Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

Hapo yatajazana kuulizia nyongeza ya mshahara, hii kada sjui Kwa nn tu, ina member wenye low IQ sana. Bora ukauze maembe kuliko kuwa mwalimu.

Wewe nawe unajiona una IQ kubwa kumbe hata kwenye kisoda tu haijai! Kwa hiyo unataka waulizie kuhusu maisha yako wewe na familia yako kama mnakula walau milo mitatu kwa siku, au?

Ujuaji mwingi kumbe kiazi tu! Ungekuwa unaelewa maana ya Working Class usingeandika huu ugoro wako. Unategemea Mfanyakazi anaye endesha maisha yake kwa kutegemea mshahara aombe nini kutoka kwa Mwajiri wake zaidi ya hiyo nyongeza ya mshahara, kupandishwa madaraja, mazingira bora ya kufanyia kazi, mafao yao kutoka kwa wakati, nk?

By the way, kuna mtu amekuzuia kuuza hayo maembe yako? Na mwisho wa siku atakaye kuja kuyanunua hayo ni maskini mwenzako au ni huyo huyo mwalimu?
 
Taja hiyo shule iko wapi inaitwaje unajua nyie kwa propaganda za kupotosha hamjambo
 
Kuna shule inao walimu 4 na wanafunzi zaidi ya 800 Lakini ukienda hapo ukimuliza mwalimu changamoto za shuleni hapo atakwambia mambo ya madawati, nyumba za walimu na blah blah kama hizo

Kitu nilichogundua walimu awapendani na hii kitu serikali wanaitumia ipasavyo...umoja kati ya walimu ni sifuri hata walio kituo kimoja.
 

Uko sahihi kabisa. Hii nchi ina baadhi ya Watanzania wajinga sana. Hata umchukie Magufuli kiasi gani, mwisho wa siku yeye ndiye Rais wa Tanzania! Kumchukia hakuwezi kuleta tija yoyote ile kwenye maisha yetu ya kawaida ya kila siku, zaidi tu ya kuongeza msongo wa mawazo.

Wafanyakazi tunataka unafuu wa maisha. Huo ndiyo ukweli. Leo hii wasipomualika Magufuli ili atie neno, ni nani mwenye hiyo nguvu ya kuboresha stahiki za Wafanyakazi kama siyo Rais?

Mimi kama Mfanyakazi wa Nchi hii, naunga mkono hao CWT kumualika Rais! Nina imani walau mwaka huu atatekeleza baadhi ya ahadi zake. Simuungi mkono kwenye baadhi ya uonevu anaowafanyia Wafanyakazi! Lakini hakuna namna, maisha lazima yaendelee.
 
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa.
 
M
Mkuu uko sahihi, hata jpm, majaliwa, jenista Ni walimu.lakini wamewatupa sana walimu awamu hii
 
Ccm Hoyee Ccm Hoyee
Chama Cha Walimu Zii πŸ˜πŸ™„πŸ€£πŸ˜ƒ
 
Moja ya kada ambayo ina watu wengi wa hali ya chini wasiotambua haki zao
 
Walimu wanasifia hadi kero daah....wanasema hamna haja ya nyongeza ya mshahara kwani aliyofanya magufuli Ni zaidi ya kuongeza mishahara Kweli kuliko kuwa Mwalimu Ni bora ukauze maembe
ha ha nimecheka sana
 
Mbona waalimu hawapigi makofi? Hawapendi juhudi za JPM au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…