Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Synthesizer,
Tatizo kila kitu anaamua Magufuli, hakuna mwenye msuli wa kumpa ushauri
Tatizo kila kitu anaamua Magufuli, hakuna mwenye msuli wa kumpa ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana wee, hebu mara nyingine tutumie busara ya elimu katika kuamua mambo. Wewe umeambiwa hapo juu kuna mtu ameona RAV4 a mwaka 1996. Sasa unafikiri katika masuala ya asset za serikali ukiambiwa wahasibu wafanye evaluation ya hiyo gari watakuambia thamani yake ni kiasi gani?Iwanununulie kwa bajeti ipi mkuu. Why huoni jema kwenye kitu direct hivyo. Kasema kule ambako Kuna Shida hasa wananchi kupata huduma. Watu kama nyie sijui Ni Perfect kiasi gani. Lakini kisaikologia the opposite is true.
Ukimshauri anakufukuza kazi ama unapangiwa kazi nyingine.Tatizo kila kitu anaamua Magufuli, hakuna mwenye msuli wa kumpa ushauri
Utasemaje kuna sehemu za serikali hazina magari wakati tunamuona anatembea na sanduku la pesa za serikali kila awapo ziarani.Kuna maeneo hayana magari kabisa ya huduma kwa wananchi, sasa bora nini? Wapate magali yaliyotumika na kuyatumia au wawe bila magari watumie baiskeli?
wakiyauza wale maharamia watakuja kuyagomboa yote sema TEMESA nao wanazingua sana ukipeleka gari badala liludi limepona ndio wanaua kabisa wakati ukipeleka kwa fundi juma mwembeni linatoka fresh kabisaAngeyauza hata kwa laki 3 kwa wananchi na sisi tumiliki magari
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kha!,kha!.Uko vizuri aisee.We mchochezi au umetumwa na mabeberu. Toka lini mawazo Bora yakatoka nje ya kichwa Cha rais.
Nyie mnaweza kupewa hii Probox muongeze ufanisi😀😀😀
Mkuu, kwani tatizo ni nini ikiwa watayagomboa kwa kulipa fedha zitakazoingia serikalini? Kwani wamepigwa marufuku kumiliki magari?wakiyauza wale maharamia watakuja kuyagomboa yote sema TEMESA nao wanazingua sana ukipeleka gari badala liludi limepona ndio wanaua kabisa wakati ukipeleka kwa fundi juma mwembeni linatoka fresh kabisa
MKuu sometimes ni vema to call a spade spade. Haya mambo ya kusifiana kinafiki nafiki wengine hatuna silka hiyo. Naliona hili kama kosa kubwa sana na ndio maana nikasema amekosea sana.Title yako ina maneno makali, ila content yako iko safi.
Hahaha! Mkuu vichwa vya treni tusingeweza kuvipiga mnadaushauri mzuri ila sidhani kama atakuelewa!
Kama vichwa vya treni vilivyookotwa bandirin leo vinatumika sembuse hayo magari ambayo mmiliki anajulikana??
Hyo ni Noah, nitaichukua kinyemela nikabebee nyasi kwa ajili ya ng'ombe wangu.
Uko sahihi kabisa iwapo tu ungeweza kutamka maneno hayo hayo bila kuyamung'unya hata chembe, kama ungekuwa upo pamoja naye hapo ulipo. Ila kama umetamka hivyo kwa sababu upo kwenye mtandao na yeye hayupo, basi mara nyingine inabidi labda uyapunguze makali kidogo. Si kwa Rais tu bali pia kwa watu wengine akiwemo hata bosi wako ofisini kwako hapo ulipoMKuu sometimes ni vema to call a spade spade. Haya mambo ya kusifiana kinafiki nafiki wengine hatuna silka hiyo. Naliona hili kama kosa kubwa sana na ndio maana nikasema amekosea sana.