Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kwa sukari ile , lazima John kichwa wazi kisha resign from the officeKwa sukari aliyokuwa nayo Ndugai akipigwa na Korona haichukui round tunaimba Parapanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sukari ile , lazima John kichwa wazi kisha resign from the officeKwa sukari aliyokuwa nayo Ndugai akipigwa na Korona haichukui round tunaimba Parapanda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimesoma kwa sauti ya dokta shikaIngependeza zaidi
Hawa ni akina nani? Na wanafanya nini hapo?
Mkuu Yohana Mbatizaji, huwa unanichekesha unavyojibu kama umekatwa kichwa!Watu wamedondoka mle mjengoni lakini chuma Job kinadunda tu!
Wewe uliishi nyakati hizo?............Nyakati za Mbowe Hotels na YMCA?😂😂😂😂 watu wanatoka mbali sana pata picha hapo magu na suti yake akiwa anaongea, kina kabudi wahandisi na wengine wangekuwa wanaona huyu ngosha anaongea nini na msuti wake. Ila saivi sasa magu akisema ni kusimama na kujibu kwa unyenyekevu ulitukuka. Madaraka ni juu ya kila kitu asee.
Siko ufipani Jo niko ungindoni huku Kilingeni MsataUfipa hamuishiwi vituko!
Bwashee hapa Lumumba kila siku ni kicheko ndio maana Lijualikali kaomba kazi ya kumpikia chai mzee Mgaya!Nisalimie Lumumba.. Leo ni Ijumaa Jo vp mmecheka au bajeti imepelekwa kwenye uchaguzi?
Jr[emoji769]
Wakati viongozi wengi mashuhuri duniani wanaliangalia kwa taadhari zote muhimu za kiafya janga hili la gonjwa la COVID-19 ktk "worst scenario case" na hata kuzidi kusisitiza watu wote kuchukua taadhari zote muhimu dhidi yake. Hapa kwetu hali tofauti kabisa.Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.
Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli
Maendeleo hayana vyama!
A1naweza asivae tena maana mkuu keshasema.Mwishowe watakaoendddelea kuvaa wataonekana ni chadema usishangae wakikamatwa.Rais tulilambaRais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.
Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli
Maendeleo hayana vyama!
Yohana huu sasa ni uchochezi ndio na picha umeipachika kabisa. Ahaaaa chagu wa malundeRais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.
Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli
Maendeleo hayana vyama!
Kumuimbia JIWE mapambio ni LAZIMA usidhani ni kwa raha zao. Tumekaribia kuongea kama wamoja. AmenKama kuvaa mask tu anazalilishwa hadharani namna hii angekimbia vikao si angetumiwa wasiojulikana wamalizane naye?
Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.
Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli
Maendeleo hayana vyama!