Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.

Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli


Maendeleo hayana vyama!
Aksante baba kututangazia kuisha kwa Korona. Naomba shule zifunguliwe. Tunapata taabu sana kuwazuia watoto kuzurura. Wanauliza kwa nini tunawazuia kutembea na hali ugonjwa umekwisha? Chonde chode baba fungua shule.
 
Aksante baba kututangazia kuisha kwa Korona. Naomba shule zifunguliwe. Tunapata taabu sana kuwazuia watoto kuzurura. Wanauliza kwa nini tunawazuia kutembea na hali ugonjwa umekwisha? Chonde chode baba fungua shule.
Vuta subira mtatangaziwa soon!
 
Spika ndugai apigwa marufuku kuvaa barakoa na mwenyekiti. CCM hii tamu sana wanyooshe kisawa sawa.
 
Jiwe mbona yeye wakati wa Corona alikimbilia kujificha Chato sasa amerudi anadanganya watanzania kwamba Tanzania imebakia wagonjwa 4 wa Corona. Ila ukweli unajulikana kabisa ugonjwa bado upo unaendelea kuua watu majuzi tumempoteza rafiki yetu Dunia Mmliki wa Magari ya Marangu Coach kwa Corona ni bora watanzania wangeambiwa ukweli waendelee kuchukua tahadhari kuliko kuwadanganya
Kumbe wanapima corona! Sasa hicho kifo hakijatangazwa?
 
Aksante baba kututangazia kuisha kwa Korona. Naomba shule zifunguliwe. Tunapata taabu sana kuwazuia watoto kuzurura. Wanauliza kwa nini tunawazuia kutembea na hali ugonjwa umekwisha? Chonde chode baba fungua shule.
Mie kilio changu usafiri umekuwa shida sana na hii level seat.
 
Kwa sukari aliyokuwa nayo Ndugai akipigwa na Korona haichukui round tunaimba Parapanda.
Corona inaenda inakuwa weak,,sio ile corona ya mwanzo ndo ilikuwa gusa unate,,
Tuombe tu pasiwe na second wave kama iluvyotokea,Brazil,,
 
Kuanzia jumatatu spika wa viti maalum amesikia atafuata maagizo hamtamuona kavaa tena.
 
Itakua mzee alijisahau tu, ila inafikirisha kuvaa barakoa hata ukiwa peke yako.
Spika hakiwa peke yake. Bunge likiahirishwa lazima anasindikizwa Hadi ofisini anavua joho. Hawezi kutembea peke yake aende kwenye kiti chake akae. Unaona kulikuwa na moiga picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.

Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli


Maendeleo hayana vyama!

Hata Mimi nilikuwa namshangaa sana kwakweli.
 
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mm namshangaa kukaa mbali
EZIRFbYWAAAmG5_.jpg
 
Back
Top Bottom