Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kama Maeneo gani ambayo hayana magari ya huduma kwa wananchi?
Kuna maeneo hayana magari kabisa ya huduma kwa wananchi, sasa bora nini? Wapate magali yaliyotumika na kuyatumia au wawe bila magari watumie baiskeli?