Rais Magufuli amedhihirisha kuwa ni kinara wa kutetea Haki za Binadamu kwa vitendo kwa jinsi anavyoshughulikia janga la COVID-19

Rais Magufuli amedhihirisha kuwa ni kinara wa kutetea Haki za Binadamu kwa vitendo kwa jinsi anavyoshughulikia janga la COVID-19

Kikwete na Wasaidizi wake walitinga msibani na barakoa ila Abbas kaenda Airport bila barakoa ili kumfurahisha mfalme kuwa iko chache sana[emoji3][emoji3]
 
Kule nyuma vipi mnatusikiaaa ...[emoji378][emoji378][emoji378] au tuongeze sauti haya sikiki vizuri

Chamwino mnasikia huko au bado tutupie lingine [emoji378][emoji378][emoji378]

Jamani sinauliza huko mnasikiaaa ... !!!

Hayupo!!!!??? Kwani kaenda wapi??? Mh! au karudi CHATO ???

Maaana msibani pia hayupo ... Pemba sijamuona wala Dom hajaonekana [emoji848][emoji848][emoji848]
Usijali itasikika hadi ndani ya nyumba yako
Kwani unafikiri inachagua basi👣👣💣😎
Wala haibagui😐
 
Usijali itasikika hadi ndani ya nyumba yako
Kwani unafikiri inachagua basi[emoji188][emoji188][emoji378][emoji41]
Wala haibagui[emoji52]
Nyumbani kwangu tushachanja kitaaambo we kaa hapo subiri tu ...

Zakuambiwa changanya na zako shauri yako
 
Unajua effectiveness ya chanjo? Ina uwezo wa kuzuia maambukizi kwa asilimia ngapi?
nimsaidie tu kujibu ita depend na chanjo ipi maana ziko nyingi.
ambayo imekuja close ni Moderna na pfizer na J&J ziko juu ya 85% to 94.1%.

itadepend umepata ipi.
 
Usijali itasikika hadi ndani ya nyumba yako
Kwani unafikiri inachagua basi[emoji188][emoji188][emoji378][emoji41]
Wala haibagui[emoji52]

Nyie si mlikuwa mnasifia kaiweza ? yan washindwe UK aiweze Magu ? what were you guys thinking ? me sijawah kustop kusanitize na kuvaa barakoa, magufuli is a moron, this dude is good as dead, yan simsikilizagi hata neno moja jamaa anaropoka sana vitu hata havijui, huyu rais kama mvuta bangi vile.. hizi siku tatu nimepoteza ndugu na rafik kama kumi na wote nature ya tatizo inafanana, na ni watu wa ccm, na walikuwa wanampiga sana promo jamaa na upuuz wake.
 
Unajua effectiveness ya chanjo? Ina uwezo wa kuzuia maambukizi kwa asilimia ngapi?
Ohoooooo! yaleyale maswali ya kukwepa mkojo huku umekanyaga mavi matokeo yake utauangukia ukoge kabisaa ... kwani tangu umezaliwa ushapata chanjo ngapi ?

Polio
Surua
Pepopunda
Ndui
Matende
Busha
Mgongo wazi n.k



Effectiveness zake ipoje? Zina uwezo wa kuzuia maambukizi kwa asilimia ngapi?

Ukipata jibu na mimi ntakujibu
 
Ohoooooo! yaleyale maswali ya kukwepa mkojo unakanyaga mavi tangu umezaliwa ushapata chanjo ngapi ?

Polio
Surua
Pepopunda
Ndui
Matende
Bush

Effectiveness zake ipoje? Zina uwezo wa kuzuia maambukizi kwa asilimia ngapi?

Ukipata jibu na mimi ntakujibu
Umeandika nini sasa🙄🙄
Ungetoa jibu kabla ya kuuliza maswali yako. Kukusaidia kuhusu uliyoyataja nenda katafute taarifa zipo
 
To see a man not beaten by a better opponent but by himself is a tragedy!
 
10722130-A9F1-4544-A3D2-BAAE5BFDB808.jpeg
 
Nyie si mlikuwa mnasifia kaiweza ? yan washindwe UK aiweze Magu ? what were you guys thinking ? me sijawah kustop kusanitize na kuvaa barakoa, magufuli is a moron, this dude is good as dead, yan simsikilizagi hata neno moja jamaa anaropoka sana vitu hata havijui, huyu rais kama mvuta bangi vile.. hizi siku tatu nimepoteza ndugu na rafik kama kumi na wote nature ya tatizo inafanana, na ni watu wa ccm, na walikuwa wanampiga sana promo jamaa na upuuz wake.

Wanaovaa barakoa na kusanitize huko UK hawapati maambukizi wala kufa?

Hao ndugu zako10 ambao wamefariki waliuwawa na rais Magufuli?

Mimi sijawahi kutoka nje ya utaratibu wa kuwa muwajibikaji namba moja awe afya yangu.... sio kwa COVID pekee. Siku zote nachukua tahadhari sahihi na hata kwa malaria, HIV, amoaba, typhoid nachukua tahadhari zake.

Kuna watu hawaoni shida kunywa maji yasiyo safi na salama ila mimi siwezi kunywa maji yasiyokua safi na salama. Kuna watu hawataki barakoa kwa sababu zao binafsi ila mimi navaa bila shurti

Waambie ndugu zako wamchukue tahadhari, wafanye malezi na kazi, wale vizuri na kubwa zaidi wamwombe Mungu kwa imani zao
 
Wanaovaa barakoa na kusanitize huko UK hawapati maambukizi wala kufa?

Hao ndugu zako10 ambao wamefariki waliuwawa na rais Magufuli?

Mimi sijawahi kutoka nje ya utaratibu wa kuwa muwajibikaji namba moja awe afya yangu.... sio kwa COVID pekee. Siku zote nachukua tahadhari sahihi na hata kwa malaria, HIV, amoaba, typhoid nachukua tahadhari zake.

Kuna watu hawaoni shida kunywa maji yasiyo safi na salama ila mimi siwezi kunywa maji yasiyokua safi na salama. Kuna watu hawataki barakoa kwa sababu zao binafsi ila mimi navaa bila shurti

Waambie ndugu zako wamchukue tahadhari, wafanye malezi na kazi, wale vizuri na kubwa zaidi wamwombe Mungu kwa imani zao

aiseee
 
Umeandika nini sasa[emoji849][emoji849]
Ungetoa jibu kabla ya kuuliza maswali yako. Kukusaidia kuhusu uliyoyataja nenda katafute taarifa zipo

Hebu kuweni na akili za kufikiri nje ya box basi Mxieusssszzzz!!!

Ona sasa yaani unazunguuka palepale umetoka kwenye
".... kuruka mkojo unakanyaga mavi ... "

Sasa umeingia kwenye
"... kuku na yai kipi kilianza ... "

Kwa maana hiyo unataka kusema kuwa hizo chanjo kabla ya kutumika zilianza taarifa kwanza au taarifa zilikuja baada ya kutumika?

Yani watu wengine sijui mpoje ... ??? Ama kweli nimeamini watanzania wote tunatumia 1% ya akili zetu
20210221_154213.jpg
 
Back
Top Bottom