Hapa nimezungumzia uzoefu katika diplomasia na sio ushawishiKuna kipindi ma DED almost wote walikuwa wanamsikiliza Laigwanan kuliko rais. Ni suala la networking kwa malengo fulani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nimezungumzia uzoefu katika diplomasia na sio ushawishiKuna kipindi ma DED almost wote walikuwa wanamsikiliza Laigwanan kuliko rais. Ni suala la networking kwa malengo fulani...
hoja gani kwamba ikulu itumie video conference kujadili mabo muhimu na siri za nchi washauli UKAWA watumie hiyo.Ni kitu gani kipya ulichoeleza hapo?? Labda kuita watu wapumbavu na wanywa viroba coz mkishindwa kujenga hoja mnakimbilia huko...
Mkuu nashindwa kabisa kuwaelewa watz wenzangu yaani mtu analazimisha kabisa video conference itumike!!!! Hii sidhani kama inahitaji hata la saba kufikiri kuwa hizo ni siri za nchi.hoja gani kwamba ikulu itumie video conference kujadili mabo muhimu na siri za nchi washauli UKAWA watumie hiyo.