Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Hapo yatajazana kuulizia nyongeza ya mshahara, hii kada sjui Kwa nn tu, ina member wenye low IQ sana. Bora ukauze maembe kuliko kuwa mwalimu.
Watoto wako na wa wengine watafundishwa na nan?
 
Kuna watu tulishapanda madaraja kitambo tangu zaidi ya mara mbili enzi za JK! Hivyo hatutishiki kabisa. Na mwaka huu ameahidi muda huu atapandisha madaraja.

Hilo ndilo jambo tunalotaka. Siyo mambo ya kununua ndege kila siku.
Ameahidi lini na wapi!??
 
Sometimes huwa sipendi hata mtoto wangu afundishwe na mwalimu, lakini haiwezekani kwa sababu hata akiwa mwanajeshi au daktari akifundisha ataitwa mwalimu. Kinachokela zaidi hata ukiacha ualimu jamii na wanafunzi wako wataendelea kukuita mwalimu whether you like it or not.

Nakwambia leo hata wangeambiwa pale wacheze bila mdundo wangefanya kwa manjonjo, madaha, bashasha na nderemoooo! kama watu wasio na shida. These are teachers! Hongera sana walimu.

The facts is:: Brain ya mwalimu lazima iwe partly dormant au partial dormant! Otherwise huwezi dumu kwenye ualimu au kufurahia maisha ya ualimu especially government teachers. Ukitaka kujua ukweli waulize wote waliotajwa hapo kwanini waliacha ualimu. Je, jamii iliwahitaji wawe wabunge au wao wenyewe walichoka na maisha ya ualimu. Wangapi wakiacha au tumbuliwa hizo position zao watarudi tena kufundisha. Therefore, ualimu sio wito ni kazi ya walio na kiwango kidogo/pass za chini kwenye mitihani ya mwisho na wenye kipato kidogo.
Hofu yangu kizazi hiki kinakwenda kuact kama hao wapiga makofi kwa sababu walimu ndiyo wanaumba mitazamo/ attitude ya watoto wetu!!!!

Kuna kazi ukilipwa mshahara mzuri unaweza endelea na kazi hiyo hiyo lakini kwa ualimu wa tz ni tofauti ukweli ni kwamba siku walimu wakilipwa mishahara mizuri wengi wataacha kazi kwa sababu watakuwa wamepata kianzio sababu majority of the teachers are not teachers!

Ombi tusiwafundishe watoto wetu wadogo kupiga makofi bila sababu. Kuna tabia ya wazazi wanapokuwa wadogo umri wa kukaa, tambaa hasa simama na kutembea huwafunza watoto wa kupiga makofi bila sababu ya msingi inawezekana haya tunayoyaona sasa ni matokeo yake.

Mchawi wa walimu ni walimu wenyewe!

Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.
 
Mkuu chukua hao wanafunzi,ambapo ikama inasema kuwa kila mwalimu ahudumie watoto 45 , kwa idadi hiyo ya watoto 250 ukigawanya kwa walimu 6 unakuta kila mwalimu anapaswa kuhudumia watoto 41 ,kwa ikama inavyotaka utagundua kuwa walimu katika shule hiyo wamezidi na wanapaswa kupungua ili ikama ya idadi ya watoto 45 izingatiwe.


Kwa huo mfano ulioutoa ngoja na Mimi nikupe wa kwangu,hapa ninapofundisha Mimi shule yangu ina watoto 320 na idadi ya walimu 24, ikiangalia ikama na idadi ya vipindi unakuta kila mwalimu anahudumia watoto 13, na kwa mwalimu mwenyewe vipindi vingi kwa shule hii ni vipindi 12 ,wakati ikama inataka kila mwalimu awe na vipindi 24 kwa mwezi,huoni hapa kuwa kuna ziada ya walimu zaidi ya 5-9?


Sent using Jamii Forums mobile app
vipindi 24 kwa mwezi?!!! nilijua idadi hiyo ni ya wiki. kumbe ualimu raha sana ee!
 
Walimu nao hawajitambui. Watoto waliosomea ualimu wamejazana mitaani hawana ajira halafu unamualika mtu aliyegoma kuwapa ajira wakati kuna uhaba wa walimu nchini!

Wacha hii mialimu iendelee kutumika tu kisiasa haina mtu wa kumlaumu maana haijitambui.

Umeshindwa kuwa muungwana. kwani hukusikia risala inazungumzia upungufu wa walimu?
 
Hivi chama cha "walimu" hakiwahusu walimu wa vyuo vikuu.
Na wao wa vyuo vikuu wana chama chao???
Km hawana inafikirisha
 
Safi sana, pamoja na kuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania, pia yeye ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambacho moja ya wanachama wake wakuu ni WAKULIMA NA WAFANYAKAZI, (nyundo na jembe). Asante sana mwenyekiti wetu kwa kuzungumza na kundi muhimu sana katika chama chetu @Walimu/Wafanyakazi
 
Sometimes huwa sipendi hata mtoto wangu afundishwe na mwalimu, lakini haiwezekani kwa sababu hata akiwa mwanajeshi au daktari akifundisha ataitwa mwalimu. Kinachokela zaidi hata ukiacha ualimu jamii na wanafunzi wako wataendelea kukuita mwalimu whether you like it or not.

Nakwambia leo hata wangeambiwa pale wacheze bila mdundo wangefanya kwa manjonjo, madaha, bashasha na nderemoooo! kama watu wasio na shida. These are teachers! Hongera sana walimu.

The facts is:: Brain ya mwalimu lazima iwe partly dormant au partial dormant! Otherwise huwezi dumu kwenye ualimu au kufurahia maisha ya ualimu especially government teachers. Ukitaka kujua ukweli waulize wote waliotajwa hapo kwanini waliacha ualimu. Je, jamii iliwahitaji wawe wabunge au wao wenyewe walichoka na maisha ya ualimu. Wangapi wakiacha au tumbuliwa hizo position zao watarudi tena kufundisha. Therefore, ualimu sio wito ni kazi ya walio na kiwango kidogo/pass za chini kwenye mitihani ya mwisho na wenye kipato kidogo.
Hofu yangu kizazi hiki kinakwenda kuact kama hao wapiga makofi kwa sababu walimu ndiyo wanaumba mitazamo/ attitude ya watoto wetu!!!!

Kuna kazi ukilipwa mshahara mzuri unaweza endelea na kazi hiyo hiyo lakini kwa ualimu wa tz ni tofauti ukweli ni kwamba siku walimu wakilipwa mishahara mizuri wengi wataacha kazi kwa sababu watakuwa wamepata kianzio sababu majority of the teachers are not teachers!

Ombi tusiwafundishe watoto wetu wadogo kupiga makofi bila sababu. Kuna tabia ya wazazi wanapokuwa wadogo umri wa kukaa, tambaa hasa simama na kutembea huwafunza watoto wa kupiga makofi bila sababu ya msingi inawezekana haya tunayoyaona sasa ni matokeo yake.

Mchawi wa walimu ni walimu wenyewe!

Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.

Idadi ya Walimu wote nchini ni zaidi ya laki 3! Halafu kwa akili zako unawaweka wote kwenye kapu moja! Wewe pamoja na wenzako mnaojimwambafai humu kuwaponda Walimu, mnastahili msamaha maana inawezekana kabisa mu watoto wa mama tu au bado mnaishi kwa shemeji zenu.

Kwa sababu ni nyinyi ambao hamjitambui. Yaani baada ya kuumiza kichwa kupambana na maisha yako, unakiumiza kichwa chako kupambana na maisha ya wengine! Hao watoto wako si uwafundishe mwenyewe hapo nyumbani kwako ili na wewe ugeuke kuwa MWALIMU halafu tuone.

Na hii risala yako uliyoiandika hapa, umejifundisha mwenyewe kuandika? Au umeamua tu kwa makusudi kujitoa ufahamu!
 
Sometimes huwa sipendi hata mtoto wangu afundishwe na mwalimu, lakini haiwezekani kwa sababu hata akiwa mwanajeshi au daktari akifundisha ataitwa mwalimu. Kinachokela zaidi hata ukiacha ualimu jamii na wanafunzi wako wataendelea kukuita mwalimu whether you like it or not.

Nakwambia leo hata wangeambiwa pale wacheze bila mdundo wangefanya kwa manjonjo, madaha, bashasha na nderemoooo! kama watu wasio na shida. These are teachers! Hongera sana walimu.

The facts is: Brain ya mwalimu lazima iwe partly dormant au partial dormant! Otherwise huwezi dumu kwenye ualimu au kufurahia maisha ya ualimu especially government teachers. Ukitaka kujua ukweli waulize wote waliotajwa hapo kwanini waliacha ualimu. Je, jamii iliwahitaji wawe wabunge au wao wenyewe walichoka na maisha ya ualimu. Wangapi wakiacha au tumbuliwa hizo position zao watarudi tena kufundisha. Therefore, ualimu sio wito ni kazi ya walio na kiwango kidogo/pass za chini kwenye mitihani ya mwisho na wenye kipato kidogo.
Hofu yangu kizazi hiki kinakwenda kuact kama hao wapiga makofi kwa sababu walimu ndiyo wanaumba mitazamo/ attitude ya watoto wetu!!!!

Kuna kazi ukilipwa mshahara mzuri unaweza endelea na kazi hiyo hiyo lakini kwa ualimu wa tz ni tofauti ukweli ni kwamba siku walimu wakilipwa mishahara mizuri wengi wataacha kazi kwa sababu watakuwa wamepata kianzio sababu majority of the teachers are not teachers!

Ombi tusiwafundishe watoto wetu wadogo kupiga makofi bila sababu. Kuna tabia ya wazazi wanapokuwa wadogo umri wa kukaa, tambaa hasa simama na kutembea huwafunza watoto wa kupiga makofi bila sababu ya msingi inawezekana haya tunayoyaona sasa ni matokeo yake.

Mchawi wa walimu ni walimu wenyewe!

Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.

1. wabongo bwana, unawezakuta huyu na wengine wengi humu wanaowatukana hao walimu ni walimu wanaosubiri ajira tangu 2015 na bado wanaendelea kusubiri.....frustration zimejaa, wanaamua kuzipunguza kwa kuwatukana hao watu waliowafundisha kusoma, kuandika na hata kuchamba!
2. hapo kwenye nyekundu nafikiri unahitajika kurudi tena kwa hao walimu 'unawachukia' wakueleweshe kitu.
3. ukweli jamani ni kuwa UNAHITAJIKA KUWA NA AKILI KUBWA SANA NA UELEWA KUWEZA KUWAELEWA NA KUWAKOSOA WALIMU......ILE NI FIELD TOFAUTI KABISA NA MNAVYOFIKIRIA; shambulia familia yake leo, kesho atamfundisha mtoto wako bila matatizo. nenda kampige vichwa leo huko shule kwa kosa la kumwadhibu mtoto wako aliyekosea, kesho atamfundisha mtoto huyo bila matatizo na kumpatia na homework kabisa!..........ishu inaenda hivyo hadi katika masuala mengine ya kifedha n.k. ni vigumu kuwaelewa haswa katika mtazamo wenye mhemko.
nasikia mtu wa 'physics' haoni kama mtu aliyebeba ndoo ya maji na kutembea nayo kwa kilometre 10 kama amefanya kazi, sababu ya tafsiri yake ya kazi! vivyo hivyo, usiyewaelewa haswa walimu utaishia kuwatukana tu kila siku.
 
Kuna neno nataka niandike kwa wanaokosoa walimu ila

Bora ukaamua tu kuwasamehe maana wengi ni watoto wadogo na wasiofahamu maana halisi ya neno MAISHA. Unamdharau mtu aliyekufundisha mpaka usafi tu wa mwili wako!

Watu wanaishi kwa kutegemea mishahara yao, wasaidia familia zao, wanasomesha watoto na ndugu zao, nk. Huna msaada wowote ule kwao, halafu eti unawaponda! Na muda huo huo unakuta mtu huyo huyo bado anaishi kwa wazazi! Stupid!
 
Ningekuwa mjumbe wa mkutano huo ningemzomea magufuli.
 
Walimu wa chuo kikuu hawajiiti walimu.. Wanajiita WAHADHIRI.
😂😂😂
Wahadhiri. Hahahaha. Baasi kuingilika hawa ki siasa ni ngumu. Ndio maana hawana chama chenye mbwembwe km hiki halafu wenyewe hawaelew km wanatumika
 
Mkuu chukua hao wanafunzi,ambapo ikama inasema kuwa kila mwalimu ahudumie watoto 45 , kwa idadi hiyo ya watoto 250 ukigawanya kwa walimu 6 unakuta kila mwalimu anapaswa kuhudumia watoto 41 ,kwa ikama inavyotaka utagundua kuwa walimu katika shule hiyo wamezidi na wanapaswa kupungua ili ikama ya idadi ya watoto 45 izingatiwe.


Kwa huo mfano ulioutoa ngoja na Mimi nikupe wa kwangu,hapa ninapofundisha Mimi shule yangu ina watoto 320 na idadi ya walimu 24, ikiangalia ikama na idadi ya vipindi unakuta kila mwalimu anahudumia watoto 13, na kwa mwalimu mwenyewe vipindi vingi kwa shule hii ni vipindi 12 ,wakati ikama inataka kila mwalimu awe na vipindi 24 kwa wiki,huoni hapa kuwa kuna ziada ya walimu zaidi ya 5-9?


Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakua mnafundisha vijijin nyie maana kwa hyo idadi ni darasa moja mjini
 
Back
Top Bottom