Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ambaye alipata zero kombi zilikubali mbona ndio kiongozi wako na familia yakoHalafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Watu wenye akili zao kwa nini wanaogopa siasa?
Wewe ulipata nini. Sugu.mbowe. lema walipata niniKuna mwalimu aliyepata division two form four? Ni wakuhesabu wengi division four uongo?
Frozen mind............ wanaogopa sababu they are not strong enough to try, They can't dive in, they are ruled by fear.Halafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Watu wenye akili zao kwa nini wanaogopa siasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pamoja na mapambio yote yale waliyoimba wameambulia dash? Kwi kwi kwii [emoji16][emoji3][emoji23][emoji23] Acha mambo yawe hivyo hivyo maana Walimu ni moja ya Jumuiya za CCM.
Siku hizi Walimu hata bei za bia hawazijui, wanajinywea ulanzi, chimpumu, na mataputapu mengine. Ukiwauliza wanajifanya Masters wa Mazingira;eti "Sisi Walimu ni wabunifu na tunaweza kuishi kulingana na mazingira yaliyopo ", my ribs [emoji33][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado ni mwalimu huyo huyo alokufanya ufike hapo ulipo, so you can see how piece of sh*t you are writtng your rotten mind in jf.Pamoja na mapambio yote yale waliyoimba wameambulia dash? Kwi kwi kwii 😁😀😂😂 Acha mambo yawe hivyo hivyo maana Walimu ni moja ya Jumuiya za CCM.
Siku hizi Walimu hata bei za bia hawazijui, wanajinywea ulanzi, chimpumu, na mataputapu mengine. Ukiwauliza wanajifanya Masters wa Mazingira;eti "Sisi Walimu ni wabunifu na tunaweza kuishi kulingana na mazingira yaliyopo ", my ribs 😱😂😂😂
Uchawi mkuu, narudia tena uchawi ,naomba niishie hapoHalafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Watu wenye akili zao kwa nini wanaogopa siasa?
Mbowe ambaye alipata zero kombi zilikubali mbona ndio kiongozi wako na familia yako
tunapigwa vita vikali sana kuna jamaa aligombea wilayani kwangu mkuu wa wilaya alikuwa mgeni rasmi alimshambulia live na kusema ole wenu mumchague nitakula naye sahani moja.Halafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Wengine walikwenda half-combi. Watu wenye akili zao kwa nini wanaogopa siasa?
Bila ya kusahau yale mabia machungu alafu makali kwa jina la balimi. Ukiwakuta kwenye sherehe zao utakuta balimi wakipiga mbili chali wanaanza kupigana na matusi kibao. Haha hahaaa!.Pamoja na mapambio yote yale waliyoimba wameambulia dash? Kwi kwi kwii [emoji16][emoji3][emoji23][emoji23] Acha mambo yawe hivyo hivyo maana Walimu ni moja ya Jumuiya za CCM.
Siku hizi Walimu hata bei za bia hawazijui, wanajinywea ulanzi, chimpumu, na mataputapu mengine. Ukiwauliza wanajifanya Masters wa Mazingira;eti "Sisi Walimu ni wabunifu na tunaweza kuishi kulingana na mazingira yaliyopo ", my ribs [emoji33][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu sasa najua kwa nini nchi hii haipigi hatua. Inaongozwa na walimu wa msingi na sekondari. Inaongozwa na watu ambao hata kombi za kidato cha nne hazikukubali. Wengine walikwenda half-combi. Wat
Mkuu hao hao tumepita mikononi mwao, pamoja na phd yangu bado namkumbuka mwalimu wangu wa darasa la pili tena kijijini, na shati langu limechafuka kwenye tumbo kwa kula maembe..Kuna mwalimu aliyepata division two form four? Ni wakuhesabu wengi division four uongo?