Rais Magufuli amkaanga vikali Waziri Kamwelwe, atishia kumuweka ndani kwa Uhujumu Uchumi

Ila mkumbuke mvua hizi si za kawaida hii hali ya mvua hizi niclimate change in africa sehemu nyingine mf rufiji hawajashuhudia mafuriko haya kwa zaidi ya miaka 30

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli unayosema ila jitihada ilitakiwa ifanyike sana
Wangepiga kazi usiku na mchana kuhakikisha panapitika ila wamefanya uzembe sana Mkuu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
March 30, 2018

Katibu Uenezi wa CCM, Ndg. Humphrey Polepole akikagua ujenzi wa barabara ya Ifakara - Kidatu mkoani Morogoro ambayo ni ya urefu wa kilometa 67 inayofadhiliwa na EU, Shirika Maendeleo la Uingereza na nchi ya Marekani huku mkandarasi wa ujenzi ni kampuni ya Reynolds Construction toka Nigeria.

 
2017
Wahisani waliotoa fedha wa kwa ajili ya barabara hiyo ya Ifakara - Kidatu na ujenzi wa daraja ni EU, Shirika la Maendeleo la Uingereza na USAID na mkandarasi wa ujenzi wa barabara ni kampuni ya Reynolds Construction toka Nigeria.

 

Sasa waziri asikofanya vizuri na wewe ndio mmemchagua kama
Raisi. Wananchi hawataki malalamiko na TV bali suluhisho
 
March 21, 2020

Barabara ya mchepuko Kiyegeya yakamilika

Makalavati ya zege kwa ajili ya ujenzi SGR Reli yaliyonunuliwa kwa dharura na serikali toka kampuni ya Yapi Merkezi yakamilisha ukarabati barabara ya mchepuko daraja la Kiyegeya barabara ya Morogoro - Dodoma.


Source : Azam TV
 
''Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.'' Maagizo ya JPM kuhusu ujenzi wa daraja hili waziri alipewa siku saba kuponyesha kibarua chake, chezea JPM wewe! Ama kweli Tanzania tumepata rais mambo ya kubembelezana ya enzi zile yamekwisha. Good job and salute to Mr. President, kama Watanzania hatutatoboa wakati wa JPM basi tusahau.
 
March 22, 2020
Rufiji, Pwani
Tanzania

Barabara iendayo mradi wa umeme Stiegler's Gorge
Mbunge wa Rufiji mkoani Pwani Mh. Mohamed Mchengerwa akielezea hali ya barabara jimboni kwake kama ilivyo katika video inayotoka Kibiti kwena Ikwiriri, Mkongo, Ngororo, Mloka mpaka katika mradi mkubwa wa umeme wa Julius Nyerere HydroPower Project ilivyo na kukwamisha uwezekano wa ndoto ya nchi mradi kukamilika ktk muda uliopangwa:


Source : Millard ayo
 
Hapa ndipo uwaziri ulipoota mabawa
lipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…