Tetesi: Rais Magufuli amewaita mabalozi wote wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje

Tetesi: Rais Magufuli amewaita mabalozi wote wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje

Benz Petrol

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
504
Reaction score
196
Kuna tetesi kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Johm Pombe Magufuli amewaita mabalozi wote wawakilishi wa Tanzaina nchi za nje kwenye mkutano utakaofanyika Ijumaa (kesho) Ikulu jijini Dar-Es-Salaam.

Kuna uwezekano mkubwa wa kutokea mabadiliko makubwa katika safu ya mabalozi hao pamoja na utendaji wa ujumla katika vituo vyao vya kazi. Habari zaidi zinanyetisha kwamba kabla ya mkutano huo kati ya mabalozi wote na mh. Rais, mabalozi hao watafanya mkutano na Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Mh. Agustine Mahiga hii leo.

------------- Update --------------
Mods naomba msaada kuondoa tetesi kwenye kichwa cha habari
 
Pengine na mimi mh Rais ana weza akanikumbuka katika ufalme wake ni kapunguza uchungu wa kibano ninachokipata huku mitaani,maana yake gauge haisomi kabisa kila kona ni giza nene limetanda.
 
Kuna tetesi kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Johm Pombe Magufuli amewaita mabalozi wote wawakilishi wa Tanzaina nchi za nje kwenye mkutano utakaofanyika Ijumaa (kesho) Ikulu jijini Dar-Es-Salaam.

Kuna uwezekano mkubwa wa kutokea mabadiliko makubwa katika safu ya mabalozi hao pamoja na utendaji wa ujumla katika vituo vyao vya kazi. Habari zaidi zinanyetisha kwamba kabla ya mkutano huo kati ya mabalozi wote na mh. Rais, mabalozi hao watafanya mkutano na Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Mh. Agustine Mahiga hii leo.
Kama Dr Dau aliyeondoka juzi naye atarudi hiyo itakuwa ni kufuja hela za umma .
 
Tetesi ni kwamba mabalozi wengi wanamsikiliza Bernard Membe kuliko Mkulu. Wao wanajua wanataka uzoefu kwa huyo diplomat!
 
Hizi gharama hazina ulazima wowote!!!
Juz hapa Wabunge wa Chadema na baadhi ya viongozi walienda ULAYA.. je unaweza kutuambia faida iliopata Chadema kutokana na ziara hiyo au ilikua njia ya kula Ruzuku za Chama (Kodi za wananchi)


Maana kama ni mafunzo wangemleta nchini mtoa mafunzo ambae angekuja Tanzania angetoa kwa watu wengi wa Chadema
 
Back
Top Bottom