AKASINOZO
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 1,367
- 2,219
Kwahyo zawad ya wala rushwa ni Ukuu wa mikoa na ubalozi?Rushwa kakatwa chenge itakuwa na Masele ? Kwa Hiyo apewe mtoa rushwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo zawad ya wala rushwa ni Ukuu wa mikoa na ubalozi?Rushwa kakatwa chenge itakuwa na Masele ? Kwa Hiyo apewe mtoa rushwa?
Atawafukuza uwanachama ama?
Bahati nyingine ndo hukoseya njia na kwenda kando.Hata kama kwenye maisha kuna bahati mbaya, huwa najiuliza ilikuwaje huyu jamaa akawa rais?
Masele sasa ni mwananchi wa kawaida atamfagiaje Sasa?! Labda atamfagia mkurugenzi kwa kushindwa kuiba mafuriko ya kura za wapinzaniMagufuli anaongea kama utani lakini katambi asipopita Fagio litakalopita shinyanga mjini sio la kitoto litafagia wengi akiwemo Masele
Gambo vipi,Rushwa kakatwa chenge itakuwa na Masele ? Kwa Hiyo apewe mtoa rushwa?
Ndo mana jamaa hajoa mpaka leoHata mie yani Katambi na ile mimeno yake ile duh!
Wanaosema Magufuli hana nia njema na Tanzania sijui kwa nini watu wanashindwa kuwaelewa.
Eti haya ni maneno ya mgombea urais na ambaye amekuwa rais kwa miaka 5 iliyopita.
Magufuli hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji. MTU asiyetaka watu wenye weledi waingie bungeni ni MTU wa aina gani kama sio kichekesho?
Na jee wanao mpa kura MTU wa aina hiyo tunapaswa kuwaitaje? Mimi jibu ninalo lakini ngoja nili hifadhi kwa sasa kwani NITAFUNGIWA na kuikosa JF week hii wakati naihitaji
[/QUOTE
Mkuu upo tayari kwenda peku ili mfyatue watoto wengi kama jiwe anavyodai 😂😂Nindhani Magufuli anachemka all the time mkuu, jana amesema tugongane bila kinga tufyatuane.
Mbona unaleta utopolo sasa? kichwa cha bahari na habari yenyewe wala havina mantiki!Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.
Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.
Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.
Meaning wachague wagombea wa CCM HATA KAMA HAWAFAI
naona umeshachakaza tayari ujitambui sasa!Wanaosema Magufuli hana nia njema na Tanzania sijui kwa nini watu wanashindwa kuwaelewa.
Eti haya ni maneno ya mgombea urais na ambaye amekuwa rais kwa miaka 5 iliyopita.
Magufuli hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji. MTU asiyetaka watu wenye weledi waingie bungeni ni MTU wa aina gani kama sio kichekesho?
Na jee wanao mpa kura MTU wa aina hiyo tunapaswa kuwaitaje? Mimi jibu ninalo lakini ngoja nili hifadhi kwa sasa kwani NITAFUNGIWA na kuikosa JF week hii wakati naihitaji
hawa ndo ma-analysts wa 2020 election kaka.usishangae sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo mwisho ulivyomalizia, imebidi nicheke tu
Wenye roho mbaya,wasiopenda kuona haki ikitendeka msiwachague.Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.
Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.
Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.
Aisee acha tu, nilivyo ona ile orodha kuwa Katambi ni afisa kipenyo nikaanza kupata picha kumbe ndio maana kaunga mkono na kala uteuzi na jimbo aliuza kimkakati.Aisee kumbe kachawi haka kajamaa
Mkuu kwake yeye nafasi za Ukuu wa Mkoa na Wilaya ni za kufariji watu....!!Wachagua wapuuzi tu eti kwakuwa atawabana!!! Daaaaaa
Wananchi sijui wamemwonaje huyu baba!!!
Ameamua kusema atampa ukuu wa mkoa ama ubalozi...mkoa upi uko wazi? Na wananchi je wao ubalozi au ukuu wa mkoa wa Masele utawasiaidia nini??
Huyu baba aache bangi
Kwani wewe hicho kizee cha kizungu kinakugonga na kinga?Nindhani Magufuli anachemka all the time mkuu, jana amesema tugongane bila kinga tufyatuane.
Sijui TAKUKURU wanatafasiri ipi juu ya RUSHWA ya Uchaguzi!Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.
Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.
Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.