Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
- Thread starter
-
- #41
Ndio MANENO yenu hata kwenye KANGA yameandikwa KAMA iliyoshindwa kufa kwa Viongozi kupigwa Risasi Kubabikiana Kesi kununua Wanachama kwa Siasa za Yule MSHAMBA haifu TenaChadema inajifia yenyewe
sasa ACT ndio angalau watanzania wanaweza elekea huko Chadema wamekubaliana bei ili Mbowe aachwe huru miezi 8 jela mwamba alikuwa hoi ikabidi aangushe majeshi, sasa saa 24 anashinda IkuluACT hivi na wanachama zaidi ya elfu Moja?
Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.
Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.
Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.
CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA
CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
Aaah lilififisha upinzani kwa Kura million 6?? Na Halmshauri 30?? Yaani 42% ya waTanzania walipiga upinzani alafu unasema upinzani ulikufa?? Hivi kama Tume ingekua huru unadhani JPM angeingia ikulu?Lile Li gia lililopigwa Angani La Lowasa ambalo lilififisha kbs moyo wa upinzani kwa waTz ulikuwa bado hujazaliwa?
Ilikufaje? Indicator ni ipi? Kama shida ni Lowassa kivipi uchaguzi ule tukapata 42%!! In fact kwa Dr.Slaa kwenyewe tulibeba Jimbo na Halmashauri nzima sasa unaposema tulianguka sababu ya Lowassa indicator ni ipi??Chadema wamejiua wenyewe kwa kutokusimamia wanachikiamini, JPM anahusikaje hapo? Ikiwa miaka nenda rudi mlimshambulia mzee Lowasa kwa kumsingizia mambo kibao kisha kaja kwenu mkampokea bila kujiuliza, ikiwa miaka nenda rudi mlipiga vita utoroshwaji wa maliasili zetu kaja JPM kukomesha haya mambo mkaanza kumpinga. Mungu hapendi mtu mwenye ndimi mbili.
We tu ndo hupati fungu, CHADEMA inanunulika, rejea uchaguzi wa 2015 yule mgombea aliinunua tena bei sawa na bure. Inwwezekana vipi mwizi uliyempiga vita ukamuachia mamlaka ya kuendesha akaunti yako?Naona kuna kundi kubwa limeandaliwa humu JF kupinga na kubeza Mazungumzo yanayoendelea baina ya Rais Samia na Mbowe.
Kundi hili ndio lile Kundi lililokuwa linashabikia kuwa Mbowe ni gaidi. Baada ya kupata aibu kwa kelele zile sasa wanaandika habari za uongo na uzushi dhidi ya Mbowe na CHADEMA.
Kifupi wanajitekenya na kujichekesha kwani Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wana akili kubwa. Endeleeni kupuyanga umbea lakini usiku mtalala.
CHADEMA haifi, kama alishindwa Magufuli kuinunua CHADEMA nyinyi Mavuvuzeni hamuiwezi CHADEMA
CHADEMA BEI YAKE NI KAMA BEI YA KUINUNUA KLABU YA CHELSEA
CUF na ACT vipi?? Nlidhani CHADEMA ikipata mbunge mmoja kuna wapinzani wamegain kumbe hakuna!! Ina maanisha kura za upinzani zipo intact kwa CHADEMA na 2025 zinaenda kuvunwa. Mind you CHADEMA ilipewa na NEC kura Million 2 majimboni Cha kushangaza wagombea ubunge Wana kura million 2 ila ACT yenye kura chini ya laki 1 eti Ina wabunge 5 hahahahha.Chadema kina mbunge mmoja
Imenunuliwaje wakati ni Mbowe ndio alimu approach Lowassa!!? sababu wote walikua na common enemy. Hata JPM tu alisema wapinzani tunatumika na mabeberu Cha kushangaza kina Silinde, Mashinji, Shonza, Mwampamba, Kitila n.k walipohamia CCM wakapewa nafasi za juu serikalini!! Mpaka unajiuliza kama wanatumika na mabeberu wakiwa CHADEMA sasa kuwaleta serikalini kabisa hauoni ndio nchi itauzwa??We tu ndo hupati fungu, CHADEMA inanunulika, rejea uchaguzi wa 2015 yule mgombea aliinunua tena bei sawa na bure. Inwwezekana vipi mwizi uliyempiga vita ukamuachia mamlaka ya kuendesha akaunti yako?
Hebu elezea vizuri hapa kwenye asilimia 42, halmashauri 30 na kama gepu lilikuwa kura milioni 6 ni nyingi sana zaidi ya wakaz wa DSM nzimaAaah lilififisha upinzani kwa Kura million 6?? Na Halmshauri 30?? Yaani 42% ya waTanzania walipiga upinzani alafu unasema upinzani ulikufa?? Hivi kama Tume ingekua huru unadhani JPM angeingia ikulu?
Get serious, Lowassa alikua asset ule uchaguzi Hilo lipo wazi kabisa.
Ila kila siku haipiti nusu saa unaanzisha thread yake.Chadema inajifia yenyewe
Ko mlitaka mwizi mliyemshika ndo awe mkuu wa nchi ili aibe awezavyo siyo. ππImenunuliwaje wakati ni Mbowe ndio alimu approach Lowassa!!? sababu wote walikua na common enemy. Hata JPM tu alisema wapinzani tunatumika na mabeberu Cha kushangaza kina Silinde, Mashinji, Shonza, Mwampamba, Kitila n.k walipohamia CCM wakapewa nafasi za juu serikalini!! Mpaka unajiuliza kama wanatumika na mabeberu wakiwa CHADEMA sasa kuwaleta serikalini kabisa hauoni ndio nchi itauzwa??
Politics is a game of numbers, ukiteka vifaru vya adui unavitumia kutafuta ushindi na hii ipo kote hata Odinga ameshirikiana na Uhuru Kenyatta sababu kuu ni wote hawapatani na Ruto!! So common enemy united CHADEMA with Lowassa nothing more nothing less
Kwani huko CCM kuna nani msafi mkuu? We all know Lowassa angekua one term president mamlaka yote yangekua kwa Mbowe. Nchi inaongozwa kwa katiba sio wezi, hivi kweli Lissu awe waziri wa Katiba na Sheria alafu fisadi angejulikana amuache? Get serious.Ko mlitaka mwizi mliyemshika ndo awe mkuu wa nchi ili aibe awezavyo siyo. ππ
JPM mlimpa kura 8 M na Lowassa akapewa 6 M na wapinzani wengine wakaokoteza laki kadhaa. so JPM alituzidi chini ya kura million 2 ambazo nazo ni za wizi tu.Hebu elezea vizuri hapa kwenye asilimia 42, halmashauri 30 na kama gepu lilikuwa kura milioni 6 ni nyingi sana zaidi ya wakaz wa DSM nzima
Fisadi angekuwa alomteua lissu hivyo asingeweza kumgusa mwizi mkuu na katiba mshasema haiko sawa. Hapo mlizingua kumsimamisha mwizi mkuu πKwani huko CCM kuna nani msafi mkuu? We all know Lowassa angekua one term president mamlaka yote yangekua kwa Mbowe. Nchi inaongozwa kwa katiba sio wezi, hivi kweli Lissu awe waziri wa Katiba na Sheria alafu fisadi angejulikana amuache? Get serious.
Hzo 6 mil. Ni za wale maccm majizi pia na syo wanachi wa upinzani tu na yalitaka mwizi mwenzao apite ili wakapige vizuri. Mungu muweza wa yote akasema namptisha asiyefahamika kwa wezi.JPM mlimpa kura 8 M na Lowassa akapewa 6 M na wapinzani wengine wakaokoteza laki kadhaa. so JPM alituzidi chini ya kura million 2 ambazo nazo ni za wizi tu.
Kama Lowassa angekataliwa je angepataje hizo 40% za kura yaani ilibakia 10% pekee atangazwe Rais. So tuache hizi kelele kuwa Lowassa aliua upinzani they don't make sense.
Lissu ange deal na Lowassa wa nini? Mfano pesa imeibiwa Halmashauri sasa hapo usichukue hatua kisa nini? sio Kila ufisadi lazima uwe na baraka za Rais!! hata kipindi Cha JPM watu waliiba sana na ripoti za CAG zilionyeshwa hivyo ila unataka kukiri kuwa JPM aliwaruhusu??Fisadi angekuwa alomteua lissu hivyo asingeweza kumgusa mwizi mkuu na katiba mshasema haiko sawa. Hapo mlizingua kumsimamisha mwizi mkuu π
Kwahiyo Tanzania Ina mafisadi Million 6? π€£π€£π€£π€£, Umetisha sana mkuu!!Hzo 6 mil. Ni za wale maccm majizi pia na syo wanachi wa upinzani tu na yalitaka mwizi mwenzao apite ili wakapige vizuri. Mungu muweza wa yote akasema namptisha asiyefahamika kwa wezi.