CHARLES2016
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 376
- 435
Kwa mujibu wa katiba ipi?Hivi tunaenda kuchagua nini wakati rais yupo? Logic ilibidi tusiwe na rais madaraka akabidhi kwa jaji mkuu, ndio tuingie kwenye uchaguzi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa katiba ipi?Hivi tunaenda kuchagua nini wakati rais yupo? Logic ilibidi tusiwe na rais madaraka akabidhi kwa jaji mkuu, ndio tuingie kwenye uchaguzi!
We kweli tahaira Fulani hivi. Haya mmepiga risasi nyingi tu na Mwenye Mbingu kagoma Lisu kufa.nyie ndiyo yale majinga hata yakiambiwa tunauwezo wa kuipiga marekani mnaitikia tawire. Mnajifanya mnaweza kila kitu. Tulia we KOROMBWEI hizo risasi unazozizungumzia wewe ni za kuulia ndege na bata mzinga. Sisi risasi zetu ni risasi kweli ambayo moja tu inaweza kukufanya utembee umekaa maisha yako yote. Muulizeni vizuri jamaa yenu nani aliyempiga sio mnakuja hapa kuongea takataka.
Serikali inahusika na ndio maana wanatafuta kichaka cha kujificha!Mara ngapi ameitwa yeye na dereva wake waje watoe ushirikiano Kwanini hakutoa ushirikiano?
Wauaji wakubwa nyie!Mungu ametaka Lissu aishi na anaishi!shwain kabisa!Wewe unadhani ni risasi za aina gani zilizotumika kumpiga huyo mshikaji wenu na zilitokea umbali gani?
Nina mashaka na uraia wako inawezekana nawe ni mmoja wapo kati ya wale pandikizi wa MABEBERU. Nenda DRC waulize M23 tulichowafanya.Acheni exaggeration.... Mbona Darfur na DRC mlikufa kma kuku? Mnachoweza ni kupambana na raia wasio na silaha ila tungekua na radical opposition kma Al Qassem Brigade nadhani tungeheahimiana.
We umeona wapi kosa afanye mkeo uanze kumbana house girl. Waliitwa waje watoe ushirikiano ili wahalifu waliompiga wapatikane jee alikuja?Serikali inahusika na ndio maana wanatafuta kichaka cha kujificha!
Kwanini wasianze na walinzi suma JKT ambao waliopaswa kuwepo getini 24/7?
sisi pia tunataka huyo..... nani sijui aishi.Wauaji wakubwa nyie!Mungu ametaka Lissu aishi na anaishi!shwain kabisa!
Na akina JK, Kinana, Nape na Makamba wote wamemkacha. CCM mpya hawana cha kumsaidia zaidi ya mapambio
Viva kwa kuvunja sheria na yeye anatakiwa kuzisimamia?Acha ushabiki maandazi basi!
Huyo humjuae mkuuWewe inaonekana ni mkristo mzuri ila sasa, nasema ila haujui lolote kuhusu maandiko, Mungu kamtuma nani sasa?
Ndio maana mje mtoe hayo maelezo ili kwa pamoja tushirikiane kumjua muhalifu ni nani...mnasema vyombo vyote vya ulinzi ni vya kwenu.
..sasa ni nani aliondoa walinzi wenu wa area D Dodoma ili kupisha magaidi waliotumwa kumshambulia TL?
Ndiyo maana nikakwambia hujui maandiko, simjui mtu hapo ila namfaham shetani tu hapo.Huyo humjuae mkuu
Hili liko wazi hata wewe ni shahidi basi ni unafiki tu unawasumbua.Ukiitwa kutoa ushahidi utathibitisha ?
Huna Cha kunishauri kweli maandiko siyajui ila ukuu wake umetamalaki ndani ya moyo wangu ,haya we vipi unayeyajua maandiko kipi amekutendea ,hachani kujitafutia lahana itawatafuna vibaya mno sio Mimi asema bwanaWewe inaonekana ni mkristo mzuri ila sasa, nasema ila haujui lolote kuhusu maandiko, Mungu kamtuma nani sasa?
Mimi nilifikiri ameenda mahali Lissu alipokuwa anafanya mkutano, kumbe amepita barabarani na kusalimia tu.Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.
Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.
Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?
Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?
Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?
Nini dhamira yake?
Tundu Lissu leo Kazuramimba-Uwanjani kwa mujibu wa tume
View attachment 1575244
Magufuli Leo Kazuramimba-Makao makuu ya wilaya pembezoni mwa barabara. Mkutano alioandaliwa na CCM
View attachment 1575246
Jibu swali ilikuaje waasi wa ADF waliwanyoosha vile let alone ile ambush Darfur? Si mmejidai mnanusa adui akiwa Mita elfu 1?Nina mashaka na uraia wako inawezekana nawe ni mmoja wapo kati ya wale pandikizi wa MABEBERU. Nenda DRC waulize M23 tulichowafanya.
Sasa Kama wamfaham shetani kwa Nini ubishane na mtu alijaa roho mtakatifu Kama Mimi ,kaa na shetani na mbaya zaidi hajawai shida,na ukiendelea nitakupa mfano mzuri ambao hutousahau kwamba mungu ni zahidi ya shetani hivyo ishia hapoNdiyo maana nikakwambia hujui maandiko, simjui mtu hapo ila namfaham shetani tu hapo.
ingekuwa chadema hapo wangebambikiwa kesi kama alivyowabambikia wasaidizi wa membe aliotoka nao Dubai, CCM kipindi cha kampeni bado wanaendelea na ubambikiaji kesi hawajui kuwa Tabia za kuwabambikia kesi wapinzani ndiyo sumu inayoimaliza CCM.Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.
Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.
Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?
Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?
Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?
Nini dhamira yake?
Tundu Lissu leo Kazuramimba-Uwanjani kwa mujibu wa tume
View attachment 1575244
Magufuli Leo Kazuramimba-Makao makuu ya wilaya pembezoni mwa barabara. Mkutano alioandaliwa na CCM
View attachment 1575246