Rais Magufuli alitaka kuiua CHADEMA, lakini alishindwa! Hakuna wa kuinunua wala kuiua CHADEMA

Apo ulipo bado unaamini ile chadema ya miaka iyo ndo yasasa? Imeshakatwa mkia kitambo.

Chadema imebaki mtandaoni, Mtaani watu wameshaanza kuisahau
Watu wa mitandaoni watakuwa wanaishi sayari nyingine, au siyo...
 
Utateseka sana
 
Segerea muli-sarender baada ya miezi 8 tu, sasa Mbowe amefika mwenyekiti wa chama chenu, Tundu Lissu hana mdomo huko aliko, kina msingwa haamini macho yake jamaa alivyowasaliti na chama chao
Bado sana, Jiwe alikuwa na imani kama yako
 
sasa ACT ndio angalau watanzania wanaweza elekea huko Chadema wamekubaliana bei ili Mbowe aachwe huru miezi 8 jela mwamba alikuwa hoi ikabidi aangushe majeshi, sasa saa 24 anashinda Ikulu
Kajiunge huko sasa, unateseka sana
 
Lowasa alichafuliwa na mfumo siyo Lowasa kama Lowasa ingekuwa Lowasa ndiye aliyehusika moja kwa moja na Richmond angekuwa sasa jela ila ule ulikuwa mchezo wawenyewe na wenyewe waliendelea kubaki madarakani mpaka wanamaliza.
 
TUKI wanatakiwa wabadili ule msemo wa banyiani mbaya.... iwe shetani mbaya kiatu chake dawa. Tuendelee kupokea nishani .
 
Mwenendo wa sasa ndo unaiua Chadema....ni muda tu.
 
Hivi wenzetu huwa mnatoa wapi muda wa kuandika ujinga mkubwa na mrefu kama huu!!??
Mnalipwa!!???
Mmejitoa akili au ndio mmezaliwa hivyo na uwezo mdogo wa kupambanua mambo!!???
 
sasa ACT ndio angalau watanzania wanaweza elekea huko Chadema wamekubaliana bei ili Mbowe aachwe huru miezi 8 jela mwamba alikuwa hoi ikabidi aangushe majeshi, sasa saa 24 anashinda Ikulu
Kama CHADEMA wamefika bei,maana yake Mh. Rais ameshindwa kuwashawishi kwa hoja mpaka awanunue!!??
Maana yake ni kuwa Mh. Rais uwezo wake ni mdogo kiasi hicho!!??
Maana yake mnamtukana Mh. Rais kuwa hawezi kujenga hoja mpaka atumie ushawishi wa pesa!!???
Umeelewa hayo mnayomtuhumu nayo Mbowe na CHADEMA kununuliwa yanamvua mama "credibility" aliyokuwa nayo!!???
 
We tu ndo hupati fungu, CHADEMA inanunulika, rejea uchaguzi wa 2015 yule mgombea aliinunua tena bei sawa na bure. Inwwezekana vipi mwizi uliyempiga vita ukamuachia mamlaka ya kuendesha akaunti yako?
Unafanya nini hapa Jukwaani!!?
Tafadhali, nenda kaendelee na kufanya majukumu yako kuliko kuja kuandika upupu na kuonyesha hadharani jinsi uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo.
 
Kila atakayejaribu kuleta uchawi kwa Chadema atakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…