Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Inaonekana walishapanga mazungumzo yao kuanzia Ikulu
Upange na JPM? Aisee una mawazo madogo mabaya mabovu kama haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana walishapanga mazungumzo yao kuanzia Ikulu
Unataka alee upuuzi!Udhalilishaji tu ,unamfanya waziri kama muhudumu wa baa.This is character assassination. Just respect them ,you don't have to shout public.
Tanzania ni tajiri subirini mtalipwa.Siyo pwani bali hata sisi wana wa kusini bado tunadai pesa zetu za korosho za msimu 2018-2019 na za msimu wa 2019-2020
In God we Trust
Rais kazungumza kwa uchungu pale lkn yeye yupo tu kakomaa, Leo alitakiwa aachie KaziUtu hawana Mkuu
Wanaona hata adhalilike kiasi gani lakini bora kazi
Sent from my iPhone using Tapatalk
Daaah! Yaani hadi huruma, ingawa nimependa nchi yetu sasa watu wanasemwa kwa ishu kama hizi ingekuwa zamani ungeskia mafuriko kaleta Mungu mimi waziri nifanyeje
Njaaa na ukichukulia mwaka wa uchaguzi huuRais kazungumza kwa uchungu pale lkn yeye yupo tu kakomaa, Leo alitakiwa aachie Kazi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Big NO! Let him shout even louder! Tabia ya kuficha ficha uozo ndiyo imelifikisha taifa tulipo. Walikuwa wakihamishana nafasi na sisi wananchi hatukujua kilichoendelea. SHOUT LOUDER MR. PRESIDENT!!!Udhalilishaji tu ,unamfanya waziri kama muhudumu wa baa.This is character assassination. Just respect them ,you don't have to shout public.
To me siyo.To me jamani huu sio udhalilishaji huu?.
P
Hii iliyompata Engineer Isack Kamwelwe leo inapaswa aandike barua ya kujiuzulu ili kuwajibika kama waziri bila kusuburi alazimishwe kama Kangi Lugola.
Itakuwa jambo la kiungwana akikubali kama kiongozi kuwajibika kwa kujiuzulu kuliko kuendelea kukaa ofisini aking'ang'ania nafasi hiyo ya kisiasa iliyomletea mtafaruku mkubwa na bosi wake leo hii.
Rais kazungumza kwa uchungu pale lkn yeye yupo tu kakomaa, Leo alitakiwa aachie Kazi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alivyo shout amefanya mini kuanzia ameanza .Si kazi yake rais ya kawaida hakuna kitu specialBig NO! Let him shout even louder! Tabia ya kuficha ficha uozo ndiyo imelifikisha taifa tulipo. Walikuwa wakihamishana nafasi na sisi wananchi hatukujua kilichoendelea. SHOUT LOUDER MR. PRESIDENT!!!
Kusema kweli rais anachoka. Huenda pia taarifa zinazomfikia zinamchochoa hasira. Huenda pia watendaji wanakabiliwa na changamoto nyingi na hawana nafasi ya kujieleza au wanaogopa.hongera sana Rais wetu tunakuhitaji kuiongoza Tanzania miaka zaidi ya 30 Mungu akubariki na kukupa maish marefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu mbona akiambiwa ukweli public yeye anakasirika .Usifanyie wenzako kama wewe ugali.Akimwita na kumkaribia kama kazi yake ya kawaida kuna nini kwani si bado angewaibikaBig NO! Let him shout even louder! Tabia ya kuficha ficha uozo ndiyo imelifikisha taifa tulipo. Walikuwa wakihamishana nafasi na sisi wananchi hatukujua kilichoendelea. SHOUT LOUDER MR. PRESIDENT!!!
Kweli kabisahongera sana Rais wetu tunakuhitaji kuiongoza Tanzania miaka zaidi ya 30 Mungu akubariki na kukupa maish marefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ni tajiri subirini mtalipwa.
Halafu mtu kama jiwe anasema niwe mzalendo aisee