Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Dah! hii comment imenichekesha sanaMwenye sura za masele na katambi atuwekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! hii comment imenichekesha sanaMwenye sura za masele na katambi atuwekee
"Wasichague wagombea wa upinzani hata kama wanafaa"
Basi sawa.hii Ni sawa na kusema wapinzani wasitangazwe hata Kama wameshinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile meno ya njano huku landani ni deal sana..Hata mie yani Katambi na ile mimeno yake ile duh!
Tuna raisi aiseeeee haya ni maneno ya mtu wa phd?
Duuuuuuhhh!!!!! Mb zangu zinakufa bureKatambi wenu huyo hapoView attachment 1556782
Dracula mnyonya damu!Duuuuuuhhh!!!!! Mb zangu zinakufa bure
coment yako pia imenifanya nicheke, kula like mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo mwisho ulivyomalizia, imebidi nicheke tu
Lina tabia za kichunga ng'ombe!Tuna raisi aiseeeee haya ni maneno ya mtu wa phd?
Afisa kipenyoView attachment 1556922
Hapo ndo mjue Rais Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.
Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.
Mzee baba katoa boko
Mbona alikuwa anawafyatua ma manzi wenu kipindi ni chair wa Bavicha? Au kawa mbaya baada ya kwenda CCM?Hata mie yani Katambi na ile mimeno yake ile duh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu jiwe anahitaji msaada kwa kweli wallahBaadae atasema maendeleo hayana chama.