Nikuulize wewe hukufundishwa na hawa wenye kazi ya kuzimu? Yawezekanaje huna watoto na siku ukipata watoto hutawapeleka wakafundishwe na hawa waalimu unaowadharau kiasi hili na kuona heri ya muuza maembe? Kwa vile umefundishwa Sasa unajiona mjanjaa. Waalimu hawana njaa Kama unavyofikiri. Waalimu wengi Wana maisha mazuri kuliko watu wengi mitaani, wengi wamejenga nyumba zao na wana usafiri binafsi wa magari ambapo huyo muuza maembe wako unayemsifia.
Acheni kudharau waalimu na kulinganisha na watu wa ajabu ambao hata wajikusanye vipi hawawezi kumualika rais awe mgeni rasmi kwenye shughuli yao
Acheni kupinga pinga kila kitu.
Sent using
Jamii Forums mobile app