Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

Rais Magufuli amshangaa Spika Ndugai kuvaa barakoa akiwa peke yake Bungeni

Anaponda barakoa wakati huo huo anasema tuendelee kuchukua tahadhari[emoji848]
 
Mimi nasema aipinge hata zaidi ya hapo. Tokea Corona ianze, sijafanya upuuzi wa kuvaa barakoa.

Lakini waoga waoga wote, endeleeni kuvaa barakoa mkijikinga na kaugonjwa ka mafua.
 
Uzuri kwa sasa hatutaenda nchi za watu
 
Mimi nasema aipinge hata zaidi ya hapo. Tokea Corona ianze, sijafanya upuuzi wa kuvaa barakoa.

Lakini waoga waoga wote, endeleeni kuvaa barakoa mkijikinga na kaugonjwa ka mafua.
sasa anaposema tuchukue tahadhari ni zipi?
 
Barakoa haina msaada wowote, zaidi ya kuwafanya watu washindwe kuvuta hii hewa ya Mungu ipatikanayo bure.


JESUS IS LORD
 
Anataka kuaminisha watalii eti kwa kutopima na kutangaza takwimu za corona na watu kutovaa mask, basi Tanzania iko swari. It is a flawed way of thinking...
 
Rais Magufuli amesema kwa taarifa alizopewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ni kwamba DSM kuna wagonjwa wanne tu wa Corona.



Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo kiti chake peke yake lakini amelivaa hilo libarakoa mdomoni, Watanzania tumtangulize Mungu - Rais Magufuli


Maendeleo hayana vyama!
Jamaa ana allegy na neno Corona !!. Duh hii ngumu
 
Mimi nasema aipinge hata zaidi ya hapo. Tokea Corona ianze, sijafanya upuuzi wa kuvaa barakoa.

Lakini waoga waoga wote, endeleeni kuvaa barakoa mkijikinga na kaugonjwa ka mafua.
Mie navaa barakoa toka day one na sijaambukizwa Corona ya kwenye barakoa.
 
Ndugu kimsingi hii katiba imepitwa na wakat na imechoka, haitajiki tena ktk zama za sasa hv
Kwa bandiko lako Unataka kutuambia Katiba yoooote ya Tanzania ni NADHARIA TU??Huo Ni wendawazimu na pengine ndiyo maana Awamu ya Jiwe kuna UKIUKAJI NA UVUNJAJI ULIO KITHIRI WA KATIBA NA SHERIA ZA TANZANIA....!!So sad!
 
Ndugu Rais kwa katiba ya nchi hii anaweza kufanya lolote na bla kuulizwa na yoyote
Inaonekana ndugu Mwalimu wako alipata taabu Sana kukufundisha mpaka kuelewa.
Neno SEPARATION ni KUTENGANISHA kabisa...a total separation of Powers kiasi kwamba hii Mihimili 3 haingiliani au kugongana kwa namna yoyote ilr.
Serikali, Bunge na Mahakama hazitakiwi kuingiliana hata kidogo.

Mfano hai: Hivi Juzi Rais Magufuli akiwa Chato alitoa maagizo kwa Spika wa Bunge asitoe Posho kwa Wabunge wa CHADEMA walioamua kujitenga kuangalia kutokana Covid-19! Hilo lilikuwa kosa kubwa Sana Kikatiba...!!inasikitisha sana!
 
Mkuu Ndugai lazima avae Barakoa maana kama una magonjwa nyemelezi halafu ukapata FUTA lazima likutemeshe NDOANO.
 
Back
Top Bottom