Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amnadi Patrobas Katambi, aahidi kumpa kazi nyingine Stephen Masele

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amnadi Patrobas Katambi, aahidi kumpa kazi nyingine Stephen Masele

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo mwisho ulivyomalizia, imebidi nicheke tu

Jiwe hana sera za kuhamasisha umma ndio maana huwa anazungumzia sura za watu; huko ni kuwa mufilisi wa hoja fikirishi!! Sura ya Masele kumfananisha na sura ya Katambi itawaletea maendeleo gani wana Shinyanga? Wananchi hawadanganyiki tena siku hizi watamchagua mtu mwenye madini kichwani!!
 
Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa vyama vya upinzani hata kama wanafaa.

Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana. Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni ya Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni. Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wako Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.

😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣Nazidi kukicheka Chama cha wazazi wangu,nakilicho npa Elimu kwenye zle shule zao zajumuiya yawazazi.nahc uyu mgombea wachama cha wazazi wangu amepoteza dira

Unawezaje kutuambia sisi wanachi kuwa tukuchagulie mbunge ata asie faa ili wewe ukambane uko?umesahau kuwa wewe niRais nautakua bze na shughul nyng ndio maana katba ikaelekeza kuwe nawawaklsh wawanachi kutoka majimbon,Nivp utudanganye utampangia kazi nyingne mkuu wa mkoa au balozi Kwan sisi wakat tunamtuma kuchukua fom ya ubunge hatukujua kua kunakaz zngne atafanya huo ubalozi utakao mpa utatusaidia nn sisi wanachi waShinyanga mjn.

Usituabishe kabsa sisi tulmtaka katka kazi ya ubunge ndio maana Babu zetu ambao niwajumbe wakamkata....ata sisi hatumtaki uyu katambi na tulianza kumkataa toka akiwa Chadema au mkuu umesahau kama niwewe ndio ulio tuamnsha 2015 katambi hafai kututumikia?Leo umekula nn muheshimiwa.

Kwakua utakua nakaz nyingi zakununua ndege nakujenga madaraja nahc tunahc utasahau kumbana,,acha tu tumkate tuwape wapinzani ambao itakua rahc kuwakumbuka maana nivgum kumkubuka rafki unaeish nae kulko adui unae msikia......tena kwachuki za kuhadsiwa
 
"Wasichague wagombea wa upinzani hata kama wanafaa"
Basi sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaosema Magufuli hana nia njema na Tanzania sijui kwa nini watu wanashindwa kuwaelewa.
Eti haya ni maneno ya mgombea urais na ambaye amekuwa rais kwa miaka 5 iliyopita.
Magufuli hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji. MTU asiyetaka watu wenye weledi waingie bungeni ni MTU wa aina gani kama sio kichekesho?
Na jee wanao mpa kura MTU wa aina hiyo tunapaswa kuwaitaje? Mimi jibu ninalo lakini ngoja nili hifadhi kwa sasa kwani NITAFUNGIWA na kuikosa JF week hii wakati naihitaji
 
Du kumbe 2015 Katambi alikataliwa na wana Shinyanga town
Huyu panya alishinda then akauza jimbo kwa Masele, sasa ccm hawamtaki sababu akiwa Cdm aliwalaza na viatu na Cdm hawamtaki sababu kawasaliti.
 
Back
Top Bottom