Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Safi sana Mh Rais maana hatuwezi kuwa na watu wa hovyo unadhani kila mtu akianza kuchana kitabu cha dini ya mwenzie si itakua vita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa akiwa kichaa si atafukuzwa kazi pia! Au serikali inaruhusu kuajiri vichaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sasa hana akili timamu kazini anafanya nini ! Bora bs kafukuzwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Sasa kama kichaa kazini anafanya nini ! Si ataweza kuuwa hata wenzake hapo kazini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hapo kura kede kede za wazee wa baraghashia.

Huku Kafir akiendelea kuponda upepo wa magogoni, na washangiliaji wakiendelelea na kashata zao na baghia.

Dini ni mojawapo ya upumbavu uliopandikizwa mwilini mwa watu.

Nawe kunywa pombe zako kwani shida nini [emoji38][emoji38][emoji38] binadamu aiseeh akili zenu sijui zikoje


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
LMAO!
Apocrypha (The infancy Gospel of Thomas)
Apocrypha (Gospel of the infancy of Jesus)
Hizi zote hazizungumzi upuuzi ndio maana ukisoma koran 3:49 utapata kujua ilitolewa kutoka gospel of Thomas chapter 1.

Koran 19:18-34 imechukuliwa kutoka gospel of the infancy of Jesus
Koran 5:110 toka Guillaume, hivi ni baadhi ya vitabu vinavyothibitisha ukuu wake na utakatifu wake ndio maana ancestors wakiarabu wakakopi hivyo inaondoa maana ya koran kabisa

Naomba ujibu hili swali, unaweza kuhubiri uislamu bila Biblia?
 
Nakiri mtuhumiwa amekosa sana kwa kudharau na kudhihaki imani za wengine.

Tatizo liko kwenye utaratibu wa mkuu wa kaya kuingilia mihimili hii mingine. Je, haamini kama haki ingetendeka tu kwa kupitia mifumo iliyopo? Kwa maoni yangu, hii inaathiri morali wa kazi kwa mihimilii hii inayoingiliwa kwa kuona kama haiaminiki kiutendaji.

Ni maoni yangu tu.
 
biblia ni kama GAZETI.
ndo maana hamna uchungu na BIBLIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gazeti ambalo mlitoa haya ndani yake.

Koran 2:17 iko Zaburi 33:6&9
Koran 2:245 iko proverbs 19:17
Koran 17:12 iko Mwanzo 1:14
Koran 7:199 iko Waefeso 4:31-32
Sahih al bukhari volume 9; book 93 number 559 imechukuliwa Mathayo 20:1-16
Hadith quds 18 imechukuliwa Mathayo 25:31-46

Inatosha nina mengi hadi kero, sasa kama kitabu chenu si gazeti na kina maana kushinda Biblia kwanini kimeikopi Biblia?
 
Mbona waislamu wanakuitaga wewe kafiri hiyo sio dharau kwa imani nyingine?
 
Serikali haina dini sasa baba magufuli anamfukuzaje mtu kwa kutumia mamlaka ya kuwa mkuu wa serikali???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…