Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Tanzania ni moja ya nchi rahisi kuongoza duniani.Mpo kwenye janga zitto alaf mtu analeta picha za mkuu wa nchi akila bata kwenye mawe.Aliyeleta hiz picha hajamtendea haki mkuu wa nchi kwa wananchi wakati viongoz wenzetu nchi zilizzoendelea wakihangaika na kulia kwa janga hilli eti mtu kwa ulevi wa kujipendekeza analeta picha za furaha kwa rais,haiko sawa kabisa kwa maoni yangu
 
Rais sio taasisi ni mtu mmoja anayechaguliwa na wananchi kuongoza mhimili wa serikali ambayo ndio taasisi.
Spika wa bunge sio taasisi ni mtu mmoja anayechaguliwa na wabunge kuongoza mhimili wa bunge ambalo ndilo taasisi.
Jaji mkuu sio taasisi ni mtu mmoja anayeteuliwa kuongoza mhimili wa mahakama ambao ndio taasisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo anakupa ujumbe kuwa, hata katika kipindi kama hiki ni muhimu kupunguza hofu kuu. Mwenye huu ulimwengu yupo kazini , ingawa tunalojukumu la kufanya yaliyo ndani ya uwezo wetu pia. Mengine tunaweka mikononi mwake.
 
Kutoka kupunga upepo baharini mpka kupunga upepo kwenye majiwe.
 
Kama wao Ikulu Wamezi Post Mm Kosa Langu Nn
Sent using Jamii Forums mobile app
 
020 hakuna shujaa mwingine zaidi ya huyu

Kama shujaa aache wanaume wenzie waingie ulingoni on a level playing field!!! Membe tu kule ccm anamtoa nishai; anamuwekea mizengwe chungu nzima ili asipate nafasi ya kuchuana nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…