Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Kuna watu tulishapanda madaraja kitambo tangu zaidi ya mara mbili enzi za JK! Hivyo hatutishiki kabisa. Na mwaka huu ameahidi muda huu atapandisha madaraja.

Hilo ndilo jambo tunalotaka. Siyo mambo ya kununua ndege kila siku.
amesema atapandisha kwa asilimia ngapi
 
Salaam Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Chama Cha Walimu Tanzania-CWT.

Mkutano huo utafanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari za kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.

Tayari, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa-Takukuru, Mkoa wa Dodoma, imetangaza kuwa itashughulika na watu watakaojihusisha na vitendo vya rushwa katika Uchaguzi huo.

Nitawaletea Updates kwa kila kitakachojiri.

Karibuni.


===
UPDATES:

Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwamo Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako, Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mikoa mingine na viongozi wengine wengi.

Tayari M.h Rais Magufuli ameshawasili katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambaye tayari kwa ajili ya kuja kufungua Mkutano huu wa Chama cha Waalimu Tanzania ambapo amefika na kuwasalimia na kuwapungia mkono Waalimu wote waliohudhuria.

Wimbo wa Taifa unaimbwa kabla ya Rais kuketi na kufungua mkutano huu.

Kabla ya kukaribishwa Mh. Rais kuzungumza Mkutano huu umeanza kwa maombi kutoka kwa Sheikh na Mchungaji Davidi kalinga ambao wameanza kwa maombi kwa kumshukuru Mungu kisha kuomba amani na furaha katika mkutano huu pamoja na kumuombea Rais na viongozi wengine.

Katibu Mkuu wa chama cha Waalimu ameanza kwa kuzingatia itifaki na kuwatambulisha viongozi mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano huu na kisha ameanza kusoma risala iliyoandaliwa.

Risala hii imeanza kwa kumshukuru Rais kwa kukubali kuwa Mgeni Rasmi mkutano huo kisha kumpongeza rais kwa miradi mbalimbali ambayo Rais ameitekeleza katika kipindi hiki cha miaka mitano, Katika sekta ya elimu Rais amepongezwa kwa kuongeza miundo pamoja na samani.

Aidha, katika suala la upandishaji wa mishahara na urekebishaji wa mishahara kwa Waalimu Mh. Rais amepongezwa kwa kuruhusu zoezi la upandishaji mishahara na vyeo kwa zoezi ambalo lilikwama kuanzia mwaka 2014 ambapo inaelezwa kuwa hadi kufikia tarahe moja June 2020 serikali ilikuwa imeongeza mishahara na kuwapandisha vyeo Waalimu wapatao 121, 534.

Aidha kuhusu malimbikozo ya madeni yasiyo ya mishahara Mh. Rais amepongezwa kuwa hadi kufikia December 2019 serikali anayoiongoza ilikuwa imelipa kiasi cha Tsh Bilioni 12.05. Huku malimbikizo ya mishahara yakilipwa.

Aidha, risala hiyo imebainisha changamoto ambazo waalimu wanakumbana nazo ikiwamo ukosefu wa nyumba za waalimu na pia rasala hiyo imemuomba rais kuwapandisha cheo waalimu kundi la waalimu walioajiriwa mwaka 2013/ 2014 wapandishwe cheo katika bajeti ya ya mwaka 2020/2021.

Sambamba na hilo, risala hiyo imemuomba Rais kuongeza ajira kwa waalimu ili kukabiliana na idadi kubwa ya Wanafunzi iliyotokana na kuwa elimu bure.

Zaidi ya hayo, waalimu wamemshukuru kwa tamko lake la kutia moyo ambapo aliwambia watumishi nchini wakiwamo waalimu kuwa ataendelea kulipa mishahara hata kama waalimu watakaa nyumbani kutokana na janga la Corona. Pia, Waalimu wamempongeza Raisi pamoja na Wizara ya Afya kutokana na hatua walizozichukua kupambana na Corona na kuwafanya Wananchi kuondokana na hofu ambayo ni mbaya kuliko Corona yenyewe.

Hotuba ya Rais wa Chama cha Waalimu (Bi. Leah Ulaya)
Ameanza kwa Kumshukuru Rais kutenga muda wake kuhudhuria tukio hilo kama Mgeni Rasmi pamoja na kumpongeza Rais kwa kuendelea kufanikisha na kuendeleza Sekta mbalimbali za kimaendeleo nchini.

Sambamba na hilo, Rais wa Chama cha Waalimu amempongeza Rais kuwa na uthubutu na kuweza kufanya mambo mengi makubwa ambayo wengine yanaonekana ni magumu.

Amekazia kwa kumshukuru Rais kwa upendo wake mkubwa kufuatia Rais kuruhusu Watumishi na Waalimu kuendelea kuwalipwa mishahara japokuwa zaidi ya miezi miwili hawakwenda kazini kutokana na janga la Corona.

Ameongeza kwa kumsifia Rais kwakuwa na Muadilifu, Mtu mwenye Upendo, jasiri, Mtu mwenye utashi, mvumilivu, Mchapakazi na mcha Mungu

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI
Rais ameanza kuwashukuru Vingozi wote kwa kuhudhuria Mkutano huu. Kisha ameanza kwa kutoa Nukuu ya za wanafalsafa ili kuonesha namna ambavyo waalimu wana umuhimu katika maisha ya Wanaadamu.

Sambamba na hilo, amemshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kuwakutanisha katika viwanja hivyo. Vilevile RaisMagufuli amemshukuru Rais wa chama cha Waalimu kwa kumpa heshima na kumualika katika Mkutano huu. Raisi amesema kuwa "Hii inadhihiriwa kuwa bado Waalimu wenzangu wanamkumbuka"

Kampeni ya Kisiasa, JPM anapiga kampeni !
Anajishuku na kurudia zaidi ya mara tatu "sipigi kampeni"
 
Teaching job in Tanzania is a verified poverty grave , wajanja wote wanahama huko , wenye low IQ ndo wanabak,, JPMwenyewe alipakimbia , na kiuhalisia Hana la kuwasaidia, hakuna namna kuwa mwalimu unajiandaa kufa maskini tuu , 99% ya nyumba za walimu hazina rangi ,..... Muuza maembe ana chance ya kutoboa cse yeye anaupgrade mwalimu utaapgrade vip wakata mda wako unanyonywa to the maximum, na mshahara upo limited , kinachofuata ni kufight kupata nyongeza hewa ....
Nikuulize wewe hukufundishwa na hawa wenye kazi ya kuzimu? Yawezekanaje huna watoto na siku ukipata watoto hutawapeleka wakafundishwe na hawa waalimu unaowadharau kiasi hili na kuona heri ya muuza maembe? Kwa vile umefundishwa Sasa unajiona mjanjaa. Waalimu hawana njaa Kama unavyofikiri. Waalimu wengi Wana maisha mazuri kuliko watu wengi mitaani, wengi wamejenga nyumba zao na wana usafiri binafsi wa magari ambapo huyo muuza maembe wako unayemsifia.
Acheni kudharau waalimu na kulinganisha na watu wa ajabu ambao hata wajikusanye vipi hawawezi kumualika rais awe mgeni rasmi kwenye shughuli yao
Acheni kupinga pinga kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekosea sana asee
Wew unafanya kazi gani? Ungekuwa unajiamini wala usingetumia fake ID na watu wenye pesa zao wala hawana muda wa kubanana huku jf, wametulia zao kule twita.
Kwa hyo twitter ni patulivu kuliko jf siku hzi au

Punguza bangi bro!
 
Ukweli ni kuwa walimu hawajitambui,jiwe hakupaswa kualikwa ila Kwa sababu ni lazima aalikwe ndio mana yuko hapo,MTU kashindwa kuwaongezea mishahara,wastaafu hawajapara pension zao,unamwalika Wa nini?huyu ni kiongozi asiye na utu alipaswa kupuuzwa siku zote.
 
amesema atapandisha kwa asilimia ngapi

Hajataja ongezeko la mshahara! Ameongelea upandishwaji wa madaraja. Na hapa ndiyo wengi tunahitaji. Enzi za JK kila baada ya miaka 3 mfanyakazi alipandishwa daraja na hivyo mshahara wake kuongezeka.

Huyu wa sasa anatuweka mpaka miaka 5! Hapa ndipo penye tatizo. Kwa hiyo kama atapandisha tena madaraja mwaka huu, wafanyakazi tutapata unafuu. Kwenye mshahara anaweza kutudanganyia kwa hela ndogo tu, ila kwenye daraja kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Hajataja ongezeko la mshahara! Ameongelea upandishwaji wa madaraja. Na hapa ndiyo wengi tunahitaji. Enzi za JK kila baada ya miaka 3 mfanyakazi alipandishwa daraja na hivyo mshahara wake kuongezeka.

Huyu wa sasa anatuweka mpaka miaka 5! Hapa ndipo penye tatizo. Kwa hiyo kama atapandisha tena madaraja mwaka huu, wafanyakazi tutapata unafuu. Kwenye mshahara anaweza kutudanganyia kwa hela ndogo tu, ila kwenye daraja kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake.
Mkuu unaongea as if wewe ndiyo msemaji wa rais ?
 
Salaam Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Chama Cha Walimu Tanzania-CWT.

Mkutano huo utafanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari za kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.

Tayari, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa-Takukuru, Mkoa wa Dodoma, imetangaza kuwa itashughulika na watu watakaojihusisha na vitendo vya rushwa katika Uchaguzi huo.

Nitawaletea Updates kwa kila kitakachojiri.

Karibuni.


===
UPDATES:

Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwamo Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako, Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mikoa mingine na viongozi wengine wengi.

Tayari M.h Rais Magufuli ameshawasili katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambaye tayari kwa ajili ya kuja kufungua Mkutano huu wa Chama cha Waalimu Tanzania ambapo amefika na kuwasalimia na kuwapungia mkono Waalimu wote waliohudhuria.

Wimbo wa Taifa unaimbwa kabla ya Rais kuketi na kufungua mkutano huu.

Kabla ya kukaribishwa Mh. Rais kuzungumza Mkutano huu umeanza kwa maombi kutoka kwa Sheikh na Mchungaji Davidi kalinga ambao wameanza kwa maombi kwa kumshukuru Mungu kisha kuomba amani na furaha katika mkutano huu pamoja na kumuombea Rais na viongozi wengine.

Katibu Mkuu wa chama cha Waalimu ameanza kwa kuzingatia itifaki na kuwatambulisha viongozi mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano huu na kisha ameanza kusoma risala iliyoandaliwa.

Risala hii imeanza kwa kumshukuru Rais kwa kukubali kuwa Mgeni Rasmi mkutano huo kisha kumpongeza rais kwa miradi mbalimbali ambayo Rais ameitekeleza katika kipindi hiki cha miaka mitano, Katika sekta ya elimu Rais amepongezwa kwa kuongeza miundo pamoja na samani.

Aidha, katika suala la upandishaji wa mishahara na urekebishaji wa mishahara kwa Waalimu Mh. Rais amepongezwa kwa kuruhusu zoezi la upandishaji mishahara na vyeo kwa zoezi ambalo lilikwama kuanzia mwaka 2014 ambapo inaelezwa kuwa hadi kufikia tarahe moja June 2020 serikali ilikuwa imeongeza mishahara na kuwapandisha vyeo Waalimu wapatao 121, 534.

Aidha kuhusu malimbikozo ya madeni yasiyo ya mishahara Mh. Rais amepongezwa kuwa hadi kufikia December 2019 serikali anayoiongoza ilikuwa imelipa kiasi cha Tsh Bilioni 12.05. Huku malimbikizo ya mishahara yakilipwa.

Aidha, risala hiyo imebainisha changamoto ambazo waalimu wanakumbana nazo ikiwamo ukosefu wa nyumba za waalimu na pia rasala hiyo imemuomba rais kuwapandisha cheo waalimu kundi la waalimu walioajiriwa mwaka 2013/ 2014 wapandishwe cheo katika bajeti ya ya mwaka 2020/2021.

Sambamba na hilo, risala hiyo imemuomba Rais kuongeza ajira kwa waalimu ili kukabiliana na idadi kubwa ya Wanafunzi iliyotokana na kuwa elimu bure.

Zaidi ya hayo, waalimu wamemshukuru kwa tamko lake la kutia moyo ambapo aliwambia watumishi nchini wakiwamo waalimu kuwa ataendelea kulipa mishahara hata kama waalimu watakaa nyumbani kutokana na janga la Corona. Pia, Waalimu wamempongeza Raisi pamoja na Wizara ya Afya kutokana na hatua walizozichukua kupambana na Corona na kuwafanya Wananchi kuondokana na hofu ambayo ni mbaya kuliko Corona yenyewe.

Hotuba ya Rais wa Chama cha Waalimu (Bi. Leah Ulaya)
Ameanza kwa Kumshukuru Rais kutenga muda wake kuhudhuria tukio hilo kama Mgeni Rasmi pamoja na kumpongeza Rais kwa kuendelea kufanikisha na kuendeleza Sekta mbalimbali za kimaendeleo nchini.

Sambamba na hilo, Rais wa Chama cha Waalimu amempongeza Rais kuwa na uthubutu na kuweza kufanya mambo mengi makubwa ambayo wengine yanaonekana ni magumu.

Amekazia kwa kumshukuru Rais kwa upendo wake mkubwa kufuatia Rais kuruhusu Watumishi na Waalimu kuendelea kuwalipwa mishahara japokuwa zaidi ya miezi miwili hawakwenda kazini kutokana na janga la Corona.

Ameongeza kwa kumsifia Rais kwakuwa na Muadilifu, Mtu mwenye Upendo, jasiri, Mtu mwenye utashi, mvumilivu, Mchapakazi na mcha Mungu

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI
Rais ameanza kuwashukuru Vingozi wote kwa kuhudhuria Mkutano huu. Kisha ameanza kwa kutoa Nukuu ya za wanafalsafa ili kuonesha namna ambavyo waalimu wana umuhimu katika maisha ya Wanaadamu.

Sambamba na hilo, amemshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kuwakutanisha katika viwanja hivyo. Vilevile RaisMagufuli amemshukuru Rais wa chama cha Waalimu kwa kumpa heshima na kumualika katika Mkutano huu. Raisi amesema kuwa "Hii inadhihiriwa kuwa bado Waalimu wenzangu wanamkumbuka". Raisi ameeleza kuwa anatambua kuwa mkutano huo ni muhimu sana katika kufanya uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Waalimu Taifa.

Aidha, katika suala hili Rais Magufuli amesema "kusema ukweli nisingependa hata kidogo nionekane kuwa napiga Chapuo kwa Mgombea yoyote, hata hivyo nukweli lazima usemwe".

"Uongozi huu wa CWT ambao unamaliza muda wake umejenga uhusiano mzuri sana na Serikali nanayoiongoza. Na hili nasema kwa Dhati bila upendeleo"

Kama kuna vyama ambavyo sioonagi ni jamboa hani la maana wanalifanya ni hiki CWT.hivi huwa wanapelekaga wapi michango kutoka kwa waalimu wote nchi nzima.naona ni chama kinachoongoza kwa kipato cha uhakika.Nadhani walitakiwa kuweka hadharani taarifa za mapato na matumizi iliyokaguliwa
 
Salaam Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Chama Cha Walimu Tanzania-CWT.

Mkutano huo utafanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari za kujikinga na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19.

Tayari, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa-Takukuru, Mkoa wa Dodoma, imetangaza kuwa itashughulika na watu watakaojihusisha na vitendo vya rushwa katika Uchaguzi huo.

Nitawaletea Updates kwa kila kitakachojiri.

Karibuni.


===
UPDATES:

Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwamo Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa, Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako, Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mikoa mingine na viongozi wengine wengi.

Tayari M.h Rais Magufuli ameshawasili katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma ambaye tayari kwa ajili ya kuja kufungua Mkutano huu wa Chama cha Waalimu Tanzania ambapo amefika na kuwasalimia na kuwapungia mkono Waalimu wote waliohudhuria.

Wimbo wa Taifa unaimbwa kabla ya Rais kuketi na kufungua mkutano huu.

Kabla ya kukaribishwa Mh. Rais kuzungumza Mkutano huu umeanza kwa maombi kutoka kwa Sheikh na Mchungaji Davidi kalinga ambao wameanza kwa maombi kwa kumshukuru Mungu kisha kuomba amani na furaha katika mkutano huu pamoja na kumuombea Rais na viongozi wengine.

Katibu Mkuu wa chama cha Waalimu ameanza kwa kuzingatia itifaki na kuwatambulisha viongozi mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano huu na kisha ameanza kusoma risala iliyoandaliwa.

Risala hii imeanza kwa kumshukuru Rais kwa kukubali kuwa Mgeni Rasmi mkutano huo kisha kumpongeza rais kwa miradi mbalimbali ambayo Rais ameitekeleza katika kipindi hiki cha miaka mitano, Katika sekta ya elimu Rais amepongezwa kwa kuongeza miundo pamoja na samani.

Aidha, katika suala la upandishaji wa mishahara na urekebishaji wa mishahara kwa Waalimu Mh. Rais amepongezwa kwa kuruhusu zoezi la upandishaji mishahara na vyeo kwa zoezi ambalo lilikwama kuanzia mwaka 2014 ambapo inaelezwa kuwa hadi kufikia tarahe moja June 2020 serikali ilikuwa imeongeza mishahara na kuwapandisha vyeo Waalimu wapatao 121, 534.

Aidha kuhusu malimbikozo ya madeni yasiyo ya mishahara Mh. Rais amepongezwa kuwa hadi kufikia December 2019 serikali anayoiongoza ilikuwa imelipa kiasi cha Tsh Bilioni 12.05. Huku malimbikizo ya mishahara yakilipwa.

Aidha, risala hiyo imebainisha changamoto ambazo waalimu wanakumbana nazo ikiwamo ukosefu wa nyumba za waalimu na pia rasala hiyo imemuomba rais kuwapandisha cheo waalimu kundi la waalimu walioajiriwa mwaka 2013/ 2014 wapandishwe cheo katika bajeti ya ya mwaka 2020/2021.

Sambamba na hilo, risala hiyo imemuomba Rais kuongeza ajira kwa waalimu ili kukabiliana na idadi kubwa ya Wanafunzi iliyotokana na kuwa elimu bure.

Zaidi ya hayo, waalimu wamemshukuru kwa tamko lake la kutia moyo ambapo aliwambia watumishi nchini wakiwamo waalimu kuwa ataendelea kulipa mishahara hata kama waalimu watakaa nyumbani kutokana na janga la Corona. Pia, Waalimu wamempongeza Raisi pamoja na Wizara ya Afya kutokana na hatua walizozichukua kupambana na Corona na kuwafanya Wananchi kuondokana na hofu ambayo ni mbaya kuliko Corona yenyewe.

Hotuba ya Rais wa Chama cha Waalimu (Bi. Leah Ulaya)
Ameanza kwa Kumshukuru Rais kutenga muda wake kuhudhuria tukio hilo kama Mgeni Rasmi pamoja na kumpongeza Rais kwa kuendelea kufanikisha na kuendeleza Sekta mbalimbali za kimaendeleo nchini.

Sambamba na hilo, Rais wa Chama cha Waalimu amempongeza Rais kuwa na uthubutu na kuweza kufanya mambo mengi makubwa ambayo wengine yanaonekana ni magumu.

Amekazia kwa kumshukuru Rais kwa upendo wake mkubwa kufuatia Rais kuruhusu Watumishi na Waalimu kuendelea kuwalipwa mishahara japokuwa zaidi ya miezi miwili hawakwenda kazini kutokana na janga la Corona.

Ameongeza kwa kumsifia Rais kwakuwa na Muadilifu, Mtu mwenye Upendo, jasiri, Mtu mwenye utashi, mvumilivu, Mchapakazi na mcha Mungu

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI
Rais ameanza kuwashukuru Vingozi wote kwa kuhudhuria Mkutano huu. Kisha ameanza kwa kutoa Nukuu ya za wanafalsafa ili kuonesha namna ambavyo waalimu wana umuhimu katika maisha ya Wanaadamu.

Sambamba na hilo, amemshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kuwakutanisha katika viwanja hivyo. Vilevile RaisMagufuli amemshukuru Rais wa chama cha Waalimu kwa kumpa heshima na kumualika katika Mkutano huu. Raisi amesema kuwa "Hii inadhihiriwa kuwa bado Waalimu wenzangu wanamkumbuka". Raisi ameeleza kuwa anatambua kuwa mkutano huo ni muhimu sana katika kufanya uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Waalimu Taifa.

Aidha, katika suala hili Rais Magufuli amesema "kusema ukweli nisingependa hata kidogo nionekane kuwa napiga Chapuo kwa Mgombea yoyote, hata hivyo nukweli lazima usemwe".

"Uongozi huu wa CWT ambao unamaliza muda wake umejenga uhusiano mzuri sana na Serikali nanayoiongoza. Na hili nasema kwa Dhati bila upendeleo"

sisi huku MAHAKAMANI na mawizarani huingii kama huna BARAKOA, nasema huingii
 
"Uongozi huu wa CWT ambao unamaliza muda wake umejenga uhusiano mzuri sana na Serikali nanayoiongoza. Na hili nasema kwa Dhati bila upendeleo" Mh. Magufuli.

Walimu bana
 
Ukweli ni kuwa walimu hawajitambui,jiwe hakupaswa kualikwa ila Kwa sababu ni lazima aalikwe ndio mana yuko hapo,MTU kashindwa kuwaongezea mishahara,wastaafu hawajapara pension zao,unamwalika Wa nini?huyu ni kiongozi asiye na utu alipaswa kupuuzwa siku zote.

Ameahidi Wafanyakazi wenye sifa ya kupanda madaraja, watapandishwa mwaka huu, amegusia kuhusu CWT kuwaondolewa 2% ya ada ya makato kwa wanachama wake, amegusia matatizo ya Benki ya Walimu kurekebisha changamoto zake ili iwe na tija kwa wanachama wake, nk.

Kiufupi kuna matumaini.
 
Corona tushaishinda.
Hata kasahau mask inatamkwaje kiswahili
🤣🤣
 
Back
Top Bottom