Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Afisa biashara amesomea biashara ataenda mtaani kufanya biashara simple.Ila kupata ushirikiano wa kutafuta napo itamuwia vigumu kwa sababu watu watakuwa hawana imani nae.Amechezea nafasi adimu ya upigaji akabebe zege.
Wanapiga pesa Sana,hata Kama alilewa asingetembea kwa miguu,kuzurura kumempa haya,angechukua hata boda aende kulala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini ninajiuliza kwa nini kila siku iwe kitabu hiki tu cha waislamu ndiyo mara kinachanwa mara kinachoma moto, kwa nini lakini?
TARATIBU KIJANA. UMESHASEMA NI MPUMBAVU HUYO ALIECHANA. BASI TOSHA. INA MAANA AMEFANYA KITU CHA KIPUMBAVU. NA NDIO MAANA KIONGOZI MAKINI KAMA ANKO MAGU NA PIA Mh. JAFO HAWAKUWEZA KISTAHMILI UJINGA WA HUYO ALIECHANA.

SASA HAYO MENGINE UNAYOYAANZISHA HAYATAKUSAIDIA KITU
 
Ila na hawa ndugu zetu wanadeka sana.

Hapa tumeogopa mengi.

Unaweza kukuta kichaa huyo akasababisha watu wakavaa mabomu au kuchoma makanisa.

Mpumbavu ni mpumbavu anaweza kuwa huku au kule ni kuwadhibiti mapema.

Lakini ninajiuliza kwa nini kila siku iwe kitabu hiki tu cha waislamu ndiyo mara kinachanwa mara kinachoma moto, kwa nini lakini?

mbona biblia inachanwa na hata kuchomwa moto . watu hawana shida kwa maana wanamuachia Mungu.

Ila kwa nini hikikitabu tu kiteswa mara kwa mara.
Nni kitabu watu wamechoma makanisa na wanapeta tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ukichoma au isigina simu yako yenye kitabu kitakatifu ndani kwa kutumia yale yale maneno aliyekua anaongea yule bwana itakuaje!

Make nahisi alinunua kwa hela yake ile Quran.
Hauna point dogo tulia upate upepo.
 
Angesubiria hatua za kinidhamu zikamilike ili nayeye apewe haki ya kusikilizwa halafu maamuzi yafanyike,Jafo alikuwa sahihi katika hili.

Vinginevyo hio itakuwa mihemko ya kuelekea Uchaguzi.

Kwanza inahisiwa hata mtu mwenyewe hakuwa katika akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtumishi wa umma anapaswa kuwa na akili timamu
 
Magufuli mtu wa kutumbua watu jukwaani kwa kelele za "nitumbueee, nisitumbueee?"

Halafu wananchi wanamjibu.

"Tumbuaaaa"

Anatumbua hapo hapo.

Huyo ni mtu wa kusubiri hatua za due process na za kinidhamu?

Mtumishi kama yule alipaswa kuwajibishwa na Mwajiri wake ambaye ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri yake.....

Swala la kusimamishwa kazi halikupaswa kutolewa na Waziri....
Vyombo vya usalama si vipo?
Mtumishi wa Umma akishashtakiwa kwa kosa la jinai, anasimamishwa kazi hapohapo mpk maamuzi ya mahakama yatakapotoka.

Yani leo afisa mdogo kama yule anashughulikiwa na Rais?

Rais kakosa kazi kweli.
 
Utawala wa sheria haufatwi kabisa nchi hii.Mahakama ikishibitisha kuwa alikuwa kichaa je? Atapoteza haki yake ya ajira sababu tu ya Tamko la Mh Rais

Sent using Jamii Forums mobile app
Point of correction
IMG_20200211_221046.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani sensitivity ya tukio
Mtumishi kama yule alipaswa kuwajibishwa na Mwajiri wake ambaye ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri yake.....

Swala la kusimamishwa kazi halikupaswa kutolewa na Waziri....
Vyombo vya usalama si vipo?
Mtumishi wa Umma akishashtakiwa kwa kosa la jinai, anasimamishwa kazi hapohapo mpk maamuzi ya mahakama yatakapotoka.

Yani leo afisa mdogo kama yule anashughulikiwa na Rais?

Rais kakosa kazi kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtumishi kama yule alipaswa kuwajibishwa na Mwajiri wake ambaye ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri yake.....

Swala la kusimamishwa kazi halikupaswa kutolewa na Waziri....
Vyombo vya usalama si vipo?
Mtumishi wa Umma akishashtakiwa kwa kosa la jinai, anasimamishwa kazi hapohapo mpk maamuzi ya mahakama yatakapotoka.

Yani leo afisa mdogo kama yule anashughulikiwa na Rais?

Rais kakosa kazi kweli.
Kuchana Quran, Biblia na hata kuchoma moto bendera ya nchi, zinatakiwa kuwa ni haki za kimsingi za kila raia za kujieleza.
 
Umeambiwa uweke ushahidi, alafu unaandika eti siyo mambo yote, yanayotangazwa, huyu katangwazwa kajitangaza.

Angechoma sehemu ya siri, na wa imani yake nani angesema, hubu acha udini ndugu, Tanzania hatutakiwi kuwa hivi.

Hivi unakumbuka kisa cha yule anaejiita nabii Tito, ni mkristo lakini alisweka ndani, kwa kuharibu imani za watu tena wakristo wenzie.

Alivyo fanya yule jamaa hata afanye muislamu, kwa Bibilia mimi nitalaani. Usisukumwe sana na udini fikilia zaidi ushirikiano na ndugu, rafiki, jirani yako ambae siyo wa imani yako, mnafanya mambo yenu bila kujali imani zenu, ila muda wa imani kila mtu kwake, jali zaidi hilo na wala siyo dhambi kwa Mungu.
unajua sio mambo yote huwa yanatangazwa.

Mara zote inashereheshwa na wale waadhirika wenyewe.

Wakristo huwa hawana shida hata ukisema Yesu si Mungu, ukisema sijui Biblia yenu ni fake au ukisema Dini yenu ni ya uongo, huwa wapo kimya .

Iseme dini hii ya waislamu utapata shida sana.

Kwani hawa wanao tusumbua Kibiti, Tanga na Mtwara/msumbiji ni nani aliyewauudhi kama sio mambo ya kijinga kijinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angesubiria hatua za kinidhamu zikamilike ili nayeye apewe haki ya kusikilizwa halafu maamuzi yafanyike,Jafo alikuwa sahihi katika hili.

Vinginevyo hio itakuwa mihemko ya kuelekea Uchaguzi.

Kwanza inahisiwa hata mtu mwenyewe hakuwa katika akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli aisee jamaa alikuwa anatafuta popularity tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuchana Quran, Biblia na hata kuchoma moto bendera ya nchi, zinatakiwa kuwa ni haki za kimsingi za kila raia za kujieleza.
Nakuelewa balaa hii alipaswa aitwe na mkurugenzi amuelimishe kirafiki tu amshauri aombe msamaha kiroho safi sio kisheria Bali moral wise
 
Nakuelewa balaa hii alipaswa aitwe na mkurugenzi amuelimishe kirafiki tu amshauri aombe msamaha kiroho safi sio kisheria Bali moral wise
Tatizo wanasiasa wameshindwa kazi zao, wanatafuta pa kutokea kwenye mambo kama haya.
 
kama unayajua haya. Basi ungeiheshimu Quran.
Maana kama biblia ilikuja kwa lugha nyingine na quran ilikuja kwa lugha ya KIARABU.
KWANINI AYA ZAO ZIFANANE?
Gazeti ambalo mlitoa haya ndani yake.

Koran 2:17 iko Zaburi 33:6&9
Koran 2:245 iko proverbs 19:17
Koran 17:12 iko Mwanzo 1:14
Koran 7:199 iko Waefeso 4:31-32
Sahih al bukhari volume 9; book 93 number 559 imechukuliwa Mathayo 20:1-16
Hadith quds 18 imechukuliwa Mathayo 25:31-46

Inatosha nina mengi hadi kero, sasa kama kitabu chenu si gazeti na kina maana kushinda Biblia kwanini kimeikopi Biblia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kuchana likitabu kuhatarishe usalama uliopo like seriously?
I guess you're whitewashed
Ukikua na uwezo wako wakufikiri ukaongezeka utakuja tu kuelewa kua nimeongea nini,
Kwasasa huwezi kunielewa,

Jaribu kua unafuatilia world events utagundua kua haya matukio yalishatokea na kuhatarisha usalama,refer lile gazeti la France lililochora katuni na nini kiliwapata,Acha kucheza na imani za watu ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom