Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika

Rais Magufuli amnyooshea kidole Mwele Malecela asema alitumiwa na mabeberu kutangaza ugonjwa 'hewa' wa Zika

Mwele Malecela, PhD
Dr. Mwele Malecela is a World Health Organization (WHO) Director in the Office of the Africa Regional Director and is the first woman to hold this position. She is also director of the Tanzania Lymphatic Filariasis Elimination Program.

Dr. Malecela holds a Bsc in zoology from the University of Dar es Salaam and an Msc and PhD in parasitology from the University of London (London School of Hygiene and Tropical Medicine). She specialized in filarial immunology, specifically on filarial immune evasion mechanisms.

Dr. Malecela has worked at the National Institute for Medical Research for 24 years, where she started off as a junior scientist. As director general, she has focused on institutional strengthening, research capacity building, and the translation of research into action, policy and practice. Dr. Malecela has been in the forefront of priority setting for health research activities in Tanzania where she facilitated the Tanzania National Health Research Priority Setting process in 1999 and revision of these priorities in 2005.

Dr. Malecela chairs the Medical Research Coordinating Committee (MRCC), which is the main body responsible for oversight of health research in the country. She has served on a number of international committees including the Technical Advisory Group of the Global Program to Eliminate Lymphatic Filariasis, the Mectizan Expert Committee and the advisory board of the Initiative on Public?Private Partnerships in Health (IPPPH).

Dr. Malecela is currently a member of the WHO Strategic and Technical Advisory Committee for Neglected Tropical Diseases and a member of the Medicine in Need Steering Committee on Innovation, Alliance and Translation Management (MITAM). Dr. Malecela is also on the International Advisory Board of Grand Challenges Canada.

She is an adjunct faculty member of the Public Health Sciences Institute of Morehouse College. Dr. Malecela was president of the Global Alliance to Eliminate Lymphatic Filariasis and chair of the representative contact group of the Alliance.

She has also been involved in a number of philanthropic organizations, chairing the Tanzania Chapter of the African Reflections Foundation and is on the advisory board of the Lake Tanganyika Floating Health Clinic.

TDr. Malecela is patron and Founder of the IMANI Group, which is a support group of people living with HIV/AIDS.
Endelea kuwatumikia bao mabwana zako huko uliko
 
Huyo dada hakuwa na nia njema. Nashangaa baadhi ya watu hapa wanamtetea wakati kilakitu kiko wazi kabisa.
Kwani kuna mtu anamtetea mkuu, ni matakataka ya pale ufipa ndio ya hasira kweli kweli
 
Hiyo vita ya uchumi inayosemwa ni ipi?
Maadui ni kina nani ktk hiyo vita?
 
Kwa taarifa yake Jiwe ajue Dr Mwele Malecela ni international respected scientist kwenye Neglected Tropical Disease. Dr Mwele ana PhD ya ukweli siyo kama ya kwake Jiwe ya plagiarism. Yeyote anayesoma hapa ajaribu ku-Google ndiyo utajua Tanzania kuna wasomi. Anazo publication nyingi tu na ni authority kwenye eneo la utafiti wa magonjwa ya binadamu.
Hamna namna WHO wangeacha brain kama ya Dr Mwele iwe idle na ndiyo maana within 2 yrars akaanza ofisi ya Africa then akapata promotion na kwenda Geneva ambako ana majukumu ya ki-Dunia.
Mwisho wa siku katumbuliwa
 
Sijui dr Mwele alimkosea nn mh Raisi?! Dr Mwele atumwe na mabeberu ili iweje ? Kwa uchumi upi tulionao adi hao mabeberu waweke vita na Tanzania? 😰😰

Hisije ikawa Lemutuz alimfitinisha dada yake wa kufikia kwa Mh Raisi kwa kupitia Bashite

Lemutuz na watoto halali wa Malecela hawaelewani kwa Sababu ya tabia zake
Funga domo lako wewe pimbi.Unajua madhara na athari za kutangaza ugonjwa kama huo wakati ukijua kabisa haupo ? Halafu ulivyokuwa mjinga unaingilia hata maswala ya ndani ya familia za watu.
 
Kiukweli Zika haikuwepo na Mwele alisema uongo!
Mkuu kwa hiyo Hawa wataalamu huwa huwa wanasema tu bila ya kutumia vipimo?hasa kwa msomi wa kiwango kile?kwa kusema tu ZIKA iko Tanzania wwazungu wakafurahi wakamwita Dr.Mwele na kumpa cheo!!!??mtu hupewa cheo kwa kusema uongo dhidi ya nchi take kweli?Hoja mbona huo ugonjwa haukuendelea sidhani kama hapa ni hoja ya msingi issue ni vipimo vilipita na ugonjwa ulionekana je tuwaamini waalimu au mabwana shamba katika jambo kama hili??
 
..kwa hiyo Raisi anaituhumu UN-WHO ambao ndio waliomuajiri Dr.Mwele Malecela kuwa wanaipiga vita Tz?
Enheeee....halafu hv hawa mabeberu pia huwa hawatupi misaada ya madawa kweli?? Hv tunayakataaga?
 
We utakua umetumwa na mabeberu kutufundisha kazi.sisi ni one man show.
Mzee anaingilia bunge, Mahakama, Mamlaka za nidhamu za wanafunzi na sasa naona anaingilia hadi mambo ya kitabibu

Kuna haja ya kuandaa Muongozo wa Job discription ya uraisi, kuna watu wanadhani ukiwa raisi basi unaweza kuingilia ofisi yoyote ile na kudischarge duty
 
Naona rais hajui kitu na wanaomshabikia hawajui kitu. Sayansi sio ushabiki, bali sayansi ni facts.

Dr.Mwele Malecella alitangaza matokeo ya kisayansi yaliyotokana na utafiti uliofanywa na NIRM kuhusu Zika. Na matokeo hayo hayakuwa siri, sampuli za vipimo zilionyesha kuwa kuna watu walikuwa wameathiriwa na Zika kwa namna moja au nyingine(Na hili sio jambo la ujabu, maana ugonjwa wa Zika unaenezwa na mbu, na kwa Tanzania mbu ni mdudu wa kawaida sana).

Mpaka leo hii wizara inajua hivyo, na hakuna utafiti mwingine wowote uliokuja kufanyika tena kuhusu Zika na ukatoa matokeo tofauti.

Kama Tanzania inaona fahari kujitangaza kuwa imeathiriwa mnoo na maambukizi ya UKIMWI, TB na Malaria ili kuendelea kupata msaada ya dezo, ni kipi cha ajabu ikisikika pia kuna Zika Tanzania?

Tujifunze kuheshimu tafiti za kisayansi, na wakati wowote tujikite kuzikosoa tafiti za kisayansi kwa facts za kisayansi.
 
Hey!! Kumbe Tanzania kuna elimu ya hovyo iliyotolewa ktk miaka hii inayokaribia minne ya Magufuli? Hivi mnapimaje huo u hovyo, maana naamini walioanza std1 au form 1 2016 hata mitihani ya Taifa ya kumaliza elimu zao hawajafanya?
Au huu ujenzi wa shule, vyumba vya madarasa, maabara za Sayansi na Teknohama, matundu ya vyoo na ukarabati mkubwa kwa shule kongwe ndio u hovyo wa elimu? Kweli midomo kazi yake kuongea lakini basi na macho iwe kazi yake kuona[emoji87][emoji87][emoji87]
21st century mtu anapongeza matundu ya choo! Wonder shall never end.
 
Back
Top Bottom