Uchaguzi 2020 Rais Magufuli amnadi Patrobas Katambi, aahidi kumpa kazi nyingine Stephen Masele

Akina Kabudi ndo wanashangilia mpaka makoo yanawauma
 
Kwa hiyo anataka sisi mjini tuchague polygon? Haiwezekani hata mara moja! Katambi hashindi labda akapige mswaki kwanza ili meno yawe meupe?
Ashindi kama tume ni ya Robert armstadam ila kama tume ni mali ya JPM anashinda mchan kweupee.
 

Ila kiuhalisia Masele amkumbatie mwanamke you must feel it ..Sasa huyu Katambi hata mswaki Sina hakika Kama anapiga jamani🤣🤣🤸🤸🤸🤸!
 
Magufuli anaongea kama utani lakini katambi asipopita Fagio litakalopita shinyanga mjini sio la kitoto litafagia wengi akiwemo Masele

Huo ndio tunasema ni udictator. Tunashukuru kwa kuweka record sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…