewa sana
Akiingia Madarakani tutajua unamuongeleaje mtu ambaye hana madaraka?kweli we bichwa nazi mchuziUko sahihi kwenye ukweli tukubaliane hakuna rais au kiongozi yeyote duniani aliwahi kutimizia wananchi wote chochote wanachohitaji ila siyo kupinga kila kitu mradi tu umesikia jina Magufuli. Kwani Mbowe anasaidia Nini hao wanaomuabudu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna shule inao walimu 4 na wanafunzi zaidi ya 800 Lakini ukienda hapo ukimuliza mwalimu changamoto za shuleni hapo atakwambia mambo ya madawati, nyumba za walimu na blah blah kama hizo
Kitu nilichogundua walimu awapendani na hii kitu serikali wanaitumia ipasavyo...umoja kati ya walimu ni sifuri hata walio kituo kimoja.
Mimi naongelea salary kama wakati wa JK ilikuwa inaongezeka think 5 years no increment watu wanapata watoto wanakuwa na familia salary ile ile na bado kuna makato kibao sasa unakopa kwa salary ya 5 years back that's nonsense ingekuwa kuna nyongeza hata loan ukichukua maumivu yanakuwa si makubwa
Ila ndio waliokufundisha acha lugha chAfuHapo yatajazana kuulizia nyongeza ya mshahara, hii kada sjui Kwa nn tu, ina member wenye low IQ sana. Bora ukauze maembe kuliko kuwa mwalimu.
asante kwa tusi , nimelipokea$#$$$@&##$ sana wewe
Uliyaonaje ?Mkuu kuna binadamu kwenye ubongo wao kuna maji machafu.