Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo hao no waaandaji was miswaada ya hati za dharura.
Akina Kabudi ndo wanashangilia mpaka makoo yanawaumaHuyu JIWE hajuwi maana ya separation of powers between the three pillars of government. Bunge unatakiwa kuwa muhimili unaojitegemea usiopata amri toka kwa Rais!! Sasa eye anasema wachagueni wabunge sio kwa weledi wao bali kwa vile ni wa ccm hata kama vichwa vyao ni nazi mradi waingie bungeni ili aweze kuwathibiti!! What nonsense; Rais hatakiwa kuwathibiti wabunge bali kuwaheshimu kwa kazi yao ya kuwakilisha maoni ya wananchi. Haya mawazo ya Jiwe ni ya kidikteta!!
Hii kwa mimi sijaependa,angalau wawepo hata wawili wawe kama jogoo kumuamsha mwenye nyumba sasa amka kumekuchaa.
ETuwekeeni picha
Ashindi kama tume ni ya Robert armstadam ila kama tume ni mali ya JPM anashinda mchan kweupee.Kwa hiyo anataka sisi mjini tuchague polygon? Haiwezekani hata mara moja! Katambi hashindi labda akapige mswaki kwanza ili meno yawe meupe?
Akihutubia wakazi wa Tinde huko Shinyanga, mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM amesisitiza wananchi kutomchagulia wagombea wa Vyama vya Upinzani hata kama wanafaa. Amedai kuwa wamchagulie madiwani na wabunge wa CCM kwa sababu ataweza kuwabana.
Zaidi amedai kuwa aliyeongoza kura za maoni Ndugu Steven Masale atampangia kazi ya ukuu wa Mkoa au ubalozi. Picha inayoonekana tayari kuna ugumu katika jimbo hilo kwa kutokukubalika kwa mgombea aliyepitishwa kinyume na pendekezo la kura ya maoni.
Ameendelea kudai kuwa wasiangalie sura nzuri hali iliyoonesha kuwa kwa mtazamo wake Masele anasura nzuri ukimlinganisha na Katambi.
Unakubali kuwa ni mtu wa visasi ehee?Magufuli anaongea kama utani lakini katambi asipopita Fagio litakalopita shinyanga mjini sio la kitoto litafagia wengi akiwemo Masele
Kwa hiyo anataka sisi mjini tuchague polygon? Haiwezekani hata mara moja! Katambi hashindi labda akapige mswaki kwanza ili meno yawe meupe?
Anamaanisha wakurugenziAtawafukuza uwanachama ama?
Katambi ni kete kwa CCM kuliko maseleHuo ukuu wa mkoa kwanini asipewe Katambi? Magufuli sometimes anachemka mnoo
Huyo mwenye kofia ya kijani ni nani? Maana naona sura tatu tofauti hapa
Haaaaahhhhaaaaaaaaha
Magufuli anaongea kama utani lakini katambi asipopita Fagio litakalopita shinyanga mjini sio la kitoto litafagia wengi akiwemo Masele
ndo katambi huyo mwenye suti wa chini ndo maseleHuyo mwenye kofia ya kijani ni nani? Maana naona sura tatu tofauti hapa
Katambi sura yake imekaa kikazi zaidi,lakini kikubwa wote ni CCM.
Master p sikuwezi aisee nimechekaaaa🤣🤣🤣🤸Hata mie yani Katambi na ile mimeno yake ile duh!