Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

"Uongozi huu wa CWT ambao unamaliza muda wake umejenga uhusiano mzuri sana na Serikali nanayoiongoza. Na hili nasema kwa Dhati bila upendeleo" Mh. Magufuli.

Walimu bana
[emoji23][emoji23][emoji23]cwt chama Cha hovyo kupita vyote hapa Tanzania
 
Nikuulize wewe hukufundishwa na hawa wenye kazi ya kuzimu? Yawezekanaje huna watoto na siku ukipata watoto hutawapeleka wakafundishwe na hawa waalimu unaowadharau kiasi hili na kuona heri ya muuza maembe? Kwa vile umefundishwa Sasa unajiona mjanjaa. Waalimu hawana njaa Kama unavyofikiri. Waalimu wengi Wana maisha mazuri kuliko watu wengi mitaani, wengi wamejenga nyumba zao na wana usafiri binafsi wa magari ambapo huyo muuza maembe wako unayemsifia.
Acheni kudharau waalimu na kulinganisha na watu wa ajabu ambao hata wajikusanye vipi hawawezi kumualika rais awe mgeni rasmi kwenye shughuli yao
Acheni kupinga pinga kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka umaarufu wakati sisi walimu tunaumia mno
 
Hapo yatajazana kuulizia nyongeza ya mshahara, hii kada sjui Kwa nn tu, ina member wenye low IQ sana. Bora ukauze maembe kuliko kuwa mwalimu.
Uwe na adabu bas, mbona hivyo?
 
aise huu uzi hausogei kabisa aise, watu wanaview tu na kuchomoka, nimeamini watu wana chuki na magufur aise! ungekuwa wa lissu hapa ungekuwa unakimbilia buku,
Chakushangaza hata wapambe wakuu wa jiwe hawaonekan kabisa, wapi mayala, biayetu kwenye huu uzi!! kweli amechokwa aise! tundu njoo umalize mchezo.
 
Walimu tulisha laanika....

Hivi hiyo mishahara waliongezewa kina nani!?

Au viongozi wa CWT..
 
Umekua sahihi mwanzoni ila huku mbele ukaboronga.

Dada yangu anafundisha shule ipo Mwanza. Shule nzima ina walimu sita, kuna wanafunzi wa kuanzia la kwanza mpaka la saba. Ambao jumla ni zaidi ya 250.

Hapa nimueleweshe vipi dada yangu kua serikali haiajiri kwakua hakuna nafasi?
Ahaaaa umenichekesha sana.mm in mwl shuleni kwangtupo walm 6 wanafn 700 drs 3 wako 155 wanakaa chini.
 
HUYU RAIS WA CWT ANAVYOONGEA PUMBA TOO MUCH TALKING LAKINI ANATEMA
tumekwama wapi watanania watumishi wa uma bil bila miaka mitano hata mia nyongeza ya mishahara nyie mnapongeza tuuuuu du hatariiii
Hao siku zoteee nawawashangaaaa cjui tume
 
Back
Top Bottom