Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji35] [emoji35]WATAOMBENI SEFUE NYINGINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji35] [emoji35]WATAOMBENI SEFUE NYINGINE
Mbona mlisema hawaendagi wanajificha hapo dar? Kwani safari za nje zimeruhusiwa?Nyie wakati "ujumbe mzito" umeenda Ulaya kulalamikia ukuta kwa nini msingekata gharama hizo kwa kutembelea balozi za Ulaya hapa Dar?
Kama Dr Dau aliyeondoka juzi naye atarudi hiyo itakuwa ni kufuja hela za umma .
Na maafande wa jwtz.Ma Engineer na Dr wajiandae kuwakilisha Nchi kimataifa
Kwa wale watakaopenya, maana kutakuwa na mchujo mkali tu, watakaopenya anataka aongee nao uso kwa uso majukumu yao ni nini huko watakoenda.Si aite anaotaka kuwatimua,yanini kuwasumbua wengine?
Na maafande wa jwtz.
Where is lizaboni????aaaah!! kashindwa kukumbukwa Lizaboni sembuse wewe?!
aaah!! siku hizi kakata tamaa kabisa ya kupiga propaganda nahic ameamini kwamba CCM INAWENYEWE!Where is lizaboni????
Au ameteuliwa RAS??aaah!! siku hizi kakata tamaa kabisa ya kupiga propaganda nahic ameamini kwamba CCM INAWENYEWE!
Hahahahahahahahaaa, tehe tehe tehe tehe.....Ma Engineer na Dr wajiandae kuwakilisha Nchi kimataifa
Nashauri mabalozi walioko EU waondolewe warudi nyumbani, maana ni wabinafisi, wazembe na wanalugha mbovu sana. Hawana msaada kwa watanzania, ni wakorofi, si wabunifu wala wa kujituma. Wao hudhani kila mtanzania aliyenda ulaya kaenda kwa matatizo. Yaani wanachukiza sana!Kuna tetesi kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Johm Pombe Magufuli amewaita mabalozi wote wawakilishi wa Tanzaina nchi za nje kwenye mkutano utakaofanyika Ijumaa (kesho) Ikulu jijini Dar-Es-Salaam.
Kuna uwezekano mkubwa wa kutokea mabadiliko makubwa katika safu ya mabalozi hao pamoja na utendaji wa ujumla katika vituo vyao vya kazi. Habari zaidi zinanyetisha kwamba kabla ya mkutano huo kati ya mabalozi wote na mh. Rais, mabalozi hao watafanya mkutano na Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Mh. Agustine Mahiga hii leo.