Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amnadi Patrobas Katambi, aahidi kumpa kazi nyingine Stephen Masele

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amnadi Patrobas Katambi, aahidi kumpa kazi nyingine Stephen Masele

Atawafukuza uwanachama ama?

Huyu JIWE hajuwi maana ya separation of powers between the three pillars of government. Bunge unatakiwa kuwa muhimili unaojitegemea usiopata amri toka kwa Rais!! Sasa eye anasema wachagueni wabunge sio kwa weledi wao bali kwa vile ni wa ccm hata kama vichwa vyao ni nazi mradi waingie bungeni ili aweze kuwathibiti!! What nonsense; Rais hatakiwi kuwathibiti wabunge bali kuwaheshimu kwa kazi yao ya kuwakilisha maoni ya wananchi. Haya mawazo ya Jiwe ni ya kidikteta!!
 
Magufuli anaongea kama utani lakini katambi asipopita Fagio litakalopita shinyanga mjini sio la kitoto litafagia wengi akiwemo Masele
Masele sasa ni mwananchi wa kawaida atamfagiaje Sasa?! Labda atamfagia mkurugenzi kwa kushindwa kuiba mafuriko ya kura za wapinzani
 
Uko sahihi, Magufuli kuna kitu haelewi. Hivi haelewi kati yake na wabunge nani anatakiwa kumbana mwenzake. Anavyombana Ndugai anadhani yuko sahihi.
Wanaosema Magufuli hana nia njema na Tanzania sijui kwa nini watu wanashindwa kuwaelewa.
Eti haya ni maneno ya mgombea urais na ambaye amekuwa rais kwa miaka 5 iliyopita.
Magufuli hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji. MTU asiyetaka watu wenye weledi waingie bungeni ni MTU wa aina gani kama sio kichekesho?
Na jee wanao mpa kura MTU wa aina hiyo tunapaswa kuwaitaje? Mimi jibu ninalo lakini ngoja nili hifadhi kwa sasa kwani NITAFUNGIWA na kuikosa JF week hii wakati naihitaji
[/QUOTE
 
Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.

Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.

Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.
Mbona unaleta utopolo sasa? kichwa cha bahari na habari yenyewe wala havina mantiki!
 
Wanaosema Magufuli hana nia njema na Tanzania sijui kwa nini watu wanashindwa kuwaelewa.
Eti haya ni maneno ya mgombea urais na ambaye amekuwa rais kwa miaka 5 iliyopita.
Magufuli hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji. MTU asiyetaka watu wenye weledi waingie bungeni ni MTU wa aina gani kama sio kichekesho?
Na jee wanao mpa kura MTU wa aina hiyo tunapaswa kuwaitaje? Mimi jibu ninalo lakini ngoja nili hifadhi kwa sasa kwani NITAFUNGIWA na kuikosa JF week hii wakati naihitaji
naona umeshachakaza tayari ujitambui sasa!
 
Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.

Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.

Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.
Wenye roho mbaya,wasiopenda kuona haki ikitendeka msiwachague.
 
Wachagua wapuuzi tu eti kwakuwa atawabana!!! Daaaaaa

Wananchi sijui wamemwonaje huyu baba!!!

Ameamua kusema atampa ukuu wa mkoa ama ubalozi...mkoa upi uko wazi? Na wananchi je wao ubalozi au ukuu wa mkoa wa Masele utawasiaidia nini??

Huyu baba aache bangi
Mkuu kwake yeye nafasi za Ukuu wa Mkoa na Wilaya ni za kufariji watu....!!

Masele alitakiwa kupewa Uwaziri na kuandaliwa kwa level hata ya Urais .... Tatizo la CCM wanapenda madaraka lakini hawana succession plan ya kueleweka. Ikifika 2025 utakuta mpaka akina Makonda na Polepole watachukua form ya Urais!!
 
Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.

Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.

Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.
Sijui TAKUKURU wanatafasiri ipi juu ya RUSHWA ya Uchaguzi!
 
Back
Top Bottom