Rais Magufuli amedhihirisha kuwa ni kinara wa kutetea Haki za Binadamu kwa vitendo kwa jinsi anavyoshughulikia janga la COVID-19

Rais Magufuli amedhihirisha kuwa ni kinara wa kutetea Haki za Binadamu kwa vitendo kwa jinsi anavyoshughulikia janga la COVID-19

Ishambindua savimbilissu mse+far+ weye
Kalashinikov ilidunda!!!
Huyo mnaemsifia ni mwepesi sana mbele ya korona! Atabiduliwa kama karatasi!! Haijalishi amezungukwa na vifaru au mabomu!
Na hivi ana pacemaker we subiri neshno andhem.
 
Watanzania wenzetu wapo hospitalini kwa sababu ya huu ugonjwa alafu mtu mmoja anakuja apa kuleta kejeri..Hivi unataka kusema waliopo hospitali wote kisa ni kua awampendi Magufuli? Wizara ya Elimu ebu rekebisheni mtaala wa Elimu ya msingi kabisa
Msengerema wewe
 
Kalashinikov ilidunda!!!
Huyo mnaemsifia ni mwepesi sana mbele ya korona! Atabiduliwa kama karatasi!! Haijalishi amezungukwa na vifaru au mabomu!
Na hivi ana pacemaker we subiri neshno andhem.
Savimbi anaendeleaje imeshamdeadisha?;''
 
Coronavirus haichagui dini, rangi, chama, tajiri wala maskini

Tuchukue tahadhari ya maneno na matendo
 
Hajapanic ametulia, anaangalia hali halisi ya maisha ya watanzania hajakurupuka anawahurumia watu wake ana hofu ya MUÑGU huyu ndiye John mtoto wa Magufuli

Waliopiga kelele kuwa anavunja haki za binadamu wamejifunza kwa vitendo sitegemei kusikia tena Mbwa akibweka kuwa kuna uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania

Kuanzia mwezi huu mwishoni maisha ya kawaida yatarejea wataungana na falsafa ya Mwamba wa Chato Mtanzania namba moja hodari mwenye imani kama akina Ibrahim

Heko JPM mwenyezi Mungu alikuandaa uje kuliongoza Taifa hili kwenye nyakati ngumu umebarikiwa
Hajapanic ametulia.......tuko vizuri mno.😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom