Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Halafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Watu wenye akili zao kwa nini wanaogopa siasa?
Mbowe ambaye alipata zero kombi zilikubali mbona ndio kiongozi wako na familia yako
 
Halafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Watu wenye akili zao kwa nini wanaogopa siasa?
Frozen mind............ wanaogopa sababu they are not strong enough to try, They can't dive in, they are ruled by fear.
 
Pamoja na mapambio yote yale waliyoimba wameambulia dash? Kwi kwi kwii [emoji16][emoji3][emoji23][emoji23] Acha mambo yawe hivyo hivyo maana Walimu ni moja ya Jumuiya za CCM.

Siku hizi Walimu hata bei za bia hawazijui, wanajinywea ulanzi, chimpumu, na mataputapu mengine. Ukiwauliza wanajifanya Masters wa Mazingira;eti "Sisi Walimu ni wabunifu na tunaweza kuishi kulingana na mazingira yaliyopo ", my ribs [emoji33][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pamoja na mapambio yote yale waliyoimba wameambulia dash? Kwi kwi kwii 😁😀😂😂 Acha mambo yawe hivyo hivyo maana Walimu ni moja ya Jumuiya za CCM.

Siku hizi Walimu hata bei za bia hawazijui, wanajinywea ulanzi, chimpumu, na mataputapu mengine. Ukiwauliza wanajifanya Masters wa Mazingira;eti "Sisi Walimu ni wabunifu na tunaweza kuishi kulingana na mazingira yaliyopo ", my ribs 😱😂😂😂
Bado ni mwalimu huyo huyo alokufanya ufike hapo ulipo, so you can see how piece of sh*t you are writtng your rotten mind in jf.
 
Nimekerwa sana na Rais wa walimu alipo sema kitendo Cha kuwapandishia madaraja kilikuwa zaidi ya nyongeza ya mshaahara... Rest in Peace mwalimu uliyejiua musoma kwa mzigo wa deni la byport.... Lest in pece mwalimu nanii uliyefariki Kyela kwa mzigo wa deni la Bayport
 
Kwani kuna walimu wangapi hadi watutishe..kura zao hata zisipokuja tutashinda tu.

Tutawajali kama raia wengine,kwa nini iwe walimu tu,ama wafanyakazi.

Hii ni nchi ya matabaka mbali mbali,walidhike na wanachokipata.
 
Halafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Watu wenye akili zao kwa nini wanaogopa siasa?
Uchawi mkuu, narudia tena uchawi ,naomba niishie hapo
 
Jamani tusiwadharau walimu effort zao ndo zimetufikisha hapa.

Nakumbuka mwalimu alikuwa anajitoa asubuhi sa 10 na bado vipindi vya usiku ili vijana tutoboe.

Salute to them
 
Punguani nini? Mbowe anaingiaje hapa? Unafikiri kila anaye-comment hapa ameolewa na chama cha siasa?
Mbowe ambaye alipata zero kombi zilikubali mbona ndio kiongozi wako na familia yako
 
Halafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Wengine walikwenda half-combi. Watu wenye akili zao kwa nini wanaogopa siasa?
tunapigwa vita vikali sana kuna jamaa aligombea wilayani kwangu mkuu wa wilaya alikuwa mgeni rasmi alimshambulia live na kusema ole wenu mumchague nitakula naye sahani moja.

what do you expect ndo maana unaona aina ya viongozi uliona leo
 
Shukrani za punda ni mateke. Kuna ambaye hakupitia kwa mwalimu?
Matusi, kejeli, dharau na kashfa hizi ndiyo mshahara wa mwalimu?
Na alaaniwe anayemdharau na kumdhihaki mwalimu. Mwalimu ni msaidizi wa mama yako.
 
Pamoja na mapambio yote yale waliyoimba wameambulia dash? Kwi kwi kwii [emoji16][emoji3][emoji23][emoji23] Acha mambo yawe hivyo hivyo maana Walimu ni moja ya Jumuiya za CCM.

Siku hizi Walimu hata bei za bia hawazijui, wanajinywea ulanzi, chimpumu, na mataputapu mengine. Ukiwauliza wanajifanya Masters wa Mazingira;eti "Sisi Walimu ni wabunifu na tunaweza kuishi kulingana na mazingira yaliyopo ", my ribs [emoji33][emoji23][emoji23][emoji23]
Bila ya kusahau yale mabia machungu alafu makali kwa jina la balimi. Ukiwakuta kwenye sherehe zao utakuta balimi wakipiga mbili chali wanaanza kupigana na matusi kibao. Haha hahaaa!.
 
Labda kwa mazingira ya zamani sijui, Lakini kuanzia utawala wa magu watu wanaenda na one zao o level na advance kikubwa kinachowapeleka huku sio perfomance bali ni pesa ya kuaccomodate kusoma program nyingine hakuna thats why huwezi kuta mtoto wa tajir hata akipata four kwenda kusomea education
Halafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Wengine walikwenda half-combi. Wat
 
Back
Top Bottom