Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Hata wahudumu wa bar ni binadamu. Waheshimiwe pia.Udhalilishaji tu ,unamfanya waziri kama muhudumu wa baa.This is character assassination. Just respect them ,you don't have to shout public.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wahudumu wa bar ni binadamu. Waheshimiwe pia.Udhalilishaji tu ,unamfanya waziri kama muhudumu wa baa.This is character assassination. Just respect them ,you don't have to shout public.
Hapana, that was a correct approach by mr President, nchi hii ina watu wamepewa mamlaka lkn wanafanya vitu na maamuzi ya hovyo huwezi amini, na unakuta ni wasomi kweli. binafsi nadhani hamna namna nyingine zaidi ya kuwakosoa hadharani ili na wengine wabadilike, nb: nilikuwa muhanga wa daraja hilo kama msafiri.Udhalilishaji tu ,unamfanya waziri kama muhudumu wa baa.This is character assassination. Just respect them ,you don't have to shout public.
Hii iliyompata Engineer Isack Kamwelwe leo inapaswa aandike barua ya kujiuzulu ili kuwajibika kama waziri bila kusuburi alazimishwe kama Kangi Lugola.
Itakuwa jambo la kiungwana akikubali kama kiongozi kuwajibika kwa kujiuzulu kuliko kuendelea kukaa ofisini aking'ang'ania nafasi hiyo ya kisiasa iliyomletea mtafaruku mkubwa na bosi wake leo hii.
March 16, 2020
Kilosa, Morogoro
Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli akiwa wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro akifanya ukaguzi wa daraja muhimu kwa taifa la Kiyegeya lililobomoka Machi 2, 2020 kufuatia mvua nyingi alionesha kutoridhishwa na utendaji wa safu za wateule wake hasa Waziri wa Uchukuzi, Ujenzi na Mawasiliano injinia Isack Kamwelwe (Mbunge wa jimbo la Katavi) kupitia CCM. Injinia Kamwelwe alipata kuwa meneja mkoa wa TANROAD na pia ofisa ngazi za juu TANROAD makao makuu kabla ya kujiingiza ktk siasa kupitia CCM.
Mh. Rais kuonesha mapungufu ya watendaji wake hakusita kumungunya maneno kiasi cha kusema ana hisia kuwa wateule wake wanahujumu juhudi na kufananisha kadhia hiyo na "Economic Sabotage" uhujumu wa uchumi wa nchi, maana daraja hilo si tu linaunganisha Tanzania bali pia na nchi za maziwa makuu za Burundi, Rwanda, DR Congo zinazotumia bandari ya Dar es Salaam.
Rais Magufuli akawaomba msamaha wananchi wa Kilosa na Tanzania kwa madhila makubwa yanayowakabili ikiwemo daraja lingine la wilaya hiyo kubomoka na hivyo wananchi kupata changamoto nyingi ikiwemo jinsi ya kufika ktk hospitali kubwa kutokana na daraja lao kutofanyiwa matengenezo baada ya daraja lao pia kusombwa na mafuriko.
Katika safari yake toka Dar es Salaam mpaka Kilosa alisimama mara kadhaa na kusikia vilio vingi vya wananchi wa mikoa ya Pwani na Morogoro juu ya utendaji hafifu wa wateule wake ktk sekta za afya, elimu na miundo mbinu ya barabara. Wananchi walionesha matamanio yao kuhusu sekta mbalimbali hayapewi vipaumbele na watendaji wa serikali waliopo maeneo yao.
Mamlaka iteuapo uozo inakwepaje kuwajibishwa ukizingatia kuwa teuzi hazina vetting.To me jamani huu sio udhalilishaji huu?.
P
Epuka sana kutumka wingi, semea nafsi yako na familia yako kama unayo mana yawezekana pia wana maono kama yako. Janga lingine wewehongera sana Rais wetu tunakuhitaji kuiongoza Tanzania miaka zaidi ya 30 Mungu akubariki na kukupa maish marefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda uzalende uchwara kama wakeHalafu mtu kama jiwe anasema niwe mzalendo aisee
Ila jiwe anadhalilisha sana watuWAZIRI kamwelo Na Mfugale wanapaswa wajitathimini wenyewe na kisha wachukue hatua wenyewe sio kwa kukasirika kule kwa mh Rais!! Alikereka sana sana, inaonekana walimkatisha tamaa sana Rais,
Wakati mwengine tumrahisishie kazi Rais sio lazima akutimbue bali wewe mwenyewe unaweza jitafakari na kuwajibika kwa kukiuzulu mwenyewe kwa matendo yako, ni heshima kubwa kuliko kusubiria uwajibishwe, tujenge utamaduni wa kuwajibika wenyewe kabla
Vp kule alikosema pasikaguliwe na CAG? Au nako ni ku shout Louder?Big NO! Let him shout even louder! Tabia ya kuficha ficha uozo ndiyo imelifikisha taifa tulipo. Walikuwa wakihamishana nafasi na sisi wananchi hatukujua kilichoendelea. SHOUT LOUDER MR. PRESIDENT!!!
Yeye akikosolewa hadharani unajua ambacho huwa anafanya?Hapana, that was a correct approach by mr President, nchi hii ina watu wamepewa mamlaka lkn wanafanya vitu na maamuzi ya hovyo huwezi amini, na unakuta ni wasomi kweli. binafsi nadhani hamna namna nyingine zaidi ya kuwakosoa hadharani ili na wengine wabadilike, nb: nilikuwa muhanga wa daraja hilo kama msafiri.
Maamuzi gani ya wasomi,nikikwambia hilo daraja liliombewa pesa tangu 2015 na likapuuzwa na huo hao wanaowafokea utasemaje.Mtu hawezi kubadilika kwa kufokewa wewe mtu anabadilika kwa kuonywa kwa kutumia mifumo imara ya uongozi na malezi ya makuzi imara.Unaweza kumfokea mtu akawa na nidhamu ya uoga tu .Tujenge culture ya uwajibikaji .Mimi nikiona mtu ananifkea mbele za watu najua asilimia 100 ajiamini hata kidogo ni mwoga au ameadhirika kisaikologia .Iwe kazini au mahusiano ni ugonjwaHapana, that was a correct approach by mr President, nchi hii ina watu wamepewa mamlaka lkn wanafanya vitu na maamuzi ya hovyo huwezi amini, na unakuta ni wasomi kweli. binafsi nadhani hamna namna nyingine zaidi ya kuwakosoa hadharani ili na wengine wabadilike, nb: nilikuwa muhanga wa daraja hilo kama msafiri.
Asante kwa kunikumbusha.Nimewataja kama character na sio kama ubinadamuHata wahudumu wa bar ni binadamu. Waheshimiwe pia.
Haya mambo ndio tunaambia watu humu mara kwa mara. Waziri au kiongozi yoyote hahitaji kutoka ofisini kwenda site kufokea watu mbele ya macamera ya wandishi wa habari. Yule Prof. Ndalichako alijikuta anajiaibisha kwa English mbovu baada ya kukurupuka kwenda kufokea wachina huku kafuatana na waandishi wa habari kutafuta kiki, kiki zikamtokea puani.Maamuzi gani ya wasomi,nikikwambia hilo daraja liliombewa pesa tangu 2015 na likapuuzwa na huo hao wanaowafokea utasemaje.Mtu hawezi kubadilika kwa kufokewa wewe mtu anabadilika kwa kuonywa kwa kutumia mifumo imara ya uongozi na malezi ya makuzi imara.Unaweza kumfokea mtu akawa na nidhamu ya uoga tu .Tujenge culture ya uwajibikaji .Mimi nikiona mtu ananifkea mbele za watu najua asilimia 100 ajiamini hata kidogo ni mwoga au ameadhirika kisaikologia .Iwe kazini au mahusiano ni ugonjwa
Jiwe mwenyewe kaliingiza taifa mkenge vitu kibao aanze yeye kuachia nafasi kama kweli mzalendo au makosa akifanya mwingine ila kwake sahihi?😁😁😁Asimame pia hapo Segerea azungumze na Wale waliowapiga Wanawake. Hili aslifumbie macho wala asipite hivi.Wameliaibisha taifa.
Mwambie na yeye awe tayari kukosolewa hadharani sio kukosoa na kukemea wengine tu ebo!!😅😅😅😅😅Hapana, that was a correct approach by mr President, nchi hii ina watu wamepewa mamlaka lkn wanafanya vitu na maamuzi ya hovyo huwezi amini, na unakuta ni wasomi kweli. binafsi nadhani hamna namna nyingine zaidi ya kuwakosoa hadharani ili na wengine wabadilike, nb: nilikuwa muhanga wa daraja hilo kama msafiri.
Kile kiyoyozi cha kwenye V8 unafikir mchezo nn kupita na ving'ora kuna raha yake bwana anaanzaje kujiuzulu kirahisHii iliyompata Engineer Isack Kamwelwe leo inapaswa aandike barua ya kujiuzulu ili kuwajibika kama waziri bila kusuburi alazimishwe kama Kangi Lugola.
Itakuwa jambo la kiungwana akikubali kama kiongozi kuwajibika kwa kujiuzulu kuliko kuendelea kukaa ofisini aking'ang'ania nafasi hiyo ya kisiasa iliyomletea mtafaruku mkubwa na bosi wake leo hii.