Tetesi: Rais Magufuli amewaita mabalozi wote wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje

Tabia hii siipendi, kila anayehoji utendaji wa serikali anakiwa ni chadema. Acha upuuzi huo.
 
Kinachofanyika sasa na political hitmen wa ndani ni kuhakikisha rais hapati nafasi ya kufikia malengo aliyopangiwa na ilani
 
Ni vizuri wakapewa maelekezo ya namna gani iliyo bora ya kudeal na diplomasia ya dunia inayobadilika badilika.
Kuelekea katika uchumi wa Viwanda mabalozi nje ya nchi ni wadau muhimu sana.
 
MUHIMU KUWA NA KIKAO CHA KAZI
Utalii utangazwe kupitia balozi zetu.
Ushawishi wa kuvutia wawekezaji,ufanywe na maofisa wa balozi zetu.
Watangaze fursa mbalimbali tulizonazo kijamii,kiuchumi nakadhalika,na nakadhalika!
 
Uhakiki wa Mabalozi! na Dr. D naye atakuwepo?
 
waache hao wameishiwa hoja sasa wanaokoteza hata pointless kupambana na ukweli
Mkuu mimi huwa nashangaa pale watu wanapokuwa wanajifanya viziwi na vipofu mbele ya ukweli simply because of fanatism
 
Na mbaya zaidi hao walowafuata huko Gernman, wakaja Tz kumpongeza JPM kwa kazi nzuri anayoifanya!..
 
Mkalimani atakuwepo??
 
Mabalozi hawabdilishwi kama wakuu wa mikoa au wilaya......kunataratibu zake
 
Acha utani mkuu. Kwamba Membe ni diplomat mzoefu kuliko Mahiga!!!!? Give me a break
Kuna kipindi ma DED almost wote walikuwa wanamsikiliza Laigwanan kuliko rais. Ni suala la networking kwa malengo fulani...
 
akili za upepo yaani kuongelea siri za nchi tutumie mitandao kwikwikwi wewe siku ukiwa kiongozi utauza nchi na huenda ukawa mwana ukawa wewe.
Swali ni kwamba unaijua Skype au video conference??
 
Swali ni kwamba unaijua Skype au video conference??
ficha upumbavu unadhani wote ni wanywa viroba kama wewe, ngoja nikufute ujinga kidogo hizo skype na video conference ni huduma za kimawasiliano zinazotumia INTERNET PROTOCOL (IP) kwa hiyo packect switching inapitia nodes nyingi duniani kupelekea risk ya wadukuzi kuwa na uwezo mkubwa wa kudaka mawasiliano yenu ndo maana mabenki, wizara, taasisi mbalimbali duniani hutumia MPLS VPN na POINT TO POINT layer2 VPN kupitisha taarifa zao ili kukwepa udukuzi. next time niquote kwa tahadhali ukijua huyu sio msukule kama wewe.
 
Ni kitu gani kipya ulichoeleza hapo?? Labda kuita watu wapumbavu na wanywa viroba coz mkishindwa kujenga hoja mnakimbilia huko...
 
Tetesi ni kwamba mabalozi wengi wanamsikiliza Bernard Membe kuliko Mkulu. Wao wanajua wanataka uzoefu kwa huyo diplomat!
Membe hana kitu alikuwa anabebwa na jk tu! Hawezi kumzidi Mahinga kwa diplomat hata shetani arudi duniani
 
Mabalozi hawabdilishwi kama wakuu wa mikoa au wilaya......kunataratibu zake
Kila kitu kina taratibu zake mkuu ila katika awamu hii hizo 'taratibu' ni tofauti kidogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…