ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Anaamini katika kujificha karibu na atakapozikwaJpm haamni katika barakoa ndiyo maana hayavai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaamini katika kujificha karibu na atakapozikwaJpm haamni katika barakoa ndiyo maana hayavai
Wanatafuta kinga eti asije kushitakiwa kwa makosa aliyofanya kwa 'nia njema'Ohhh so alienda kula bata kwa kodi zetu eeee????
Hao wengine nao unaweza kuta shopping Dubai na London huko. Lakini tizama walivyokuja mjini. Kama siyo ccm hawa sijui wangekuwa wapi. Hii nchi bhana.🤦🏾♂️
Aksante baba kututangazia kuisha kwa Korona. Naomba shule zifunguliwe. Tunapata taabu sana kuwazuia watoto kuzurura. Wanauliza kwa nini tunawazuia kutembea na hali ugonjwa umekwisha? Chonde chode baba fungua shule.Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.
Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli
Maendeleo hayana vyama!
Vuta subira mtatangaziwa soon!Aksante baba kututangazia kuisha kwa Korona. Naomba shule zifunguliwe. Tunapata taabu sana kuwazuia watoto kuzurura. Wanauliza kwa nini tunawazuia kutembea na hali ugonjwa umekwisha? Chonde chode baba fungua shule.
Tukusikilize wewe au tumsikilize Mwenyekiti?Speaker ana wahudumu wengi wanamfuata na kumhudumia, ni bora avae tu, mask sidhani kama inapunguza utendaji kazi wa mtu
Kumbe wanapima corona! Sasa hicho kifo hakijatangazwa?Jiwe mbona yeye wakati wa Corona alikimbilia kujificha Chato sasa amerudi anadanganya watanzania kwamba Tanzania imebakia wagonjwa 4 wa Corona. Ila ukweli unajulikana kabisa ugonjwa bado upo unaendelea kuua watu majuzi tumempoteza rafiki yetu Dunia Mmliki wa Magari ya Marangu Coach kwa Corona ni bora watanzania wangeambiwa ukweli waendelee kuchukua tahadhari kuliko kuwadanganya
Mie kilio changu usafiri umekuwa shida sana na hii level seat.Aksante baba kututangazia kuisha kwa Korona. Naomba shule zifunguliwe. Tunapata taabu sana kuwazuia watoto kuzurura. Wanauliza kwa nini tunawazuia kutembea na hali ugonjwa umekwisha? Chonde chode baba fungua shule.
Wale si wanapimwa au?Wale wasaidizi wanaomletea vikaratasi na maji hawana contact nae.
Au mzee baba ameshamchoka?
Corona inaenda inakuwa weak,,sio ile corona ya mwanzo ndo ilikuwa gusa unate,,Kwa sukari aliyokuwa nayo Ndugai akipigwa na Korona haichukui round tunaimba Parapanda.
Hawezi kurudia tena, ama sivyo atahukumiwa kama Dr Ndugulile kwa kutofautiana na asiebishiwaSpika ndugai apigwa marufuku kuvaa barakoa na mwenyekiti. CCM hii tamu sana wanyooshe kisawa sawa.
Muoga kuzidi Mbowe aliyekimbia bungeni na kumwacha Ndugai?[emoji23][emoji23][emoji23] ndugai muoga mno
Bado O level na primary hawajafungua shule!Mie kilio changu usafiri umekuwa shida sana na hii level seat.
Spika hakiwa peke yake. Bunge likiahirishwa lazima anasindikizwa Hadi ofisini anavua joho. Hawezi kutembea peke yake aende kwenye kiti chake akae. Unaona kulikuwa na moiga picha.Itakua mzee alijisahau tu, ila inafikirisha kuvaa barakoa hata ukiwa peke yako.
Speaker ana wahudumu wengi wanamfuata na kumhudumia, ni bora avae tu, mask sidhani kama inapunguza utendaji kazi wa mtu
Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.
Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli
Maendeleo hayana vyama!
Naibu Spika Dr Tulia havaagi barakoa!Hata Mimi nilikuwa namshangaa sana kwakweli.